ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Leta ushahidi kua hapo ni dar na ukileta wewe mwanaume wa kweli😀😀😀😀
Leta ushahidi kua hapo ni dar na ukileta wewe mwanaume wa kweli😀😀😀😀
Na siku ukileta ushahidi kua hapo dar nakupa dada yangu bure kabisaDar es salaam suburbs cheki hata BRT ni part of the big slum/suburb landmark😱😱
![]()
![]()
![]()
![]()
crown paints kenya PLC is a kenyan company established in 1958, anything else?Adui wa nyumba za kikenya.View attachment 712845
But u never use to paint ur house😀😀crown paints kenya PLC is a kenyan company established in 1958, anything else?
Ukiwa unajibu swali au unalinganisha vitu unapaswa kuanza na strong point, mwisho unamaliza na wiki points, hivyo ulivyotaja kamwe sio muhimu katika vipengele vya maendeleo ya watu, kama hayo niliyoyataja bado hayajafikiwa katika nchi kama ya Kenya yenye matatizo mengi ya msingi, vipi unazungumzia majumba ya ghorofa wakati maji ya kutumia ni shida?Didn't you see the part is said "naeza endeleo zaidi ya hapo"? it means that I could have mentioned more than just those two points. My brother, you could have done better by countering those two points I listed above badala ya kupiga kelele mithila ya mtu aliyekunywa mchuzi wa albino. Hata kwa hizo ulizotaja, hakuna kitu Dar isnshindia Nairobi. I can tell you that for free. Kwa sasa, let's tackle those two I listed above.
Aliyesema Dar es salaam imesimama nani? Najua inaendeleo kwa kasi yake ila Hata irun 100 meters per second haitawahi fikia Nairobi😀😀😀😀😀naona hata nje ya nairobi ujawai toka wewe sijui hata nauli yenyewe unaipatia wapi tembea wewe DSM aijasimama inarun kama motor
crown paints kenya PLC is a kenyan company established in 1958, anything else?
kwa vile nyie ni developed country😀😀😀😀😀😀Aliyesema Dar es salaam imesimama nani? Najua inaendeleo kwa kasi yake ila Hata irun 100 meters per second haitawahi fikia Nairobi
Ukatae ukubali huo ndo ukweli so endelea kujifariji. Na usisahau pia kuendelea kuleta picha za kiberaWwe hua unatuona sisi wapuuzi sana hayo majengo yako pembeni kabisa mwa kibera na hayajajengwa leo au jana
ila nachowakubali hawa wakenya wakizidiwa wanashindanisha kenya na DSM.
BRT yenyewe 21 km in a 1500 km sq cityThey are coming for you bro. BRT is their pride
heheh kabla hujakuwepo wewe humu alikuwepo wanjala alituonesha hio pic tukaamuumbua kwasababu tunaijua hio nairobi vzr sasa sijui wewe unataka kutudanganya nini???😀😀😀😀Ukatae ukubali huo ndo ukweli so endelea kujifariji. Na usisahau pia kuendelea kuleta picha za kibera
The longest in Africa...kikikiki.BRT yenyewe 21 km in a 1500 km sq city
very good ok prove nairobi GDP nd dar GDP am waiting😀😀😀😀😀😀😀😀😀Hehehe I think you've shown us all your Tanzanian village "cities" like mbeya etc etc......the GDP of Nairobi is equal to the whole of Tz
the longest and modern BRT in africa eat that😀😀😀😀😀😀 tafuta brt africa yenye urefu zaidi ya 20km ukipata nitagThe longest in Africa...kikikiki.
kwanza do u knw what is km sq means?????😀😀😀😀😀😀BRT yenyewe 21 km in a 1500 km sq city
You have danced to my tune, you see? that's precisely what I wanted to hear from you. Now danganyikan, wazungu wanaomiliki ardhi kwnya wamezikodisha, japo kuna waxhache wanaomiliki hizo ardhi. Halafu most of these farms are concentrated in two or three counties,mostly Nakuru, Naivasha and Laikipia counties. In Laikipia for instance, they own conservancies if you know what that is. So yes, most of them lease these pieces of land mostly for a period of 99 years. Next question?Nilijua hauwezi kujibu kwasababu inakuuma wazungu wanakuja wananunua ardhi na kuwapiga wakenya risasi wanapovuka na ni nchi yao.😀😀😀😀 subirini baada ya muda mtashtuka asilimia 25 ya ardi yenu inamilikiwa na wazungu.😀😀😀😀