Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_1628.JPG



IMG_1629.JPG



IMG_1631.JPG
 
Why are you so naive in your brains, there are many article you can read, just google you get each and everything from the meaning of failed state to why Kenya is ranked as a failed state
Hiyo ndiyo ile slum yenye El matador hua anawapea doz nayo kila siku hapa
 
Chizi kama wewe sijawahi kumuona, KFC na McDonald ndiyo maendeleo wakati Turkana na Pokot wanakufa kwa njaa?, hapo Nairobi hata maji ni shida, vijana wengi hawana kazi, mamilioni wanaishi slums bila vyoo wala maji, unazungumzia KFC, yamejaa kibao hapa Dar, ila kwetu hayo sio maendeleo wala hatuyashabikii.
Jamaa mshamba sana. Hana exposure
 
Huwa nacheka sana ninapoona hizo taa[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
La muhimu nilitaka ujue ni kwamba outtering rd bado iko under construction. Hizo story mingi zako za vijiweni peleka tandale au mwanyamala kwa uswazi
iko undercosntruction vp na hakuna sehemu wamejenga pedestrian path ?????😀😀😀😀
 
hauna knowledge yeyote wewe yakumfunza mtu ama kujifunza coz upo nauharo kuanzia matakoni mpaka mdomoni......

ivi matajiri unadhani wanaishi kwenye hayo mabanda......mfano mzuri wasanii wa mbele kiukweli na uhalisia wanaoishi kwenye hayo makabati ni makapuku kama wewe na kingine wakenya woote wengi wao hasa wewe ni washamba nanimafal* msio na nyuma wala mbele

usi4c tufanane najua kuna vitu haujaelewa ila sababu wew ni boya lazima utajizoom[emoji1]
Eti nisiforce tufanane?? Hehehe..that must be the joke of the year. sina hata tamaa ya mimi na wewe tufanane wala nchi yangu kenya kufanana na Tanzania. Mbona nitake kenya ifanane na nchi ldc kama Tanzania? You are not and will never be our role models so usiforce kitu haipo. Najua ukweli inauma ila ntakukumbusha tu kwamba jiji lenu mmejaza changaduo ( dream houses) kila corner bila kuwa na mpangilio. Nyumba za gable zenye bati zilozirust kila mahali halafu mnapiga kelele hapa!
 
Back
Top Bottom