Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

no wonder why kenya is believed to have a higher number of gaymen in EA.

6dde97e1e6d4808b1b2f557e4c7746ad.jpg
 
To them all these don't matter so long as it is declared somewhere that they are now lower middle income country, no food, no water, no jobs, no shelter, no security, no anything, no everything. Truly a shithole country.
you have said it all comrade.
 
Kuna msemo wa kiswahili naupenda sana inasema kwamba mbaazi ikikosa matunda husingizia jua. Mtaumia sana kuhusu maendeleo ya Kenya na kuleta kila aina ya kisingizio to justify why kenya has made strides in development wakati nyinyi badk mmekwama kwenye lile tope la ldc. Number mtazidi kusoma ndugu zetu. The country in front of you is and will always be Kenya. Kama inakuuma sana meza wembe ufe
Kijana Kua mpole,Nikupe kastory kadogo tu kuhusu maisha,kipindi cha nyuma wakati tunasoma shule ya upili tuliwah kuwaza na washkaji zangu kwamba hivi itakuja fika kipindi nasisi tuwena ofisi zetu? Hatukua na majibu tukaambiana tusome sana kila kitu kinawezekana

Ifahamike kwamba kwa kipindi icho tulikua hatuna ata ela ya kununua baiskeli ya kwenda shule baadhi yetu japo sio wote...Baada Needs kumaliza pale tukabahatika kufanya poa tukaendelea na high school shule tofauttofaut na baadae tukaingia vyuoni...

Juzi tulikutana na wale jamaa wote mahali flani tukapiga sana shangwe na kupeana mbili tatu kuhusu maisha ya sasa na tulipotoka...infact kwa sasa ambae anapata pesa ndogo kabisa ni Tsh 700k au Ksh 35000/= kwa Mwezi nazaidi ya hapo...

Wapo kaka zetu kibao waliotangulia kushika pesa sahv hadi wanakopa baadhi ya washkaji so kutangulia Ni jambo jema sana lakini Never say never ,yawezekana kabisa kipindi fulani mkawa hamuamini Tz mtakayoiona na ile mlioizoea....
 
Mmeshindwa kucounter na mapicha ya estates zenyu sasa mnajaribu kuchange mada ...hii ndo inaitwa kupigwa kama mbwa imeiba nyama..hebu nyi watanzania mtuprovie dar es salaam is not 70% slum
Subiri nyumba zaja usianze catch bado mapema
 
hehehe asante sana kwa hoja😀😀😀😀
jifunze kuandika dar es salaam na sio daressalam
nafkiri ushajipima uko wapi
Naweza hata kuuita "Mrima" ndio jina tunalolijua huku kwetu,Je Unajua nini maana ya Daresalam,unajua hilo jila limetokea wapi...

Muhimu umeufahamu ujumbe mkuu,mabishano ya jina gani la ukweli,azisha uzii mpya😀
 
Kijana Kua mpole,Nikupe kastory kadogo tu kuhusu maisha,kipindi cha nyuma wakati tunasoma shule ya upili tuliwah kuwaza na washkaji zangu kwamba hivi itakuja fika kipindi nasisi tuwena ofisi zetu? Hatukua na majibu tukaambiana tusome sana kila kitu kinawezekana

Ifahamike kwamba kwa kipindi icho tulikua hatuna ata ela ya kununua baiskeli ya kwenda shule baadhi yetu japo sio wote...Baada Needs kumaliza pale tukabahatika kufanya poa tukaendelea na high school shule tofauttofaut na baadae tukaingia vyuoni...

Juzi tulikutana na wale jamaa wote mahali flani tukapiga sana shangwe na kupeana mbili tatu kuhusu maisha ya sasa na tulipotoka...infact kwa sasa ambae anapata pesa ndogo kabisa ni Tsh 700k au Ksh 35000/= kwa Mwezi nazaidi ya hapo...

Wapo kaka zetu kibao waliotangulia kushika pesa sahv hadi wanakopa baadhi ya washkaji so kutangulia Ni jambo jema sana lakini Never say never ,yawezekana kabisa kipindi fulani mkawa hamuamini Tz mtakayoiona na ile mlioizoea....
Hawa hawakutangulia na lolote zaidi ya kukurupuka kuamua kujenga uchumi kipindi ambacho walipaswa kwanza kujinga mshikamano wa taifa lao ambao ndiyo msingi wa uchumi imara na endelevu. Mfano mzuri ni kama vile watu wawili wamepewa viwanja vya kujenga nyumba sehemu ambayo ina tope na maji maji mengi, mmoja akaamua kujenga nyumba juu ya topd haraka haraka bila kuchimba msingi imara, yeye akawa anafurahia kuona nyumba inasimama haraka haraka, lakini ndani muda mfupi nyumba ikaanza kutengeneza ufa na kuanza kuvunjika.

Yule mwengine akaamua kutumia muda mrefu na pesa nyingi katika kuchimba msingi mrefu na kumwaga zege zito, hadi aliporidhika kwamba msingi ni imara ndiyo akaanza kupandisha nyumba taratibu, nani kati ya hao watu wawili aliyefanya maamuzi ya busara?. David Ndii ameliweka vizuri sana katika article yake hii
NDII: What Magufuli presidency means for Uhuru’s reign
 
the fire brigade squad in a middle economy country couldn't prevent the fire from spreading due luck of water. smh.

water shortage crisis is something very serious.
619f97b6b9844b394a99f5ad459c2dc0.jpg
 
Wewe unazungumzia public toilets, Nairobi watu wanajisaidia katika mifuko ya plastic usiku, ikifika asubuhi wanarusha kinyesi hovyo hovyo, na bado wamejaa humu wanaisifia Nairobi
Mimi sijawahi kufika Nairobi,lakini kwa kuuangalia mji wa Dar naona bado haujawa na hadhi ya kusifiwa
Sawa labda hayo ndio yanayotokea huko Nairobi

lakini katika masuala ya mji kama uwe mji kuna mambo muhimu sana ya kuzingatia kwa wale waliopata kutembelea nchi za wenzetu na kuona miji yao

Mfano Amsterdam,Copenhagen,na miji mingine ya Ulaya utaona kuwa kila katika kla katika jimbo(subburb) kuna sehemu za wazi zaidi ya kumi(10) kwa matumizi tafauti..

Cha kustaajabisha kuwa wakoloni waliyachia ramani nzuri tu ya mji wa Daresalam lakini tulipochukua nchi sisi wenyewe tumeshindwa kuyaendeleza mazuri tuliyoachiwa

Mfano Mkoa wa Temeke kulikuwa na zaidi ya viwanja vya wazi 800,hivi sasa sijui vimebakia vingapi kama sio zero(0),viwanja vyote vya wazi kama havijajengwa vilabu vya pombe basi itakuwa zimejengwa ofisi za chama na serikali...

watawala hawauoni umuhimu wa viwanja vya wazi wanahiyari watoto wacheze vichochoroni au barabaani,halafu watawala hao hao wanalalamika kwanini vipaji vya watoto wetu kimichezo havikui,
 
Naweza hata kuuita "Mrima" ndio jina tunalolijua huku kwetu,Je Unajua nini maana ya Daresalam,unajua hilo jila limetokea wapi...

Muhimu umeufahamu ujumbe mkuu,mabishano ya jina gani la ukweli,azisha uzii mpya😀
bahati nzuri jina la dar es salaam ni jina la kiarabu na maana yake mji wa salama au amani
 
Mimi sijawahi kufika Nairobi,lakini kwa kuuangalia mji wa Dar naona bado haujawa na hadhi ya kusifiwa
Sawa labda hayo ndio yanayotokea huko Nairobi

lakini katika masuala ya mji kama uwe mji kuna mambo muhimu sana ya kuzingatia kwa wale waliopata kutembelea nchi za wenzetu na kuona miji yao

Mfano Amsterdam,Copenhagen,na miji mingine ya Ulaya utaona kuwa kila katika kla katika jimbo(subburb) kuna sehemu za wazi zaidi ya kumi(10) kwa matumizi tafauti..

Cha kustaajabisha kuwa wakoloni waliyachia ramani nzuri tu ya mji wa Daresalam lakini tulipochukua nchi sisi wenyewe tumeshindwa kuyaendeleza mazuri tuliyoachiwa

Mfano Mkoa wa Temeke kulikuwa na zaidi ya viwanja vya wazi 800,hivi sasa sijui vimebakia vingapi kama sio zero(0),viwanja vyote vya wazi kama havijajengwa vilabu vya pombe basi itakuwa zimejengwa ofisi za chama na serikali...

watawala hawauoni umuhimu wa viwanja vya wazi wanahiyari watoto wacheze vichochoroni au barabaani,halafu watawala hao hao wanalalamika kwanini vipaji vya watoto wetu kimichezo havikui,
Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.
 
Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.
Kweli Mkuu nimezama kwenye kipengele kimoja tu kwani ndicho ninachokiona muhimu kwa upande wangu,

Hicho Kipengele ndio kipengele kikubwa katika kuutathmini mji bora,katika nchi zote niliyotembea viwanja vya wazi ndio kipaumbele chao kwenye miji...

Kutokana na swali lako wewe unaona viwanja vya wazi havina umuhimu wowote katika miji,hayo ni mawazo ya kiafrika...

Hicho kimoja ambacho ni rahisi kuki-manage kimetushinda kwanini niongelee vikubwa ambavyo najua hazimo hata katika akili za watanzani,vitu ambavyo watanzania hawajui kam vina-exist

Hivi hapa Daresalam kuna maktaba(Library) ngapi
Hivi hapa Daresalam kuna sehemu yoyote naweza kwenda kuuliza "information" muhimu...,
Je kama mimi sio mkaazi wa Daresalam naweza kutoka sehemu moja tuseme Chamanzi mpaka Kiondoni kwa kuelekezwa na barabara tu bila ya kuuliza mtu...

Daresalam sio mji ni tafrani za kichwa...Mji wa Daresalam ni mji ambao moja kwa moja unajua kuwa wanao "manage" huu mji ni waafrika,hauna sifa hata ya kuwa kijiji

Video Nairobi... je kuna kitu kama hichi Daresalam
 
Kaka majumba marefu sio sifa ya mji,je maji yanafika huko juu,je umeme wa uhakika upo...je kuna sehemu yoyote ya wazi kwenye hilo eneo,je kuna soko(supermarket) ya kuwahudumia wakazi wa hapo,je kuna makatba hapo ....nk
 
Ninashindwa kuzama sana katika mjadala na wewe kwasababu hakuna common ground au check list ya vigezo vya mji, hapo umezungumzia kipengele kimoja tu cha kukosekana sehemu za wazi, je hicho pekee kinaweza kunyang'anya sifa ya mji kuwa mji bora?, au ukosefu wa public toilets ni kigezo muhimu cha kuufanya mji uwe bora kukosekana kwake kunafanya mji upoteze sifa za kuwa mji bora?, hayo na mengine ni maswali ambayo unapaswa ujiulize.
JJ sote hapa tunajua uwezo wako katika thread hii. usi argue na huyo kijana, atashusha credibility yako ili ajione yupo sawa na wewe katika kujenga hoja.
mpuuze please.

mpuuze kama mimi nilivyompuuza yule kilaza wa mombasa... yule mimi hata ani quote huwa simjibu kwa kum-quote.

namjibia pembeni kuonyesha ni jinsi gani nimemdharau.
 
Kweli Mkuu nimezama kwenye kipengele kimoja tu kwani ndicho ninachokiona muhimu kwa upande wangu,

Hicho kimoja ambacho ni rahisi kuki-manage kimetushinda kwanini niongelee vikubwa ambavyo najua hazimo hata katika akili za watanzani,vitu ambavyo watanzania hawajui kam vina-exist

Hivi hapa Daresalam kuna maktaba(Library) ngapi
Hivi hapa Daresalam kuna sehemu yoyote naweza kwenda kuuliza "information" muhimu...,
Je kama mimi sio mkaazi wa Daresalam naweza kutoka sehemu moja tuseme Chamanzi mpaka Kiondoni kwa kuelekezwa na barabara tu bila ya kuuliza mtu...

Daresalam sio mji ni tafrani za kichwa...Mji wa Daresalam ni mji ambao moja kwa moja unajua kuwa wanao "manage" huu mji ni waafrika,hauna sifa hata ya kuwa kijiji
Ndiyo nikakuambia unapaswa kuwa na check list ya sifa za mji, ukawa unapitia kimoja kimoja na kutoa marks hadi ukifika mwisho utajua marks ngapi Dar imepata ukilinganisha na hiyo miji unayoitaja.

Tatizo ninaloliona kwako ni kwamba unalinganisha na vigezo vyako ulivyoviona huko ulikotembelea, ukivikosa basi unafikia unafikia uamuzi kwamba sio mji, sio miji yote duniani ni sawa au ina kila kitu, mimi nimekaa sana Amsterdam kule Diemen karibu na Amsterdam Arena, mbona public toilets sijaziona mkuu?
 
Kaka majumba marefu sio sifa ya mji,je maji yanafika huko juu,je umeme wa uhakika upo...je kuna sehemu yoyote ya wazi kwenye hilo eneo,je kuna soko(supermarket) ya kuwahudumia wakazi wa hapo,je kuna makatba hapo ....nk
Unaongea kama umekatwa kichwa,Hayo sio maswali buda
 
Ndiyo nikakuambia unapaswa kuwa na check list ya sifa za mji, ukawa unapitia kimoja kimoja na kutoa marks hadi ukifika mwisho utajua marks ngapi Dar imepata ukilinganisha na hiyo miji unayoitaja.

Tatizo ninaloliona kwako ni kwamba unalinganisha na vigezo vyako ulivyoviona huko ulikotembelea, ukivikosa basi unafikia unafikia uamuzi kwamba sio mji, sio miji yote duniani ni sawa au ina kila kitu, mimi nimekaa sana Amsterdam kule Diemen karibu na Amsterdam Arena, mbona public toilets sijaziona mkuu?
Ninachoongea mimi ni:mbona iko wazi kipengele cha kwanza ----"Master Plan of the city" ambacho naona ni muhimu kuliko chochote kile kama . Master Plan of the city ni mbaya mji hauwezi kuwa mzuri
 
Back
Top Bottom