mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,446
- 4,951
Hii battle hawaezi ata wakaungana na kina Uganda na Rwanda against NairobiImara Daima.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hii battle hawaezi ata wakaungana na kina Uganda na Rwanda against NairobiImara Daima.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hzo picha ni wapi????? hebu nieleze maana hua munapost sasa je ni wapi????😀😀😀😀😀
Hahaa utapinga hadi picha za dar..haya tuletee aerial view ya dar 10km away from the cbdnijibu swali niliyokuuliza hzo picha ni wapi hapo??
leo nataka nikuoneshe hzo picha ni za wapi sasa nasubiria jibu ??? na usikimbie swali😀😀😀
It's Dar vs Nairobi buddy! Kagera ndio shimo gani?
Haya madubwasha yapo kibao kule Kigamboni hayana wakazi.....wabongo hawapendi kukaa kwenye community hivi, wanapenda kuwa na nyumba binafsi na sio apartments.tuendelee ama tusiendelee
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Mzee baba mbona humu kuna raia wamepost hadi picha za mombasa, kwani hawajui kama ni Dar vs Nair
Na kwa taarifa yako hii ni KE Vs TZ hiyo Dar vs Nai ni kichwa cha habari tuu
Ndiyo sababu tunawaita ninyi wajinga sana, hamjui lolote linaloendelea nje ya Kibera, ndiyo sababu hamuamini kama kuna nchi jirani yenu hakuna slums, hakuna njaa, hakuna corruption kwasababu mnachukulia maisha yenu ndiyo kipimo cha maisha ya binadamu wote.Ichboy every second uko kwa page ya citizen TV au ntv it's nice to know vile mnafuatilia news za Kenya....unfortunately hatujui zenyu
Mbona hizo picha za flyovers na hayo magorofa unaleta horizontal photos, ila hizi unaleta aerial far above, unaficha nini, hizo picho ukiondoa hiyo moja, zingine zote sio Tanzania, unajaribu kutumia kila njia kujitoa katika aibu ya slums za NairobiIf these are your dream Houses then mkae tu ligi yenyu
![]()
![]()
Hapa unaleta horinzal views, very close ili tuone details, ila utapotaka kuonyesha kama Tanzania kuna slums unatuletea aerial view iliyopigwa kwa juu sana ili kuficha ukweli kwasababu unajua hakuna slums TanzaniaImara Daima.....
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Hahaha ....in flocki's tone......Ndiyo sababu tunawaita ninyi wajinga sana, hamjui lolote linaloendelea nje ya Kibera, ndiyo sababu hamuamini kama kuna nchi jirani yenu hakuna slums, hakuna njaa, hakuna corruption kwasababu mnachukulia maisha yenu ndiyo kipimo cha maisha ya binadamu wote.
Nairobi partners with Rwanda to clean city
theeastafrican.coke
Jan 28, 2018 11:54 AM

Rwandan High Commissioner to Kenya James Kimonyo (centre) joins Rwandans living in Kenya during the 'Umugunda' general cleaning exercise in Gigiri, Nairobi on January 27, 2018. The Nairobi City County government has partnered with the Rwandan High Commission in an effort to improve cleanliness in the city. PHOTO | COLLINS OMULO | NATION MEDIA GROUP
Th
Mpaka mfundishwe usafi na wanyarwanda,aibu!

Sasa tufuatilie nini kwa LEAST DEVELOPED COUNTRIES?Ndiyo sababu tunawaita ninyi wajinga sana, hamjui lolote linaloendelea nje ya Kibera, ndiyo sababu hamuamini kama kuna nchi jirani yenu hakuna slums, hakuna njaa, hakuna corruption kwasababu mnachukulia maisha yenu ndiyo kipimo cha maisha ya binadamu wote.
Nyumba ata rangi wameshindwa afford alafu unafananisha na DSMImagine that is just eastlands, a middle income area. In Dar, nyumba kama hizo zinapatikana mbezi beach
Nyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Nyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Nyumba zipigwe rangi na cement plasta , au hakuna Rangi Kenya
Hahaa utapinga hadi picha za dar..haya tuletee aerial view ya dar 10km away from the cbd
even tz is twice bigger than kenya with a smaller economyLand is real estate. Dar as a province land area is twice that of nairobi so.... Look for something else.