Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

heheh mtu kwao bana😀😀😀😀😀
b729dadd72c6461fbdce2132563af2ec.jpg
 
Alafu mbona Dar ni vigumu sana kutofautisha slums na middle income or high income areas? Dar es salaam mitaa zote zinafanana shilinginkwa ya pili halafu hazina mpangilio jinsi hiyo picha unavyodhihirisha. Ukiingia google earth utaona nyumba za mabati zilizotapakaa kila mahali bila mpangilio wowote. Ndio maana siku zote tunaita huu mji wenu slum city
Njoo Dar ujionee wewe acha kutegemea google, hiyo inakuonyesha aerial view pekee, ama muulize CS Balala atakuambia kwamba Dar is a modern city wakati Nairobi is very old city.
 
In short hauijui Dar vilivyo, hata kama Dar iko unplanned kiasi gani huwezi ukashindwa kutofautisha sehemu za High, Middle, Normal na Lower income earner's

Of course areal view itakupa taswira ambayo sio nzuri yaan hutoweza kutofautisha sehem tajwa hapo juu

Uzuri wa Dar ni kwamba kila sehem za makazi sina status zake huwezi kwenda Tabata ambako ni Middle Income earners ukakuta kuna uswazi( Lower income ) NEVER

......
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza
Ni vigumu kutofautisho kwa sababu ukitazama images za Dar kwenye gogle earth, unachoona ni nyumba za mabati zilizorundikana kila mahali. Kwa kweli ni sehemu chache sana Dar ziko na mvuta ukiingia pale Google earth ambayo inatoa uhalisia wa mambo. In short, Dar haina mpangilio
 
Hayo mambo ya LDC ni mambo ya kukokotoa tuu namba, mwanahisabati yeyote anaweza kubadilisha hapa na kuweka pale ili tuu kutengeneza takwimu za kupendezesha wawekezaji. Tanzania sisi sera yetu haijawahi kuwa hiyo, sisi tunataka maendeleo ya kweli, yaani kuondoa ujinga, umasikini na maradhi.

Nilipodekezea kuwa nchi yetu inaakili nilimaanisha tulianza kujenga nchi toka chini kabisa... kwenye msingi wa umoja na usawa. kutoka wahandisi (Engineer) wawili mpaka sasa tunao lukuki kama wale wanao jenga SGR. Kutoka nchi yenye makabila karibu 130 yanayoongea lunga zaidi ya 200 mpaka watanzania wanaoongea lugha moja ya kiswahili.

Hakuna nchi yeyote Afrika iliyofanya hivyo.

Mambo tuliyoyafanya hapo nyuma, japo tulipata watu waliotuyumbisha, yalikuwa ya msingi ndiyo maana kwa nje tulionekana kama vile tumezubaa. Lakini sasa baada ya msingi 'jumba' letu refu limeanza kuchomoza na wewe ni shahidi jinsi maendeleo yanayotokea katika kipindi cha miaka hivi ya karibuni.
word...
 
Njoo Dar ujionee wewe acha kutegemea google, hiyo inakuonyesha aerial view pekee, ama muulize CS Balala atakuambia kwamba Dar is a modern city wakati Nairobi is very old city.
Kwa hivyo google earth inadanganya?
 
Ni vigumu kutofautisho kwa sababu ukitazama images za Dar kwenye gogle earth, unachoona ni nyumba za mabati zilizorundikana kila mahali. Kwa kweli ni sehemu chache sana Dar ziko na mvuta ukiingia pale Google earth ambayo inatoa uhalisia wa mambo. In short, Dar haina mpangilio
upload_2017-10-24_12-28-17-png.616083
 
Ni vigumu kutofautisho kwa sababu ukitazama images za Dar kwenye gogle earth, unachoona ni nyumba za mabati zilizorundikana kila mahali. Kwa kweli ni sehemu chache sana Dar ziko na mvuta ukiingia pale Google earth ambayo inatoa uhalisia wa mambo. In short, Dar haina mpangilio
Kama hivi...
2008_riot_aftermath3_600.jpg
 
Hatukatai Nairobi ni ndogo kwa Dar jinsi New York pia ni ndogo kwa Dar kiukubwa. Nadhani umepata nilichodhamiria hapo
Sasa nai iko kundi lipi kati ya new york au dar.

Maana new york ni ndogo kuliko dar in term of diametre but interm of density new york ni zaidi mbali unaweza ona hata kwa idadi ya watu.

Sasa sijui nairobi unaweza ukaijengea hoja gani,ni ndogo kwa eneo,wingi wa majengo na thamani pia,wala idadi ya watu ni ndogo.

Embu hangaika kunishawishi maana sioni una hoja gani.
 
Back
Top Bottom