Kenya haijawahi kujenga nchi yenu, mlichojenga ni majengo na viwanda vichache. Nchi inajengwa kwa kuanza na msingi wa umoja, upendo na amani, wananchi wote wajione wana haki sawa katika kupata fursa za kujiendeleza kiuchumi na kulindwa, Kenya mlianza kubaguana katika misingi ya ukabila na kiuchumi, mkaweka matabaka ya wachache matajiri na wengi masikini, leo hii Kenya is the most ruthless economy in the continent, ukabila, rushwa, insecurity, unemployment, hunger, na mambo yote mabaya yapo Kenya, how can you compare with a country number one in Inclusive economy in Sub Sahara Africa?