Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mbona unabadilisha goli? we were talking about Nairobi, ardhi kwingineko kenya ni story ya siku ingine. Ila naamini kwamba ujumbe umepokea. bei ya ardhi iko juu Nairobi coz it's a competitive city given its significance in this region and Africa as a whole
Nihamishe goki iweje??nakupa fakti kijana.

Na ukweli unaujua ila sababu ni mchungu hutaki kumeza.kama ni rahisi hivyo makampuni nayo yangetoka nje ya jiji kukwepa gharama hizo za ardhi CBD.
 
Kando ya hapo slums zinaonekana tayari na tukiwambia kuwa Dar/tz ni slum prone country mnatokwa povu...hebu cheki rusty iron sheets hapo kwa huo upuzi umepost.

Slum ipi au kila nyumba yenye mabati yenye kutu ni slum.
 
utaorodhesha sana safari hii
Hahaa
Utasema
-Electric Train
-BRT phase 2
-JNIA T3
-Ubungo Interchange
-Tazara Flyover
-Kimara * Kibaha Superhighway
😀😀😀
😀 If wishes were projects, Tanzanians would accomplish many,
 
A middle income estate in Dar is slum with the overrated brt passing through. These are images they will never show you. Watakuletea picha ya brt next to those three blue towers in different angles a screaming caption of Miami!
4802.jpg
 
A middle income estate in Dar is slum with the overrated brt passing through. These are images they will never show you. Watakuletea picha ya brt next to those three blue towers in different angles a screaming caption of Miami!View attachment 713202
brother, hiyo ni Manzese place ambayo 90% ya waishio hapo ni Lower income heb elewa kwanza hilo

Middle income zina sehem zake bana, ingia hata Wikipedia mbona wameorodhesha sehem zote ki status za watu kuanzia High, Middle, Normal na Lower Income
 
Nihamishe goki iweje??nakupa fakti kijana.

Na ukweli unaujua ila sababu ni mchungu hutaki kumeza.kama ni rahisi hivyo makampuni nayo yangetoka nje ya jiji kukwepa gharama hizo za ardhi CBD.
Sasa unataka kampuni kama Genral motors ihame nairobi iende ijenge kiwanda garissa ama Kakamega juu ardhi ni gali Nairobi ama unajaribu kmaanisha nini? Ile fushing village yenu Dar haina viwanda au makampuni zilizilowekeza huko?
 
brother, hiyo ni Manzese place ambayo 90% ya waishio hapo ni Lower income heb elewa kwanza hilo

Middle income zina sehem zake bana, ingia hata Wikipedia mbona wameorodhesha sehem zote ki status za watu kuanzia High, Middle, Normal na Lower Income
Hapo ni Dar's best suburbs yani slums .
 
Sasa unataka kampuni kama Genral motors ihame nairobi iende ijenge kiwanda garissa ama Kakamega juu ardhi ni gali Nairobi ama unajaribu kmaanisha nini? Ile fushing village yenu Dar haina viwanda au makampuni zilizilowekeza huko?
Hamna kiwanda cbd.na majengo mengi yanajengwa pembeni kabisa ya mji.

Si unajua sisi huwa tunatumia akili vizuri kuliko watu kama wakenya.
 
brother, hiyo ni Manzese place ambayo 90% ya waishio hapo ni Lower income heb elewa kwanza hilo

Middle income zina sehem zake bana, ingia hata Wikipedia mbona wameorodhesha sehem zote ki status za watu kuanzia High, Middle, Normal na Lower Income
Alafu mbona Dar ni vigumu sana kutofautisha slums na middle income or high income areas? Dar es salaam mitaa zote zinafanana shilinginkwa ya pili halafu hazina mpangilio jinsi hiyo picha unavyodhihirisha. Ukiingia google earth utaona nyumba za mabati zilizotapakaa kila mahali bila mpangilio wowote. Ndio maana siku zote tunaita huu mji wenu slum city
 
Alafu mbona Dar ni vigumu sana kutofautisha slums na middle income or high income areas? Dar es salaam mitaa zote zinafanana shilinginkwa ya pili halafu hazina mpangilio jinsi hiyo picha unavyodhihirisha. Ukiingia google earth utaona nyumba za mabati zilizotapakaa kila mahali bila mpangilio wowote. Ndio maana siku zote tunaita huu mji wenu slum city
Unataka kuona nyumba za middle na upper income???una moyo lakini usije anza kulia hapo ulipo??
 
Back
Top Bottom