kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
okayyule sio germany yule ni Austria
hzo ni appartments za watu wanakodisha tofautisha kati ya kukodisha na kumiliki hvo ni vitu viwili tofaut kaka usichanganye mada kabisa😀😀😀😀😀😀😀😀Middle incomes estates in eastlands part of Nairobi showing parts of Buru Buru and Umoja estates. Tanzanians, these are the type of images we want from you. Sio picha za nyumba mija moja. Tuleteni picha za middle income estates like the ones above in Nairobi. Kazi kwenuView attachment 713269
Si lazima niwaulize kwa sababu waneweza shikwa na aibu wasiniambie ukweli kuhusu sehemu wanazoishi. Nilichofanya ni kuuliza google earth ambayo katwe najua haitanidanganya liwe liwaloUshafika Dar? Waulize hata ndugu zako maanake tunakaa nao huku Kinondoni,Kijitonyama,Sinza...waulize wanakaa sehemu kama Kibera?
Tuseme tuu ukweli, hatuna estates (dormitories) kubwa kwa middle income earners kama hizo though zipo lakini kwa uchache sanaMiddle incomes estates in eastlands part of Nairobi showing parts of Buru Buru and Umoja estates. Tanzanians, these are the type of images we want from you. Sio picha za nyumba mija moja. Tuleteni picha za middle income estates like the ones above in Nairobi. Kazi kwenuView attachment 713269
High rise apartments and paved roads are being built all over Kibera. Acha nitafute picha nikuleteeSehemu ndogo sana,lakini imeshindikana kabisa kuibadilish.
yani hajui kutofautisha kati ya mtu kumiliki nyumba na kukodisha appartments😀😀😀😀😀Tuseme tuu ukweli, hatuna estates (dormitories) kubwa kwa middle income earners kama hizo though zipo lakini kwa uchache sana
Ila place au nyumba waishio hao wa kuitwa middle income ni bora zaidi ya hizo dormitories zenu
Wengi wa vipato hivyo huishi kwenye apartment na nyumba zao binafsi
tuletee tunasubiri😀😀😀😀😀High rise apartments and paved roads are being built all over Kibera. Acha nitafute picha nikuletee
Unahitaji information zaidi ya picha za google.hzo ni appartments za watu wanakodisha tofautisha kati ya kukodisha na kumiliki hvo ni vitu viwili tofaut kaka usichanganye mada kabisa😀😀😀😀😀😀😀😀
naona geography ilimpiga chenga😀😀😀😀😀Unahitaji information zaidi ya picha za google.
Brt imepita morogoro road. Sehemu zote along morogoro road ni planned, ila ni high density, kwahio ukipiga aerial photo lazima utaona nyumba zimebanana.
Endelea kuishi kwa mazoea.Ulisema hapo awali kwamba Nairobi ni mji kadogo sana. Kwa kusema hivi naamini ya kwamba ulimaanisha udogo in terms of sq km ndo maana nikakupa mfano wa NY ambayo ni ni ndogo kwa dar in the same way. In short, umuhimu au maendeleo wa mji haupimwi kwa kwa wa eneo coz NY ni ndogo sana ila ni muhimu tena imeendelea kushinda dar just the same way Nairobi ni ndogo kwa Dar ila ni muhimu tena imeendelea kuliko Dar. that was my point
Tunajua Dar mnamiliki "dream houses" with hot jacxuzis as seen un Google earth images. my brother, Google eart never lies. Unaeza nidanganya hapa jf lakini Google earth haiwezihzo ni appartments za watu wanakodisha tofautisha kati ya kukodisha na kumiliki hvo ni vitu viwili tofaut kaka usichanganye mada kabisa😀😀😀😀😀😀😀😀
ushaelezwa tofautisha mtu kumiliki nyumba na kukodisha appartments na wakenya wengi mumekodisha hamuna ardhi ya kujenga 😀😀😀😀😀😀Tunajua Dar mnamiliki "dream houses" with hot jacxuzis as seen un Google earth images. my brother, Google eart never lies. Unaeza nidanganya hapa jf lakini Google earth haiwezi
Ni mandeleo gani Dar inazidia Nairobi? hebu taja hata mojaEndelea kuishi kwa mazoea.
Nairobi haijendelea kuishinda dar,hili ndilo tunaagiza mthibitishe tokea page one.afadhali useme ni mji muhimu maana umepata kuendelea muda mrefu kuizidi dar ya juzi juzi.
Ingekuwa vyema ungetaja wewe kwanza kuthibitisha madai yako kwa nairobi imeendelea kuzidi dar.Ni mandeleo gani Dar inazidia Nairobi? hebu taja hata moja
na kabla hujajibiwa wewe unafahamu vp maana ya maendeleo hebu tuanze hapo😀😀Ni mandeleo gani Dar inazidia Nairobi? hebu taja hata moja
Endeleeni kumiliki shacks ndani ya jiji. sisi tunapangisha nairobi na runamiliki nyumba makwetu.ushaelezwa tofautisha mtu kumiliki nyumba na kukodisha appartments na wakenya wengi mumekodisha hamuna ardhi ya kujenga 😀😀😀😀😀😀
Kwanza tujue anafahamu vp kuhusu maendeleo maana usije kupoteza muda ikawa mumetofautiana katika uelewaIngekuwa vyema ungetaja wewe kwanza kuthibitisha madai yako kwa nairobi imeendelea kuzidi dar.