Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kuchea watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa misho duniani..,wale amabao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuziangatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
Sawa mkenya
 
Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kuchea watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa misho duniani..,wale amabao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuziangatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha


ngojea makumbo na mijeledi kutoka kwa wabongo wenzako......maadui wa ukweli kupindukia.....
..
 
Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kuchea watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa misho duniani..,wale amabao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuziangatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
Wewe unazungumzia public toilets, Nairobi watu wanajisaidia katika mifuko ya plastic usiku, ikifika asubuhi wanarusha kinyesi hovyo hovyo, na bado wamejaa humu wanaisifia Nairobi
 
Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kuchea watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa misho duniani..,wale amabao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuziangatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
Hawa ndio wakenya wenye public toilet zao

9f0f4b2234b54b1ee97a23fb7dbd7611.jpg
ed88bd2d9b07432651fa6bb894c6b7ed.jpg
612ff2d115c8aa23edee540592158287.jpg
 
Daresalam mji usiokuwa na viwanja vya wazi vya kuchea watoto au kwa mapumziko ya wanaoishi mji huu,Daresalam ni mji wa misho duniani..,wale amabao wanaousifia mji wa Daresalam wanatakiwa watembee miji ya wenzetu wajionee...

Mji kuwa mzuri sio kuwa na majumba ya ghorofa makubwa tu,kuna mambo mengi ya msingi ya kuziangatia,mji hauna hata vyoo vya umma (Public toilets),kweli unaweza kuusifia mji kama huo...,nawakilisha
hehehe asante sana kwa hoja😀😀😀😀
jifunze kuandika dar es salaam na sio daressalam
nafkiri ushajipima uko wapi
 
and yet some of these muggers call us ldc while they go to bed without taking a bath for a number of days due water shortage crisis in nairobi.smh

e05d5e253459ab65b491ce2ca4013bdb.jpg
To them all these don't matter so long as it is declared somewhere that they are now lower middle income country, no food, no water, no jobs, no shelter, no security, no anything, no everything. Truly a shithole country.
 
Back
Top Bottom