Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi hatuna ndoto tuna vision. Hii inaonyesha kweli wew mkikuyu wa kibera. Unawaza ndoto tu.
Ndoto ni kiswahili,"vision" kingereza,Mkuu ni lugha mbili tafauti hizo....nambie nini "Vision" ya Tanzania
 
Poa mkuu,hayo yanajulikana,na ndio maana nchi na mji yetu haiendelei...mimi simsemi mtu isipokuwa nachangia maoni yangu,si lazima uyakubali...
Maneno yako sio sheria,
Sie tunaona mabadiliko ,sio kesi
 
these muggers should know that the high quality beautiful photos below were captured in tanzania.
071d55a80900348a5cd2516577317127.jpg
215025e4c4ca1c75d73561b010a1fa4a.jpg
a6233f51ff61c646453f004f2cbc59ad.jpg
4d847097ce8b88092ff583836f377917.jpg
6b9b530a1068637c6a5f22036b5172fa.jpg
6a8a2f72a9e0c6cb7dcbda55effc9618.jpg
4ebf56c0597a1781403215ed37284a81.jpg
653e3b87f8f75b0ee198b0b03ae22e09.jpg
6a428462797b073a309b3635d11a1776.jpg
7110a74381a36d161945949d97eb75bd.jpg
3c77438adbd0b8e28e9fd4fbb82dc882.jpg
 
Maneno yako sio sheria,
Sie tunaona mabadiliko ,sio kesi
Kama unaona mabadiliko hapo ulipo hiyo inatosha,kama unashusishwa kwa kupewa taarifa ya moja kwa moja au hata ya magezetini au kwenye TV,au kupitia serikali za mitaa,ni bora zaidi....
 
Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kucheza watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa mwisho duniani..,wale ambao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuzingatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
Eti Dar haina public toilets!? hahahaha...mji gani huo
 
Mbona mnapenda sana kukana picha za Dar zinazoonyesha uhalisi ya mambo. Mnawekanga za kibera humu ndani wala hatujawahi kuyakana. Vipi nyie wabongo?
tuambie picha ya wapi hio??? usinambie dar wakat dar hakuna udongo mwekundu tafuteni sehem hio picha mlipoitoa ila kuipaka matope dar hamtoweza
 
these muggers should know that the high quality beautiful photos below were captured in tanzania.
071d55a80900348a5cd2516577317127.jpg
215025e4c4ca1c75d73561b010a1fa4a.jpg
a6233f51ff61c646453f004f2cbc59ad.jpg
4d847097ce8b88092ff583836f377917.jpg
6b9b530a1068637c6a5f22036b5172fa.jpg
6a8a2f72a9e0c6cb7dcbda55effc9618.jpg
4ebf56c0597a1781403215ed37284a81.jpg
653e3b87f8f75b0ee198b0b03ae22e09.jpg
6a428462797b073a309b3635d11a1776.jpg
7110a74381a36d161945949d97eb75bd.jpg
3c77438adbd0b8e28e9fd4fbb82dc882.jpg
Did I just see the colours of Kenya Airways on a plane above Dar? That's the pride of Africa. Wabongo zile mitungi zenu za gesi mnaita ndege ziko wapi?
 
ok.jpg


Tanzania imekataza wanawake kupigwa picha wamevaa nguo za "beach" ,kama vile bikini nk,kwaupi watanzania hawataki wanawake zao wapendeze...

Hii picha ni moja katika picha ya ajabu,mwanamke yuko kwenye "kihori" kwetu hicho yunakiita kihori kwasababu sio ngarawa wala mashua,bado haijafikia jahazi,......hahahaa kiswahili kitamu sana

Huyu mwanamke akidondoka gapo kazama hamna wa kumuokoa,pili hii picha haileti maana huyu mwanamke kavaa kama anakwenda kwenye taarabu 😀😀😀
 
Kama unaona mabadiliko hapo ulipo hiyo inatosha,kama unashusishwa kwa kupewa taarifa ya moja kwa moja au hata ya magezetini au kwenye TV,au kupitia serikali za mitaa,ni bora zaidi....
maendeleo tumeyaona sana na tunazidi kuyaona tena kwa speed kubwa sana na magu tunamkubali sana, endelea kuumia tu😀😀😀😀😀😀
 
maendeleo tumeyaona sana na tunazidi kuyaona tena kwa speed kubwa sana na magu tunamkubali sana, endelea kuumia tu😀😀😀😀😀😀
Mimi siko kisiasa mkuu,nitoe kwenye siasa mimi ni mwanaharakati,siasa kwangu ni utapeli,kwama unamkubali raisi wako ni kitu kizuri sana...

Akili yangu bado hawajaiteka wanasiasa nashukurukwa hilo...
 
sawa mkuu neno "Vision" linamaana "maono" sasa hay maono ya Tanzania ni nini??
kama huyajui nyamaza sisi tunayajua na tumeyaona na yanafanyiwa kazi na uncle magu tunamkubali sana tu akaze vzr bado yani akazi kisawasawa😀😀😀
 
Mimi siko kisiasa mkuu,nitoe kwenye siasa mimi ni mwanaharakati,siasa kwangu ni utapeli,kwama unamkubali raisi wako ni kitu kizuri sana...

Akili yangu bado hawajaiteka wanasiasa nashukurukwa hilo...
yani uwe kisiasa usiwe kisiasa sisi tumeyaona maendeo sana tena sana na tunataka yaendelee chini ya utawala wa CCM tena magu akaze vzr na tutafika tu😀😀😀
 
Mimi siko kisiasa mkuu,nitoe kwenye siasa mimi ni mwanaharakati,siasa kwangu ni utapeli,kwama unamkubali raisi wako ni kitu kizuri sana...

Akili yangu bado hawajaiteka wanasiasa nashukurukwa hilo...
kama wewe mwenyewe huna maendeleo huna dream usifkiri watu wote wako hvo ndio maana hua tunasema usiseme watu hawana pesa sema mm sina pesa

maendeleo yapo na tumeyaona na tunazidi kuyaona kama wewe huyaoni vaa miwani ya mbao😀😀😀😀
 
kama huyajui nyamaza sisi tunayajua na tumeyaona na yanafanyiwa kazi na uncle magu tunamkubali sana tu akaze vzr bado yani akazi kisawasawa😀😀😀
Mkuu inabidi nikuache kwenye huu uzi,naona uko kisiasa zaid,poa mpemde huyu "Uncle" wako mimi sina matatizo kwa hilo,ningependa tujadiliane kwa hii hoja,sijui huyo "uncle"kama anajua hata unaishi vipi...
 
Back
Top Bottom