Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

aliharibikia nairobi huyo....
pooovuu...........hilo mtu akija kwenu kwa kipindi kifupi kwaajili ya mambo binafsi aidha kielimu ama kikazi basi ndiyo huwa anaharibikia kwenu....ha haaa acha umaandazi
 
ohhhhh my ribs😀😀😀😀😀😀
CE4AC332-F289-41B0-940E-090561BF3F4B.jpeg
 
Tuwaachie wakenya na ONLY BRT yao. Ngoja sisi tuendelee na kupiga hatua wakati wao wanarudi nyuma

Hii story ya brt naona imewaumiza roho sana...brt was the only thing Dar had over nrb
 
Dar population 5000000...millionaire 1200 nai.population 3000000.millionaire 6800
 
Back
Top Bottom