Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It's called affordable for a reason.
Nyinyi mnajenga vitu cheap na mnalipisha wazungu $3500 a month.
No wonder your "luxury apartments" are empty 11 months of the year.

Yaan ndo maana tunawaambia nyinyi ni wajinga msiojitambua , hiyo pesa mnayonunua hizo nyumba kwa quality ya madirisha ya 1980 na milango ya grills bila kuwa na hata mlango wa mbao .
Tz hizo nyumba hata wale wakupanga wasingeingia
 
Mko na any regulated gated estates Bongolala ama ni kila mtu na design yake na ukuta wake.
What an ugly scene. I'm glad Kenya is changing this.

Dar slum is still stuck in the Juba way of doing things.
LDC budget, LDC designs and LDC communities with no shared amenities.

Mko nyuma at least 20 years.

Within Nairobi metropolitan, you'll find hundreds of such estates of all sizes.

Mr Bajaj driver Traxtion , any similar arrangement in Bongolala? 😂😂
g1.JPG
g2.JPG
g3.JPG
g4.JPG
g5.JPG
g6.JPG
g7.JPG
g8.JPG
g9.JPG
g10.JPG


g11.JPG



View: https://www.youtube.com/watch?v=uh14eC9Bd0M
 
Uliinua mikono au mlijiona wajinga ? Kuna sehemu imetajwa gunia la kg 200 hapo ? Muwe mnascreenshot hizo sehemu muonekane sasa badala ya kilazimisha mambo yenu ya uongo 🤣🤣🤣🤣
Bado unajiabisha. Soma hesabu yangu vizuuuri alafu uone nimecalculate gunia moja kuwa kilo ngapi. What am I even saying - you know nothing about Maths. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bro, ulisema a roadside vendor sells 10 bags of potatoes in a day na ukasema each KG produces two plates. 10 bags = 1000kg. 2plates per KG makes it 2000 plates. Alafu tukiwaambia masomo yenu ni ya ovyo mnasema tunawaonea. 🤣 🤣 🤣
BTW, that's the 5th time you're being proven wrong in the last 24 hours.
 
Hizo za mabati ziko ndani ya Nairobi na ndo majority ya wakenya wanaishi🤣🤣🤣
Slums maybe. Huko tunazitoa pole pole na affordable housing.

A small plot in Nairobi costs more than kujenga hizo cone head zenu.
Hakuna mtu ananunua ploti hio pesa yote kujenga mabati.

Wale wa nyumba za mabati hawawezi afford Nairobi.
 
Cone heads are Bongolala's national pandemic 😂😂

Hiyo inaonesha jinsi Tanzania walivyo na purchasing power kubwa hasa kwenye ujenzi , fikiria mtu anatupa almost 300,000 ksh kwa ajili ya bati tu. Tena kijijini ili awaoneshe kuwa yeye ni mwamba.
Hii kwa Kenya hukuti
 
Slums maybe. Huko tunazitoa pole pole na affordable housing.

A small plot in Nairobi costs more than kujenga hizo cone head zenu.
Hakuna mtu ananunua ploti hio pesa yote kujenga mabati.

Wale wa nyumba za mabati hawawezi afford Nairobi.
Sisi hatusbirii kujengewa , tunajenga wenyewe ,slums kwenu haziwezi Isha hata yesu ashuke Leo sababu mtaendelea kuwa maskini wengi sana.
Hiyo hela ya affordable housing Tanzania vijana wanakopeshwa wnaanzisha biashara ambayo in the long-run mtu anakuwa independent na kuweza kujenga mwenyewe kuliko kuwa dependant kwa over 30 years sababu ya kulipia nyumba
 
Hiyo inaonesha jinsi Tanzania walivyo na purchasing power kubwa hasa kwenye ujenzi , fikiria mtu anatupa almost 300,000 ksh kwa ajili ya bati tu. Tena kijijini ili awaoneshe kuwa yeye ni mwamba.
Hii kwa Kenya hukuti
Sasa Ksh300,000 ni nini? 😂😂
You have never built a roof in Kenya and it shows.

Hio ni ya labor ama ni ya nini? 😂
 
Sisi hatusbirii kujengewa , tunajenga wenyewe ,slums kwenu haziwezi Isha hata yesu ashuke Leo sababu mtaendelea kuwa maskini wengi sana.
Hiyo hela ya affordable housing Tanzania vijana wanakopeshwa wnaanzisha biashara ambayo in the long-run mtu anakuwa independent na kuweza kujenga mwenyewe kuliko kuwa dependant kwa over 30 years sababu ya kulipia nyumba
Juu GOK imetoa wapi pesa ya kujenga.
Unadhani ile 1.5% sio pesa yetu?

In any case, affordable housing ata bado kufika 1% of our housing needs. Sujui propaganda gani hio ikakwambia Wakenya private hawajengi.
Ata hakuna comparison Kenya na Bongolala.
 
Sisi hatusbirii kujengewa , tunajenga wenyewe ,slums kwenu haziwezi Isha hata yesu ashuke Leo sababu mtaendelea kuwa maskini wengi sana.
Hiyo hela ya affordable housing Tanzania vijana wanakopeshwa wnaanzisha biashara ambayo in the long-run mtu anakuwa independent na kuweza kujenga mwenyewe kuliko kuwa dependant kwa over 30 years sababu ya kulipia nyumba
Kenya pesa yetu ni mrefu. Sisi apana LDC. We can walk and chew gum.

Tunajenga na bado tunakopesha na kupatia vijana za biashara.
Nyinyi fanyeni pale uwezo wenu umefika.

Ata as usual, Kenya is offering 3 times more to its youth than Bongolala.
youth.JPG
 
Back
Top Bottom