evart
JF-Expert Member
- Sep 4, 2016
- 2,838
- 2,774
Hamna kuna flying toilets na wala githeriDsm kuna KFC? McDonald's, Burger King, ??
Hamna kuna flying toilets na wala githeriDsm kuna KFC? McDonald's, Burger King, ??
Nimeona taa za chemli na disorganized dwarf buildings!
Mtabaki na propaganda za kijinga kwa kutumia picha zisizo na ushahidi wakati nchi yenu ni failed statekigoma city
View attachment 734687
Best hospital in tzmwanza hospital
View attachment 734689
Comment on this wabongo
LolBest hospital in tz
Its only Kenya where toilet can flyIt's only in tz wea they refer villages as cities
We ha best public Hospitals in East and Central Africa, hiyo huwezi kubisha hata Kidogo, wagonjwa wengi wa moyo na cancer toka nchi za DRC, Uganda, Kenya, Burundi, Malawi, Zambia na Commoro wanakuja Tanzania badala ya India, tuna official MoU na Serikali za nchi nyingi kuleta wagonjwa kutibiwa Tanzania.
Chizi kama wewe sijawahi kumuona, KFC na McDonald ndiyo maendeleo wakati Turkana na Pokot wanakufa kwa njaa?, hapo Nairobi hata maji ni shida, vijana wengi hawana kazi, mamilioni wanaishi slums bila vyoo wala maji, unazungumzia KFC, yamejaa kibao hapa Dar, ila kwetu hayo sio maendeleo wala hatuyashabikii.
