concordile 101
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 6,991
- 15,437
It's called affordable for a reason.
Nyinyi mnajenga vitu cheap na mnalipisha wazungu $3500 a month.
No wonder your "luxury apartments" are empty 11 months of the year.
Yaan ndo maana tunawaambia nyinyi ni wajinga msiojitambua , hiyo pesa mnayonunua hizo nyumba kwa quality ya madirisha ya 1980 na milango ya grills bila kuwa na hata mlango wa mbao .
Tz hizo nyumba hata wale wakupanga wasingeingia