Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapana mkuu mimi ni mswahili wa Dar,kubali hilo
Uongo ni dhambi kwangu,....Ukweli Tanzania kama nchi hatuna ndoto, na asie na ndoto hana maendeleo😵
Kama umekata tamaa uku hatutoi ushauri wa watu kama ninyi,Wewe ndio huna akili usijifanye unatusemea
 
Ichboy every second uko kwa page ya citizen TV au ntv it's nice to know vile mnafuatilia news za Kenya....unfortunately hatujui zenyu
Don't mind them bro...We are their big brothers so they must l watch every move we make to learn from us. Just the samevway we also watch BBC and CNN to learn from the British and Americans respectively. Do you remember how they were glued to their TV sets watching supreme court proceedings in August last year? they even posted screen shots of the same here with kadoda leading followed by ichoboy. To be honest I don't know any Tanzanian news channel lakini wao wanajua zetu zote
 
Ofisi ,Oysterbay
8f7857b6dc9b85bc8f818cba2dc2daab.jpg
 
hzo picha ni wapi????? hebu nieleze maana hua munapost sasa je ni wapi????😀😀😀😀😀
Mbona mnapenda sana kukana picha za Dar zinazoonyesha uhalisi ya mambo. Mnawekanga za kibera humu ndani wala hatujawahi kuyakana. Vipi nyie wabongo?
 
I guess I am not the only one that not informed about the development plan of Tanzania,There is millions of Tanzania don't real know what is going on this country,that shame isn't,we need Transparency!!!

Why secret Mkuu kwasabu hamna chochote kinachofanyika kila kitu ni ahadi hewa....,next time jibu kwa kiswahili ili wasahili tupate kukufahamu,.....Comprende

Kwahiyo serikali ikitaka kujenga kila kitu inabidi iweke matangazo kila kata.?
 
Mbona hizo picha za flyovers na hayo magorofa unaleta horizontal photos, ila hizi unaleta aerial far above, unaficha nini, hizo picho ukiondoa hiyo moja, zingine zote sio Tanzania, unajaribu kutumia kila njia kujitoa katika aibu ya slums za Nairobi
Sasa hiyo picha hata angeileta horizontal view ingeonyesha flyovers na magorofa gani wakati mimi ninachoona hapo ni vibanda? ama unataka miujiza ifanyike hizo vibanda vibadilike view magorofa na flyovers? hebu ni jibu
 
Hapa unaleta horinzal views, very close ili tuone details, ila utapotaka kuonyesha kama Tanzania kuna slums unatuletea aerial view iliyopigwa kwa juu sana ili kuficha ukweli kwasababu unajua hakuna slums Tanzania
Kwani ni nini anaficha kwa ile picha aliyoleta? Tuko na macho na tunaona kwamba japo picha ilipigwa kwa mbali lakini hizo ni vibanda.
 
Nyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Wewe zidi kuumia. hiyo picha inaonyesha how the rest of Nairobi looks outside slum areas. Kwa ufupi, hivyo ndivyo Nairobi inavyokaa. Sio zile swahili villages za Dar
 
Tanzania watu wanajenga wenyewe nyumba za ndoto zao , unatafuta ramani nzuri unayopenda mwenyewe unajenga house of your dream

Nairobi ni watu wachache wanawajengea maskini wakapange waishi kwenye nyumba zinafanana ambazo ni dormitories

Kumbuka any house that you share same build more than one family that is dormitory.

Nairobi mwanaume mzima na familia yake ame rent nyumba kwa landlord I can see the humiliation mnapitia

Mwanaume wa Nairobi anapigwa na mwanamke maana mostly hawana mawazo ya kujenga wanawaza kuama kutoka dormitory moja kwenda dormitory nyingine akiwa kafanikiwa kutoka kibera
Hizo "dream houses" tumeziona hapa mda mrefu sana zikiwa kwenye zile picha mnazokana kwamba sio za Dar. Continue building your "dream houses" bongolalas
 
Kwahiyo serikali ikitaka kujenga kila kitu inabidi iweke matangazo kila kata.?
Ndio kama miradi ni ya kuwaletea maendeleo wananchi lazima wananchi wazujuzwe...

Tunavyoona wenzetu walioendelea wanavyofanya,utasikia habari kwenye TV,au radio,au kwenne serikali za mitaa,kwaupi maendeleo hayawezi kupatikana bila ya kushirikisha yule mwananchi aliekuwepo sehemu ambayo mradi unataka kufanyika,mwananchi anatakiwaa afahamishwe ili ajue umuhimu wa ule mradi,

Bila ya kufanya hivyo,ndio tunaona miradi isiomalizika,tunaona miradi iliojaa rushwa,tunaoa miradi yenye utaa kibao, nakadhalika nakadhalika...

mwananchi ana haki ya kuuliza kwanini huu mradi umetumia pesa nyingi au kwanini huo mradi haumaliziki,nakadhalika nakadhalika

kwavile mwananchi ameshajua umuhimu wa huo mradi ujue mambo mengi ya huo mradi yatakwenda salama,

Yes,serikali ni wananchi,bila ya wananchi hakuna serikali bali kunakuwa na kikundi cha watu kunachowatumia wananchi kwa manufaa yao binafsi...,
 
Kama umekata tamaa uku hatutoi ushauri wa watu kama ninyi,Wewe ndio huna akili usijifanye unatusemea
Poa mkuu,hayo yanajulikana,na ndio maana nchi na mji yetu haiendelei...mimi simsemi mtu isipokuwa nachangia maoni yangu,si lazima uyakubali...
 
Hapana mkuu mimi ni mswahili wa Dar,kubali hilo
Uongo ni dhambi kwangu,....Ukweli Tanzania kama nchi hatuna ndoto, na asie na ndoto hana maendeleo😵
Sisi hatuna ndoto tuna vision. Hii inaonyesha kweli wew mkikuyu wa kibera. Unawaza ndoto tu.
 
Back
Top Bottom