Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wacha hasira bana😀😀😀😀
Achana na hawa bongolala. character assassination is what they know best. Every time one of their own talks anything negative about Tanzania, he is labeled kenyan and receives all manners at attack
 
Niletee link ya hiyo data kutoka kwa world bank site. Usilete site yotote apart from world bank kwa sababu umesema wao ndio walitoa report
dont even bother bro....he will tell you Kenya GDP is 55B😀😀😀😀...I have had that debate with the guy before...
 
Niletee mkuu,kuliza sio kuwa niko "ignorant" labda hiyo mipango ni ya siri au hakuna sehemu amabyo wananchi wa kawaida kama mimi tunawezakuiona kirahisi

waswahili wanasema "Kuuliza sio ujinga",mjinga ni yule asiejibu kile anachoulizwa😉
Igoogle ata saiv mbona ipo online. Tatizo la nchi hii sio kutokuwa na mipango mipango ipo ila utekelezwaji ni duni.
 
Mimi ni mswahili wa Daresalam mkuu,Kenya nilienda kama mtalii tu,mawazo na fikra za wanannchi kwenye makaazi ndio yanayoleta mandeleo ya sehemu husika...

Siwezi kuusifia Mji wa Daresalam wakati najua wakaazi wake bado hawana akili za maendeleo,wewe mwenyewe Mkuu jifikirie kwanini umeanza kunituhumu kuwa mimi ni Mkenya??

Mimi naona umenishutumu kuwa sio MTz kwasababu hoja zangu zina mshiko,hayo sio maendeleo wasawhili wanasema "kama huwezi kuwashinda ungana nao" ...nafikiri hamna mkenya na baadhi ya watazania wanaweza kuandika Kiswahili ninachoandika,I I I I
And I I I
Niwie radhi mkuu😉
Eti we can't beat them huko kibera na mathare ulifika ndio ukaona hatutowaweza? Wewe ni nyumbu wa chadema hakuna asiekujua kupinga kila kitu MAGUFULI anachokifanya mwishoni unapinga mpaka nchi unayoishi Eti ndio upinzani kupinga kila kitu pumbavu kabisa nusu kaputi
 
Acha dharau hawa majamaa yanadharau Burundi siyo unayoiona al jazeera and other mainstream media brother
Tunawadharau kwa sababu licha ya nyinyi kuwa na rasilimali kadhaa bado mko ldc. Tutazidi kuwadharau hata zaidi hadi ile siku mtafungua macho kutumia rasilimani zenu kujenga nchi yenu itoke kwenye Ile list ya aibu
 
maumivu yakizidi...muone daktari....jamaa mswahili ushaanza kumsingizia😀😀😀
Hao ni nyumbu walikua wakimuunga mkono Uhuru wale nyumbu pale harambee house hawa ndio baba na mama zao huku Tanzania kwa akili zao finyu wanafikiri kwa kufanya hivyo ndio MAGUFULI anarudi nyuma hehehe lazima walimie meno mwaka huu
 
Eti we can't beat them huko kibera na mathare ulifika ndio ukaona hatutowaweza? Wewe ni nyumbu wa chadema hakuna asiekujua kupinga kila kitu MAGUFULI anachokifanya mwishoni unapinga mpaka nchi unayoishi Eti ndio upinzani kupinga kila kitu pumbavu kabisa nusu kaputi
Moja katika kitu ambacho watashidwa kwenda mbele au kinaturudisha Tanzania nyuma kimaendeleo ni kuwa kila kitu tunaweka siasa...

Wanasiasa wamewazeza kuwateka watanzania wengi akili zao kiasi ambacho mtanzania wa kawaida hasa wale watanzania wa hali ya chini,hawawezi kufikiri chochote bila ya kuweka siasa..

Mkuu nikuulize kwani kama Daresalam itaendelea atakaenufaika CHADEMA Pekee yake au CCM peke yake,hapana watakao nufaika ni watanzania wote,wakaazi wa Daresalam

Mkuu,mimi sio mpenzi wa chama chochote cha kisiasa,chama chagu kikubwa ni chama cha kutafuta pesa ile nipate kulisha familia yangu

Kura nyangu nampigia yoyote yute ambae naona kwa wakati ule ana sera nzuri itayonitoa katika umasikini,yule mwenye sera yenye manufaa na mimi...

Hata huyo Magufuli kuna mambo nakubaliana nae na kuna mambo sikubaliani nae..

"I am the king of my destiny",,,😛,
 
tuendelee ama tusiendelee
9f40f31839d98a11f0d33e22393091db.jpg
ec4499bc9f50b13d6a716c627fbc9853.jpg
8ea572230b0d2a2be5cbebc02b63d7b5.jpg
9ea21c28ecd3150bfd90fa3e09fc0f59.jpg

a852f9195f63d12d5c72f750b9f0b80e.jpg
1e1f31b7bbd8129f8167aef00206ee50.jpg
ec577e93b2cc7205fb01e8f9a16cc559.jpg
da799e139f26e15f097dd9ff705d38ee.jpg
0f982703b88bbf72ca0ad16f98f50b43.jpg
e153da434ae8364bff745fea3b59a60a.jpg
e5b128bd137cfc4b87729c4c0f4afbb0.jpg
25ee607ec3beacb4f5338dac85020c36.jpg
ddfd7f323219c593fe5c2b4cdedc9ba0.jpg

5cf02d1e1f9588b2890bc7d879a951cc.jpg
49d8d057f6c8053f328454e639ef511e.jpg
Ungejua tu vile unawaumiza, haungepost hizo picha hapa ndani...wakiona hizo wataanza kuleta picha za oysterbay na mbezi beach not knowing that these are middle income estates za Nairobi
 
Moja katika kitu ambacho watashidwa kwenda mbele au kinaturudisha Tanzania nyuma kimaendeleo ni kuwa kitu kitu tunakita kwenye siasa...

Wanasiasa wamewazeza kuwateka watanzania wengi akili zao kiasi ambacho mtanzania wa kawaida hasa wale watanzania wa hali ya chini,hawawezi kufikiri chochote bila ya kuweka siasa..

Mkuu nikuulize kwani kama Daresalam itaendelea atakaenufaika CHADEMA Pekee yake au CCM peke yake,hapana watakao nufaika ni watanzania wote,wakaazi wa Daresalam

Mkuu,mimi sio mpenzi wa chama chochote cha kisiasa,chama chagu kikubwa ni chama cha kutafuta pesa ile nipate kulisha familia yangu

Kura nyangu nampigia yoyote yute ambae naona kwa wakati ule ana sera nzuri itayonitoa katika umasikini,yule mwenye sera yenye manufaa na mimi...

"I am the king of my destiny",,,😛,
Hehehe wewe kule siasani huwa unamwaga matusi kwa JPM utafikiri umehongwa na mbowe alafu hapa unasema nini? Chadema Tatizo akili hamna dj anawaendesha kama alivyokua anaendesha waiters wa billcanas
 
Hehehe wewe kule siasani huwa unamwaga matusi kwa JPM utafikiri umehongwa na mbowe alafu hapa unasema nini? Chadema Tatizo akili hamna dj anawaendesha kama alivyokua anaendesha waiters wa billcanas
Kaka sijawahi kukisifu chama chochote cha siasa,kwanza nafikiri wanasiasa wote matapeli...,niombe radhi umenitukana rusi kubwa sana kaka😡
 
WTF? have you ever been in Mbeya or Kagera
Sikatai manyang'au wanakata sana miti but kuna part ya nchi raia wanajielewa kuhusu kuwa na mazingira green
Ni mwenzenu ndio alisema tukake miti tujenga vyumba tulipoleta picha kuonyesha jinsi Nairobi ilivyojaa miti. Hata akaita Nairobi msitu. Si maneno yangu ila ni ya mtanzania mwenzako
 
Igoogle ata saiv mbona ipo online. Tatizo la nchi hii sio kutokuwa na mipango mipango ipo ila utekelezwaji ni duni.
Mkuu sio watanzania wengi wenye uelewa wa ku-google,kama mipango umfichwa,basi mipango hiyo ni utapeli huo,kama mipango haitekelezwi ujue hamna mipango hapo kuna ubabaishaji...,tafakari
 
you can notice how ignorant he is...he is not well informed about the plan of his country. lets ignore him.
"Well informed",those are are nice words.....,but who is to be blamed

I guess I am not the only one that not informed about the development plan of Tanzania,There is millions of Tanzanians who don't real know what is going on this country,that shame isn't,we need Transparency!!!

Why secret Mkuu kwasababu hamna chochote kinachofanyika kila kitu ni ahadi hewa....,next time jibu kwa kiswahili ili wasahili tupate kukufahamu,.....Comprende
 
Tutaelewana tu Taratibu taratibu.
DUY7iwYWAAAgEej.jpg
Hayo ndio mambo ya High-value low-density (HVLD) tourist destination.


High-value visitors are typically unaffected by turbulence in the global economy. During the 2008–09 recession, tourist numbers plummeted across the globe, yet tourist numbers in Tanzania were largely unaffected


 
Back
Top Bottom