Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna kiwanda cbd.na majengo mengi yanajengwa pembeni kabisa ya mji.

Si unajua sisi huwa tunatumia akili vizuri kuliko watu kama wakenya.
Nani alikwambia kwamba nairobi kuna viwanda cbd? When it comes to planning, Dar ni mtoto sana kwa Nairobi. najua pengine hujawahi fika nairobi but the city has a special industrial zone far from the cbd called Indutrial Area, the biggest in east and central Africa. Pale kuna mamia kwa mamia ya viwanda. Fika Nairobi siku moja nikutembeze industrial area
 
Tz bado ni ile ile ya 90s
Naona wewe mkikuyu unawadanganya wakenya wenzio wasije kushitukia kuwa wakikuyu wameikwamisha Kenya Kwa ufisadi??
Sisi watz tunataka kuwa zindua wakenya kuusu upotoshaji wa wakikuyu kuusu maendeleo ya kenya
 
Second phase
A1A1CF7F-6014-44A6-946A-BB0102946A21.jpeg
 
Unataka kuona nyumba za middle na upper income???una moyo lakini usije anza kulia hapo ulipo??
Usituletee picha za nyumba moja moja. Tunataka kuona aerial photos za hizo mitaa. Just make sure zisiwe za beach estates coz tunajua huko ni kwa mabwenyenye wa dar. Tunataka middle inacome estates. Kazi kwako
 
Nani alikwambia kwamba nairobi kuna viwanda cbd? When it comes to planning, Dar ni mtoto sana kwa Nairobi. najua pengine hujawahi fika nairobi but the city has a special industrial zone far from the cbd called Indutrial Area, the biggest in east and central Africa. Pale kuna mamia kwa mamia ya viwanda. Fika Nairobi siku moja nikutembeze industrial area
Dar is just a mistake......planning is a mirage
 
Nani alikwambia kwamba nairobi kuna viwanda cbd? When it comes to planning, Dar ni mtoto sana kwa Nairobi. najua pengine hujawahi fika nairobi but the city has a special industrial zone far from the cbd called Indutrial Area, the biggest in east and central Africa. Pale kuna mamia kwa mamia ya viwanda. Fika Nairobi siku moja nikutembeze industrial area
Nani kasema nairobi kuna viwanda cbd??embu soma kwanza nilichoandika.kama hujui industrial zone iko dara pia.hoja yangu ilikuwa sio kurundikana hapo CBD hata kama bei ya ardhi ni juu.ndio maana kamji ni kadogo sana.

Halafu sijawahi kuja nai,but sioni kama kuna kinachoweza kunileta huko labda kwa kazi ya kutumwa.
 
No, that's Dar, mate. The city they spend sleepless nights to compare with Nairobi, the most important city in this region! hata hawana haya
90% of Dar looks that way.....lakini porojo hapa jf ndio wao
 
Alafu mbona Dar ni vigumu sana kutofautisha slums na middle income or high income areas? Dar es salaam mitaa zote zinafanana shilinginkwa ya pili halafu hazina mpangilio jinsi hiyo picha unavyodhihirisha. Ukiingia google earth utaona nyumba za mabati zilizotapakaa kila mahali bila mpangilio wowote. Ndio maana siku zote tunaita huu mji wenu slum city
In short hauijui Dar vilivyo, hata kama Dar iko unplanned kiasi gani huwezi ukashindwa kutofautisha sehemu za High, Middle, Normal na Lower income earner's

Of course areal view itakupa taswira ambayo sio nzuri yaan hutoweza kutofautisha sehem tajwa hapo juu

Uzuri wa Dar ni kwamba kila sehem za makazi sina status zake huwezi kwenda Tabata ambako ni Middle Income earners ukakuta kuna uswazi( Lower income ) NEVER

......
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza
 
In short hauijui Dar vilivyo, hata kama Dar iko unplanned kiasi gani huwezi ukashindwa kutofautisha sehemu za High, Middle, Normal na Lower income earner's

Of course areal view itakupa taswira ambayo sio nzuri yaan hutoweza kutofautisha sehem tajwa hapo juu

Uzuri wa Dar ni kwamba kila sehem za makazi sina status zake huwezi kwenda Tabata ambako ni Middle Income earners ukakuta kuna uswazi( Lower income ) NEVER

......
Usichokijua ni sawa na usiku wa giza
Weka suburbs za dar tofauti na hizi na upunguze longolongo nyingi.
planet-e-leben-im-abwasser-bilderserie-dreharbeiten1-100~1920x1080
 
Naona wewe mkikuyu unawadanganya wakenya wenzio wasije kushitukia kuwa wakikuyu wameikwamisha Kenya Kwa ufisadi??
Sisi watz tunataka kuwa zindua wakenya kuusu upotoshaji wa wakikuyu kuusu maendeleo ya kenya
Wakikuyu ndio wameifanya Tz kuwa LDC?
 
Nani kasema nairobi kuna viwanda cbd??embu soma kwanza nilichoandika.kama hujui industrial zone iko dara pia.hoja yangu ilikuwa sio kurundikana hapo CBD hata kama bei ya ardhi ni juu.ndio maana kamji ni kadogo sana.

Halafu sijawahi kuja nai,but sioni kama kuna kinachoweza kunileta huko labda kwa kazi ya kutumwa.
Hatukatai Nairobi ni ndogo kwa Dar jinsi New York pia ni ndogo kwa Dar kiukubwa. Nadhani umepata nilichodhamiria hapo
 
Back
Top Bottom