joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
no wonder why kenya is believed to have a higher number of gaymen in EA.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

no wonder why kenya is believed to have a higher number of gaymen in EA.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

you have said it all comrade.To them all these don't matter so long as it is declared somewhere that they are now lower middle income country, no food, no water, no jobs, no shelter, no security, no anything, no everything. Truly a shithole country.

Kijana Kua mpole,Nikupe kastory kadogo tu kuhusu maisha,kipindi cha nyuma wakati tunasoma shule ya upili tuliwah kuwaza na washkaji zangu kwamba hivi itakuja fika kipindi nasisi tuwena ofisi zetu? Hatukua na majibu tukaambiana tusome sana kila kitu kinawezekanaKuna msemo wa kiswahili naupenda sana inasema kwamba mbaazi ikikosa matunda husingizia jua. Mtaumia sana kuhusu maendeleo ya Kenya na kuleta kila aina ya kisingizio to justify why kenya has made strides in development wakati nyinyi badk mmekwama kwenye lile tope la ldc. Number mtazidi kusoma ndugu zetu. The country in front of you is and will always be Kenya. Kama inakuuma sana meza wembe ufe
Subiri nyumba zaja usianze catch bado mapemaMmeshindwa kucounter na mapicha ya estates zenyu sasa mnajaribu kuchange mada![]()
![]()
![]()
...hii ndo inaitwa kupigwa kama mbwa imeiba nyama..hebu nyi watanzania mtuprovie dar es salaam is not 70% slum
Naweza hata kuuita "Mrima" ndio jina tunalolijua huku kwetu,Je Unajua nini maana ya Daresalam,unajua hilo jila limetokea wapi...hehehe asante sana kwa hoja😀😀😀😀
jifunze kuandika dar es salaam na sio daressalam
nafkiri ushajipima uko wapi
Hawa hawakutangulia na lolote zaidi ya kukurupuka kuamua kujenga uchumi kipindi ambacho walipaswa kwanza kujinga mshikamano wa taifa lao ambao ndiyo msingi wa uchumi imara na endelevu. Mfano mzuri ni kama vile watu wawili wamepewa viwanja vya kujenga nyumba sehemu ambayo ina tope na maji maji mengi, mmoja akaamua kujenga nyumba juu ya topd haraka haraka bila kuchimba msingi imara, yeye akawa anafurahia kuona nyumba inasimama haraka haraka, lakini ndani muda mfupi nyumba ikaanza kutengeneza ufa na kuanza kuvunjika.Kijana Kua mpole,Nikupe kastory kadogo tu kuhusu maisha,kipindi cha nyuma wakati tunasoma shule ya upili tuliwah kuwaza na washkaji zangu kwamba hivi itakuja fika kipindi nasisi tuwena ofisi zetu? Hatukua na majibu tukaambiana tusome sana kila kitu kinawezekana
Ifahamike kwamba kwa kipindi icho tulikua hatuna ata ela ya kununua baiskeli ya kwenda shule baadhi yetu japo sio wote...Baada Needs kumaliza pale tukabahatika kufanya poa tukaendelea na high school shule tofauttofaut na baadae tukaingia vyuoni...
Juzi tulikutana na wale jamaa wote mahali flani tukapiga sana shangwe na kupeana mbili tatu kuhusu maisha ya sasa na tulipotoka...infact kwa sasa ambae anapata pesa ndogo kabisa ni Tsh 700k au Ksh 35000/= kwa Mwezi nazaidi ya hapo...
Wapo kaka zetu kibao waliotangulia kushika pesa sahv hadi wanakopa baadhi ya washkaji so kutangulia Ni jambo jema sana lakini Never say never ,yawezekana kabisa kipindi fulani mkawa hamuamini Tz mtakayoiona na ile mlioizoea....
Mimi sijawahi kufika Nairobi,lakini kwa kuuangalia mji wa Dar naona bado haujawa na hadhi ya kusifiwaWewe unazungumzia public toilets, Nairobi watu wanajisaidia katika mifuko ya plastic usiku, ikifika asubuhi wanarusha kinyesi hovyo hovyo, na bado wamejaa humu wanaisifia Nairobi
duh wakenya wamekwisha sasa washindane na rwanda😀😀😀 kwenye tourismTutaelewana tu Taratibu taratibu.
![]()
bahati nzuri jina la dar es salaam ni jina la kiarabu na maana yake mji wa salama au amaniNaweza hata kuuita "Mrima" ndio jina tunalolijua huku kwetu,Je Unajua nini maana ya Daresalam,unajua hilo jila limetokea wapi...
Muhimu umeufahamu ujumbe mkuu,mabishano ya jina gani la ukweli,azisha uzii mpya😀
Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.Mimi sijawahi kufika Nairobi,lakini kwa kuuangalia mji wa Dar naona bado haujawa na hadhi ya kusifiwa
Sawa labda hayo ndio yanayotokea huko Nairobi
lakini katika masuala ya mji kama uwe mji kuna mambo muhimu sana ya kuzingatia kwa wale waliopata kutembelea nchi za wenzetu na kuona miji yao
Mfano Amsterdam,Copenhagen,na miji mingine ya Ulaya utaona kuwa kila katika kla katika jimbo(subburb) kuna sehemu za wazi zaidi ya kumi(10) kwa matumizi tafauti..
Cha kustaajabisha kuwa wakoloni waliyachia ramani nzuri tu ya mji wa Daresalam lakini tulipochukua nchi sisi wenyewe tumeshindwa kuyaendeleza mazuri tuliyoachiwa
Mfano Mkoa wa Temeke kulikuwa na zaidi ya viwanja vya wazi 800,hivi sasa sijui vimebakia vingapi kama sio zero(0),viwanja vyote vya wazi kama havijajengwa vilabu vya pombe basi itakuwa zimejengwa ofisi za chama na serikali...
watawala hawauoni umuhimu wa viwanja vya wazi wanahiyari watoto wacheze vichochoroni au barabaani,halafu watawala hao hao wanalalamika kwanini vipaji vya watoto wetu kimichezo havikui,
Kweli Mkuu nimezama kwenye kipengele kimoja tu kwani ndicho ninachokiona muhimu kwa upande wangu,Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.
Ipo Nai au unaonewa?Lol.....kibera kweli mmepapenda

Kaka majumba marefu sio sifa ya mji,je maji yanafika huko juu,je umeme wa uhakika upo...je kuna sehemu yoyote ya wazi kwenye hilo eneo,je kuna soko(supermarket) ya kuwahudumia wakazi wa hapo,je kuna makatba hapo ....nk
JJ sote hapa tunajua uwezo wako katika thread hii. usi argue na huyo kijana, atashusha credibility yako ili ajione yupo sawa na wewe katika kujenga hoja.Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.
Ndiyo nikakuambia unapaswa kuwa na check list ya sifa za mji, ukawa unapitia kimoja kimoja na kutoa marks hadi ukifika mwisho utajua marks ngapi Dar imepata ukilinganisha na hiyo miji unayoitaja.Kweli Mkuu nimezama kwenye kipengele kimoja tu kwani ndicho ninachokiona muhimu kwa upande wangu,
Hicho kimoja ambacho ni rahisi kuki-manage kimetushinda kwanini niongelee vikubwa ambavyo najua hazimo hata katika akili za watanzani,vitu ambavyo watanzania hawajui kam vina-exist
Hivi hapa Daresalam kuna maktaba(Library) ngapi
Hivi hapa Daresalam kuna sehemu yoyote naweza kwenda kuuliza "information" muhimu...,
Je kama mimi sio mkaazi wa Daresalam naweza kutoka sehemu moja tuseme Chamanzi mpaka Kiondoni kwa kuelekezwa na barabara tu bila ya kuuliza mtu...
Daresalam sio mji ni tafrani za kichwa...Mji wa Daresalam ni mji ambao moja kwa moja unajua kuwa wanao "manage" huu mji ni waafrika,hauna sifa hata ya kuwa kijiji
Unaongea kama umekatwa kichwa,Hayo sio maswali budaKaka majumba marefu sio sifa ya mji,je maji yanafika huko juu,je umeme wa uhakika upo...je kuna sehemu yoyote ya wazi kwenye hilo eneo,je kuna soko(supermarket) ya kuwahudumia wakazi wa hapo,je kuna makatba hapo ....nk
Ninachoongea mimi ni:mbona iko wazi kipengele cha kwanza ----"Master Plan of the city" ambacho naona ni muhimu kuliko chochote kile kama . Master Plan of the city ni mbaya mji hauwezi kuwa mzuriNdiyo nikakuambia unapaswa kuwa na check list ya sifa za mji, ukawa unapitia kimoja kimoja na kutoa marks hadi ukifika mwisho utajua marks ngapi Dar imepata ukilinganisha na hiyo miji unayoitaja.
Tatizo ninaloliona kwako ni kwamba unalinganisha na vigezo vyako ulivyoviona huko ulikotembelea, ukivikosa basi unafikia unafikia uamuzi kwamba sio mji, sio miji yote duniani ni sawa au ina kila kitu, mimi nimekaa sana Amsterdam kule Diemen karibu na Amsterdam Arena, mbona public toilets sijaziona mkuu?