Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
They are not called bongolalas by mistake. ******** amewatia kufuli vichwaniimported shiny buses passing through slums and they think their government is working
They are not called bongolalas by mistake. ******** amewatia kufuli vichwaniimported shiny buses passing through slums and they think their government is working
Amesema aliziona Tz ama unataka kutudanganya daladala zipo pale Burundi?Uliziona tz wapi??
Tatizo Kenya ni kwamba, serikali ni kwa ajili ya watu wachache na kabila mbili, ndiyo sababu hamuoni faida ya serikali yenu. Huku Tanzania ni tofauti sana, serikali ndiyo baba ambaye anatafuta chakula kwa ajaili ya kuwalisha watoto wake, na kuhakikisha kuna usawa kati ya watoto wote, hakuna mtoto anayepata zaidi ya wengine, ndiyo sababu tuna best public Hospitals, kila mtu anapata chakula cha kutosha, na kila mtu anapata ulinzi wa maisha yake, kila mtu anapata maji ya kutosha, na kila mtu ana uhakika wa kupata ardhi kutokana na mahitaji yake, bila kuwakosesha wengine ardhi.Really? Acha nikujilishe kidogo mwarabu wa tandale...huku kenta hatukodishi ardhi kutoka kwa serikali mfanyavyo huko bongolala. Japo kuna badhi ta wakenya hawana ardhi, 90% ya wakenya wanamiliki ardhi, or ancestral land ambayo serikali haina usemi. Mimi binafsi babangu alikuwa na hekari zaidi ya mia moja ambayo aliridhi kutoka kwa babake miaka za 1890s. Hadi wa leo hiyo ardhi ni yetu japo imegawanywa kwa watato na wajukuu wake.
Really? Acha nikujilishe kidogo mwarabu wa tandale...huku kenta hatukodishi ardhi kutoka kwa serikali mfanyavyo huko bongolala. Japo kuna badhi ta wakenya hawana ardhi, 90% ya wakenya wanamiliki ardhi, or ancestral land ambayo serikali haina usemi. Mimi binafsi babangu alikuwa na hekari zaidi ya mia moja ambayo aliridhi kutoka kwa babake miaka za 1890s. Hadi wa leo hiyo ardhi ni yetu japo imegawanywa kwa watato na wajukuu wake.
They are not called bongolalas by mistake. ******** amewatia kufuli vichwani
Na sisi tunamiliki nyumba Dar na tunamiliki makwetu.Endeleeni kumiliki shacks ndani ya jiji. sisi tunapangisha nairobi na runamiliki nyumba makwetu.
Hizo za Dar ni nyumba au changaduo?Na sisi tunamiliki nyumba Dar na tunamiliki makwetu.
Hahahahaha..hayo ndiyo maendeleo kwa mujibu ya akili zako. Vipi kuhusu security, vipi kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama, vipi kuhusu uchafu wa mazingira, vipi kuhusu public transportation system, vipi kuhusu better public hospitals, vipi kuhusu inflation rate, vipi kuhusu unemployment, vipi kuhusu children of the streets and homeless people?. Ama kweli ninyi ni failed state, kumbe mkipiga kelele kwamba Kenya imeizidi Tanzania kwa maendeleo mnaangalia nyumba za ghorofa na barabara, stupid nyang'au.Moja ya maendeleo Nairobi imeshindia Dar ni kwamba iko na estates bora na zilizopangwa vizuri kuliko Dar. Pili, nairobi iko na barabara bora tena pana kuliko Dar ambayo ni juzi tu ndo mmeanza kujenga barabara. Naeza endelea zaidi ya hapo
what do you think? please share with us, we'd like to know what you thinkNa wazungu wakija mnawauzia au mnawakodishia
Didn't you see the part is said "naeza endeleo zaidi ya hapo"? it means that I could have mentioned more than just those two points. My brother, you could have done better by countering those two points I listed above badala ya kupiga kelele mithila ya mtu aliyekunywa mchuzi wa albino. Hata kwa hizo ulizotaja, hakuna kitu Dar isnshindia Nairobi. I can tell you that for free. Kwa sasa, let's tackle those two I listed above.Hahahahaha..hayo ndiyo maendeleo kwa mujibu ya akili zako. Vipi kuhusu security, vipi kuhusu upatikanaji wa maji safi na salama, vipi kuhusu uchafu wa mazingira, vipi kuhusu public transportation system, vipi kuhusu better public hospitals, vipi kuhusu inflation rate, vipi kuhusu unemployment, vipi kuhusu children of the streets and homeless people?. Ama kweli ninyi ni failed state, kumbe mkipiga kelele kwamba Kenya imeizidi Tanzania kwa maendeleo mnaangalia nyumba za ghorofa na barabara, stupid nyang'au.
umekaribishwa sana nairobiApo pazuri sana siku salary imeingia bank paaap ndio unaenda kubanjuka ukirudi home ukajitathimini kitu umefanya![]()
Tangu lini a fishing village like Dar ikashinda Nairobi? Pambanisheni hako ka glorified village kenu na Mombasa au hata Kampala. Nairobi iko na heshima yake ukanda huu kulinganishwa na ujinga kama Darila nachowakubali hawa wakenya wakizidiwa wanashindanisha kenya na DSM.
Roho inakubali lakini mdomo inakataa, that's what they areumekaribishwa sana nairobi
Wwe hua unatuona sisi wapuuzi sana hayo majengo yako pembeni kabisa mwa kibera na hayajajengwa leo au janaKwa watanzania mnaopenda kutaja kibera, this is what is happening on the ground.View attachment 713371
when was these pictures taken?
😀😀😀😀😀naona hata nje ya nairobi ujawai toka wewe sijui hata nauli yenyewe unaipatia wapi tembea wewe DSM aijasimama inarun kama motorTangu lini a fishing village like Dar ikashinda Nairobi? Pambanisheni hako ka glorified village kenu na Mombasa au hata Kampala. Nairobi iko na heshima yake ukanda huu kulinganishwa na ujinga kama Dar
Roho inakubali nini??? Hahah wakenya safari hamupumui😀😀😀😀😀Roho inakubali lakini mdomo inakataa, that's what they are
what do you think? please share with us, we'd like to know what you think