joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Ninyi huwa mnatapatapa sana, tukiwafukuza na kuwakatalia kuja kufanya kazimTanzania, mnasema watanzania hawataki muungano wa EAC, tukiwapa kazi mnasema hatuna watu waliobobea, ninyi nchi yenu onaporomoka kwa kasi ya ajabu, kilichobaki ni kupiga kelele tuPoint yangu ni kwamba pengine hamna waandisi waliobobea