Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
That's kibera ni Nairobi. Swali ni je, kuna tofauti gani kati ya hiyo picha ya kibera na ile niliyoleta ya dar ambayo ni middle income estate? Cha ajabu ni kwamba mitaa zote za dar zinafana na hiyo picha ya kibera