Moja katika kitu ambacho watashidwa kwenda mbele au kinaturudisha Tanzania nyuma kimaendeleo ni kuwa kitu kitu tunakita kwenye siasa...
Wanasiasa wamewazeza kuwateka watanzania wengi akili zao kiasi ambacho mtanzania wa kawaida hasa wale watanzania wa hali ya chini,hawawezi kufikiri chochote bila ya kuweka siasa..
Mkuu nikuulize kwani kama Daresalam itaendelea atakaenufaika CHADEMA Pekee yake au CCM peke yake,hapana watakao nufaika ni watanzania wote,wakaazi wa Daresalam
Mkuu,mimi sio mpenzi wa chama chochote cha kisiasa,chama chagu kikubwa ni chama cha kutafuta pesa ile nipate kulisha familia yangu
Kura nyangu nampigia yoyote yute ambae naona kwa wakati ule ana sera nzuri itayonitoa katika umasikini,yule mwenye sera yenye manufaa na mimi...
"I am the king of my destiny",,,😛,