Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tuko Europe babaa hebu soma rangi Ya Kenya ulinganishe na Europe ama hata Merikani😀😀😀😀
aldc_LDCs_map_large.jpg
hasira zimekubamba hahhaha😀😀😀😀😀😀😀
 
Eti nisiforce tufanane?? Hehehe..that must be the joke of the year. sina hata tamaa ya mimi na wewe tufanane wala nchi yangu kenya kufanana na Tanzania. Mbona nitake kenya ifanane na nchi ldc kama Tanzania? You are not and will never be our role models so usiforce kitu haipo. Najua ukweli inauma ila ntakukumbusha tu kwamba jiji lenu mmejaza changaduo ( dream houses) kila corner bila kuwa na mpangilio. Nyumba za gable zenye bati zilozirust kila mahali halafu mnapiga kelele hapa!
Gmorning...hv Kenya mko na meggawatts ngap ya umeme kwa sasa...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
iko undercosntruction vp na hakuna sehemu wamejenga pedestrian path ?????😀😀😀😀
Ndugu yangu tujadili mambo mengine lakini sio swala la barabara coz hapo Dar haina usemi mbele ya Nairobi. nawaambia outtering bado inajengwa na mnazidi kuuliza kuhusu bus stops aliyewaambia hazitonjengwa ni nani? Kama zilewekwa Ngong rd, langata rd thika rd na barabara zingine nyingi zilizojengwa hivi majuzi mbona mnaona outtering ndio zitakosekana? Wacha hata pedestrian paths, hiyo barabara hata taa hazijawekwa. Tukianza kujadili barabara za Dar na Nairobi hapo mtakuwa mnatafuta aibu.
 
we diamond humepndi kisa mtanzania??😀😀
Napenda sana diamond tena mimi ni mfuasi mkubwa sana wa nyimbo zake ila kumuabudu ndio siwezi. Mtu mzima anashinda akituletea story za diamond asubuhi hadi jioni mbona nisiseme anamuabudu?
 
Ndugu yangu tujadili mambo mengine lakini sio swala la barabara coz hapo Dar haina usemi mbele ya Nairobi. nawaambia outtering bado inajengwa na mnazidi kuuliza kuhusu bus stops aliyewaambia hazitonjengwa ni nani? Kama zilewekwa Ngong rd, langata rd thika rd na barabara zingine nyingi zilizojengwa hivi majuzi mbona mnaona outtering ndio zitakosekana? Wacha hata pedestrian paths, hiyo barabara hata taa hazijawekwa. Tukianza kujadili barabara za Dar na Nairobi hapo mtakuwa mnatafuta aibu.
tusijadili vp wakat munajenga outering bila pedestrian path munategemea nn zaidi ya vifo taa sio issue hapa tunajadili njia za watembea kwa miguu watu wanakufa kwasababu hawana sehemu za kutembea wakat mwingine kwenye ukweli mukubali ukweli na kwenye udhaifu ukubali pia unapinga nn wakat watu wenyewe wameongea wanakufa we vp
 
Napenda sana diamond tena mimi ni mfuasi mkubwa sana wa nyimbo zake ila kumuabudu ndio siwezi. Mtu mzima anashinda akituletea story za diamond asubuhi hadi jioni mbona nisiseme anamuabudu?
hakuna mtu anamuabudu diamond by the way diamond kwa tanzania anaonekana ni mtu wa kawaida sana kwasbabu anaupinzani mkali kutoka kwa wasanii wengi sana
 
We ha best public Hospitals in East and Central Africa, hiyo huwezi kubisha hata Kidogo, wagonjwa wengi wa moyo na cancer toka nchi za DRC, Uganda, Kenya, Burundi, Malawi, Zambia na Commoro wanakuja Tanzania badala ya India, tuna official MoU na Serikali za nchi nyingi kuleta wagonjwa kutibiwa Tanzania.
Kama kutoa risasi kwa Tundu Lisu ndio iliwashinda na kumleta kenya sasa kutibu cancer ndio mtaweza? hahaha
 
munakosa mpaka pesa yakununua karatasi😀😀
View attachment 734930
😀😀😀😀
Top 12 Poorest Countries in Africa
 
tusijadili vp wakat munajenga outering bila pedestrian path munategemea nn zaidi ya vifo taa sio issue hapa tunajadili njia za watembea kwa miguu watu wanakufa kwasababu hawana sehemu za kutembea wakat mwingine kwenye ukweli mukubali ukweli na kwenye udhaifu ukubali pia unapinga nn wakat watu wenyewe wameongea wanakufa we vp
You must have been a dunder in your class
 
Kama kutoa risasi kwa Tundu Lisu ndio iliwashinda na kumleta kenya sasa kutibu cancer ndio mtaweza? hahaha
na tundu lissu aliketwa kwenu kwasababu za kiusalama tu ni sawa raila apigwe risasi alaf jiulize familia yake watakubali atibiwe kenya????
 
Back
Top Bottom