evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Nonsense loh!unataka iwe na rangi kama ile ya mchuzi wa albino?
Nonsense loh!unataka iwe na rangi kama ile ya mchuzi wa albino?
Hapana walienda kujifunza South America, walisema ya Dar ina mapungufu mengi, South America waliwauliza wana pesa kiasi gani ili wawachagulie design inayoendana na pesa yao, wakasema wana madeni kuliko nchi zote za Africa, ikabidi wawachagulie hiyo ya kupaka rangi barabara.ila hii kitu kimenichekesha sana View attachment 735435
afu pengine ushauri waliouomba kwetu ilikuwa ni mbinu yetu ya kuwaacha pabaya ili wasitufikia kwenye BRT
hii kitu
sitokisahau
View attachment 735436
Acha kuvugura uzi wa leo, mada ya leo ni kuhusu ujenzi wa BRT ya Kenya, a country with bigger economyMombasa popu 1200000 .millionaire 1000...no.mtasoma

yani mpaka mbavu sio roho tu😀😀😀Hii story ya brt naona imewaumiza roho sana...brt was the only thing Dar had over nrb
GARDEN CITY HAS THE LARGEST SOLAR ROOFTOP PARKING IN AFRICARockcity Mall Mwanza..biggest mall in Tz kwa sasa 50sqm hii ni same size na garden city mall bila kuweka villas na imewah kua kubwa east Africa b4 two river mallView attachment 732598
anhh sasa acha hasira 😀😀😀😀unataka iwe na rangi kama ile ya mchuzi wa albino?
LOLView attachment 732497
Kama mmegundua kwenye hii picha ya kutisha ..super jumbo jet (airbus a380) can be well accommodated at the JNIA terminal 3 Dar
Can you Defend this?GARDEN CITY HAS THE LARGEST SOLAR ROOFTOP PARKING IN AFRICA
we are talking of only terminal 3 which can handle over 7m passenger and handle over 28 aircraft at a time hatujaweka terminal 2 or 1
Lakini ww sio millionare apo ndio patamuMombasa popu 1200000 .millionaire 1000...no.mtasoma
Tumewazidi nyumba Za maana ,hotels mlikaa ,kitu mmeweza ni thika highway naona sasa mmeanza ibadili matumiziHii story ya brt naona imewaumiza roho sana...brt was the only thing Dar had over nrb
Hahahaaaaa......keep on chasing windTumewazidi nyumba Za maana ,hotels mlikaa ,kitu mmeweza ni thika highway naona sasa mmeanza ibadili matumizi
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app