LNyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Nyumba ata rangi wameshindwa afford alafu unafananisha na DSM
LNyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Nyumba ata rangi wameshindwa afford alafu unafananisha na DSM
Inawezekana kaka kichwa changu ni cha mlevi lakini kweye list kipengele cha kwanza "Master Plan of the city" ndio matatizo ya Daresalam,huwezi kujenga majumba marefu lakini hakuna mambo ya msingi kwa wakaazi wa hayo majumba,hizo ni akili za kijinga....Unaongea kama umekatwa kichwa,Hayo sio maswali buda
Unaongea kama vile unakapoint lakini bado sijakuelewa,Unapojenga jengo refu mambo mengi huzingatiwa ambayo kiutalaam yanafahamika,sasa sijui imeibukia wapi Unaenda hadi kunisaidia kuwaza kuhusu majengo Marefu, niliwah kuambia lini kwamba ndio kipimo cha maendeleo?Inawezekana kaka kichwa changu ni cha mlevi lakini kweye list kipengele cha kwanza "Master Plan of the city" ndio matatizo ya Daresalam,huwezi kujenga majumba marefu lakini hakuna mambo ya msingi kwa wakaazi wa hayo majumba,hizo ni akili za kijinga....
Mtu kama wewe unaona majumba marefu ndio maendeleo,mimi naona majumba kama hayo ni matatizo kwa jamii ya kitanzania...
Hatujafikia huko bado,wakati utafika,lakini bado kwanza tujikite kwenye kutatua mambo ya lazima....
JJ sote hapa tunajua uwezo wako katika thread hii. usi argue na huyo kijana, atashusha credibility yako ili ajione yupo sawa na wewe katika kujenga hoja.
mpuuze please.
mpuuze kama mimi nilivyompuuza yule kilaza wa mombasa... yule mimi hata ani quote huwa simjibu kwa kum-quote.
namjibia pembeni kuonyesha ni jinsi gani nimemdharau.

Wenzetu wakenya wana ndoto hizi,Je Tanzania tuna ndoto gani....
Kama uchumi wa Kenya imepikwa basi hata ile ya Dar ya real estate pia imepikwa kwa sababu zote ni data za world bank. how about that?Nani kasema sio uchumi wa kupika, hiyo figure imepikwa kama ambavyo international community imeonyesha wasiwasi wake juu ya hilo. Mimi nimesema hata kama mtapika figure na kuonyesha kwamba GDP ni $100B, inafaida gani kama ninyi wananchi haiwasaidii?, acha kulazimisha mambo.
world bank october 2017 wametoa uchumi wenu ni 55 b sasa nieleze hio 70 mumeitoa wapiKama uchumi wa Kenya imepikwa basi hata ile ya Dar ya real estate pia imepikwa kwa sababu zote ni data za world bank. how about that?
Mimi ni mswahili wa Daresalam mkuu,Kenya nilienda kama mtalii tu,mawazo na fikra za wanannchi kwenye makaazi ndio yanayoleta mandeleo ya sehemu husika...wewe ni mkenya wala usifkiri tumekunyamazia ukajua hatujakujua haya tuoneshe hio render ya konza
wacha hasira bana😀😀😀😀wewe ni mkenya wala usifkiri tumekunyamazia ukajua hatujakujua haya tuoneshe hio render ya konza
kama hiyo inclusivity ingewasaidia kutoka ldc ama hata kuwa na uchumi kubwa ukanda huu, Ingekuwa na maana sana. Lakini kama bado mmekwama pale ldc miaka hamsini tangu mpate uhuru, then those data are just as useless as tanzanians themselves
thank you for speaking the truth brother...if you cant beat them, join them...mwambie huyo jamaa...wewe ukazungumza tu ukweli jamaa kasha kurukia na masingizio kana kwamba anaumwa...Mimi ni mswahili wa Daresalam mkuu,Kenya nilienda kama mtalii tu,mawazo na fikra za wanannchi na wakaazi wa sehemu ndio yanayoleta mandeleo ya sehemu husika...
Siwezi kuusifia Mji wa Daresalam wakati najua wakaazi wake bado hawana akili za maendeleo,wewe mwenyewe Mkuu jifikiri kwanini umeanza kunituhumu kuwa mimi ni Mkenya??
Mimi naona umenishutumu kuwa sio MTz kwasababu hoja zangu zina mshiko,hayo sio maendeleo wasawhili wanasema "kama huwezi kuwashinda ungana nao" ...nafikiri hamna mkenya na baadhi ya watazania wanaweza kuandika Kiswahili ninachoandika,
Niwie radhi mkuu😉
Wenzetu wakenya wana ndoto hizi,Je Tanzania tuna ndoto gani....
hehe ujue mbongo utamjua tu sasa mm nilishamjua muda tu na hawez kutusumbua😀😀😀😀😀wacha hasira bana😀😀😀😀
huyo mkenya asikusumbue bureThe fact that unauliza hilo swali linaonyesha you're ignorant. Kabisa hujui mipango ya maendeleo ya nchi yako? Unataka tukuletee hapa?
Niletee link ya hiyo data kutoka kwa world bank site. Usilete site yotote apart from world bank kwa sababu umesema wao ndio walitoa reportworld bank october 2017 wametoa uchumi wenu ni 55 b sasa nieleze hio 70 mumeitoa wapi
nishakujua muda tu endelea kujifanya nyoka wa kibisa walipita wengi sana watu kama wewe 😀😀😀Mimi ni mswahili wa Daresalam mkuu,Kenya nilienda kama mtalii tu,mawazo na fikra za wanannchi na wakaazi wa sehemu ndio yanayoleta mandeleo ya sehemu husika...
Siwezi kuusifia Mji wa Daresalam wakati najua wakaazi wake bado hawana akili za maendeleo,wewe mwenyewe Mkuu jifikiri kwanini umeanza kunituhumu kuwa mimi ni Mkenya??
Mimi naona umenishutumu kuwa sio MTz kwasababu hoja zangu zina mshiko,hayo sio maendeleo wasawhili wanasema "kama huwezi kuwashinda ungana nao" ...nafikiri hamna mkenya na baadhi ya watazania wanaweza kuandika Kiswahili ninachoandika,
Niwie radhi mkuu😉
Niletee mkuu,kuliza sio kuwa niko "ignorant" labda hiyo mipango ni ya siri au hakuna sehemu ambayo wananchi wa kawaida kama mimi tunawezakuiona kirahisiThe fact that unauliza hilo swali linaonyesha you're ignorant. Kabisa hujui mipango ya maendeleo ya nchi yako? Unataka tukuletee hapa?