Traveller D
JF-Expert Member
- Jul 11, 2025
- 1,721
- 4,601
Mimi ni ugonjwa wake huyo. 😂😂😂View attachment 3639119
Shule umeeshia wapi kumber the traveller na concordile ni mtu mmoja?
View attachment 3639119
Mimi ni ugonjwa wake huyo. 😂😂😂View attachment 3639119
Shule umeeshia wapi kumber the traveller na concordile ni mtu mmoja?
View attachment 3639119
Hauchoki kupata mapigo? Here is another one of you being proved wrong. 🤣🤣👇 👇
View attachment 3639118
gusa uone moto 😂Gongo inalindwa na mtutu 🙌
HahaaaaaMimi ni ugonjwa wake huyo. 😂😂😂
Chips kenya labda uwe tajiri huezi zikuta mtaani, kule mtaa umejaa mayai pasua, wote wana fya mbovu si unaona ata skrepa zao zilivokonda, zipo kama znaanguka mda wowote 😂Acha tuwaoneshe kwanini Kodi dar ni kubwa sana , Leo tunajadiri biashara ndogo ya chips inavyowafanya matajiri tz.
Shida yako unajiingizanga kwa mijadala sii yako alafu unaanza kulialia ukiitisha proof.
Teargass anamuongelesha Traveller D wewe unaingilia ni kama kakuongelesha.
A few posts ago, nimemjibu Traveller D kuhusu my knowledge of Tanzania vs his knowledge of Kenya, pia wewe unajiingiza kwenye mjadala na makasiriko yako.
Tulia bradhee, utauliwa na makumbo. 🤣 🤣 🤣
Hata niki post leo, kesho utakuja tena uulize swali kama hili, so believe what you want. Nimeshawahi kupost nyumba za over 20 buildings last month ukaumia na ukaamua kubadilisha mjadala 😂😂😂.But kupiga picha gorofa la 20 floor still under construction is where you draw the line?🤣🤣😂
Here's Traveller D saying that he was importing smartphones. Sasa leta hiyo pesa.View attachment 3639116
Usikimbie ebu leta screenshot ya sehem ya maneno haya iwe Jana juzi au mwaka uliopita kuwa tunafanya importation ya simu,
Kuna ka 1,000,000 kanawasubiri🤣🤣🤣😀😀View attachment 3639116
Hawajui jinsi competition ilivyo tight. Wao wanadhani Watanzania wanakuja Kenya kusoma eti kwa sababu wanataka superior education. Entitled idiots 😂😂Sio kwamba wanafunzi wanao fail competition ya chuo huku bongo huenda tu Kenya, wanafunzi hao wanaendaga pia uchina, India n.k. 😂😂😂
Kwa mfano kwa wanafunzi wanaotaka kusomea udaktari pale Mhimbili kama haujapata division 1.3 au 1.4 au 1.5 hauwezi pata udahili Muhimbili. 😂😂 hao huwa wanakimbilia kenya au nchi za huko ughaibuni kusoma udaktari.
Ulikuwa unapost nyumba za 7 floors, the highest floor you posted I think was 13😂😂Hata niki post leo, kesho utakuja tena uulize swali kama hili, so believe what you want. Nimeshawahi kupost nyumba za over 20 buildings last month ukaumia na ukaamua kubadilisha mjadala 😂😂😂.
Ni mimi ndio, mbona unaumia .? Hadi una save comments zangu 😂😂😂 hii ni wivu au ni roho mbaya.? Ukilala unaniota bila shaka. 😂😂😂Here's Traveller D saying that he was importing smartphones. Sasa leta hiyo pesa.
View attachment 3639130
So in short hakuna University ulikuja shule yenu kufanya marketing 🤣🤣😂.Why should I remember the name of those Universities. Na kwa taarifa yako sio tu Kenya, hata vyuo vya India na Malaysia huwa wanakuja kujibrand.
Kwa nini nianze kukariri majina ya vyuo vya Kenya. Vinanisaidia nini 🚮
There's something called search engine and bookmarking, do you know how to use them?Ni mimi ndio, mbona unaumia .? Hadi una save comments zangu 😂😂😂 hii ni wivu au ni roho mbaya.? Ukilala unaniota bila shaka. 😂😂😂
Kumbe ni travelor Mimi nataka niliposema huwa nauza mbuzi kama mwenzako alivyoquote, Kumbe hata kiswahili kwenu shida🤣🤣🤣🤣🤣Here's Traveller D saying that he was importing smartphones. Sasa leta hiyo pesa.
View attachment 3639130
Sasa wewe mwenye hata hiyo chip hukukanyaga, tukuweke wapi among the failures?😂😂Sio kwamba wanafunzi wanao fail competition ya chuo huku bongo huenda tu Kenya, wanafunzi hao wanaendaga pia uchina, India n.k. 😂😂😂
Kwa mfano kwa wanafunzi wanaotaka kusomea udaktari pale Mhimbili kama haujapata division 1.3 au 1.4 au 1.5 hauwezi pata udahili Muhimbili. 😂😂 hao huwa wanakimbilia kenya au nchi za huko ughaibuni kusoma udaktari.
Tell me ukilala unaniota 😂😂. Nilishawahi kusema kuhusu kuuza mbuzi humu ndani last 3 - 4 years. Search na hiyo pia. 😂😂😂There's something called search engine and bookmarking, do you know how to use them?
You expected to lie to us alafu tuache kuobookmark?🤣🤣😂
You are idiot. Unaingilia mijadalq sio zako. Wewe endelea kuomba mapicha WhatsApp.Kumbe ni travelor Mimi nataka niliposema huwa nauza mbuzi kama mwenzako alivyoquote, Kumbe hata kiswahili kwenu shida🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo concordile na traveller ni watu sawa ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nincompoops