mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Acha dharau hawa majamaa yanadharau Burundi siyo unayoiona al jazeera and other mainstream media brother
Unajua hawa wakorogocho,wanayo kasumba mbaya sana juu ya nchi nyingine za africa,hasa majirani zao.
Imafikia hatua hawaamini wanayoyaona,hivyo wanaamua kutokubaliana na ukweli wowote.