Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kama kutoa risasi kwa Tundu Lisu ndio iliwashinda na kumleta kenya sasa kutibu cancer ndio mtaweza? hahaha
Home
Soma hii link ujionee mambo yalivyo, wakenya wengi wamejazana huku kutibiwa cancer zao, sisi sio kama ninyi hata poa ya Issack Rutto kuinyoosha mlishindwa, stupid country.
 
tusibishane sana😀😀😀😀😀


Nimekuambia tusibishane kuhusu barabara, hapo unatafuta aibu. nikikuuliza uniletee barabara za Dar niko sure utaleta mbili au tatu za maana kisha ukose kitu ya kuleta tena
 
na tundu lissu aliketwa kwenu kwasababu za kiusalama tu ni sawa raila apigwe risasi alaf jiulize familia yake watakubali atibiwe kenya????
Lazima tu ungesema hivyo. Vipi tena Kenya inakuwa na usalama wakati nyinyi ndo mnajua vile huku hakuna usalama?
 
Unatarajia gazeti la tanzania iandike nini? Linawezasema tanzania Inapokea wagonjwa kutoka hadi India na US
Actually The citizen ni gazeti la Kenya lenye branch lake Tanzania, ni kama KCB, ukitaka ushahidi vuka mpaka uje ujionee wakenya walivyojaza vitanda vya Ocean Road Hospital, kwenye Hospitali bor, Tanzania inapambana na South Africa pekee kusini mwa jangwa la sahara, meza hiyo pill.
 
😀😀😀😀
Top 12 Poorest Countries in Africa
  • Zambia. GDP Per Capita: $911. ...
  • Sierra Leone. GDP Per Capita: $901. ...
  • Liberia. GDP Per Capita: $900. ...
  • Niger. GDP Per Capita: $896. ...
  • Ethiopia. GDP Per Capita: $859. ...
  • Guinea-Bissau. GDP Per Capita: $856. ...
  • Burundi. GDP Per Capita: $753. ...
  • Tanzania. GDP Per Capita: $720.
    https://www.google.com/url?sa=t&rct...-africa.html&usg=AOvVaw1bBVwjcLhd0ON-zHmRDAE5
    220px-Africa_by_HDI%2C_UNDP_2004.png
Hahahahaha, endelea kujifajiri wakati nini ni failed state, only seven countries in whole world.
Kenya ranked as 'failed state'
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Lazima tu ungesema hivyo. Vipi tena Kenya inakuwa na usalama wakati nyinyi ndo mnajua vile huku hakuna usalama?
Mbona unauliza maswali ya std three pupil?, sasa muulize Tundu Lissu aliyeamua kuja huko, by the way hata yeye amelalamika kwamba Kenya huduma zenu ni mbovu sana, hamjui lolote ndiyo sababu amehamishiwa Belgium ambako waligundua makosa mengi sana yaliyofanywa Nairobi, wameanza kumtibu upya, stupid country.
 
😀😀😀😀
Top 12 Poorest Countries in Africa
CCA5ED25-A345-4B41-A49D-DF95F24E471F.jpeg





hii habari imeniskitisha sana no even money to buy papers serious😀😀
FE18DE80-2D00-42E6-AD99-93C5F8E78206.jpeg
 
Actually The citizen ni gazeti la Kenya lenye branch lake Tanzania, ni kama KCB, ukitaka ushahidi vuka mpaka uje ujionee wakenya walivyojaza vitanda vya Ocean Road Hospital, kwenye Hospitali bor, Tanzania inapambana na South Africa pekee kusini mwa jangwa la sahara, meza hiyo pill.
Ni ushabiki inakusumbua ndugu, naelewa.
 
wow surplus food in tanzania 2.6million tones
asante chuma magu 😀😀😀😀😀
F920A84F-3B7E-4481-BD9D-4D432D0B5194.jpeg
 
Back
Top Bottom