Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Naona umepeperusha hii news sana I don’t know what you think it means.. huko bongo serikali haifanyangi auctions? Auctions huku ni kila mwaka kilaza.
Sijui hata kama umefungua hio article angalau ujue unachopost hapa daily?

Manze vitu kama hivi vinafanya nigundue Kumbe shule ni muhimu kweli..
View attachment 3604943
nation media ndo wakweli, walisema kabisa to raise revenue izo zingine tushazizioe

1781090390095.png
 
Naona umepeperusha hii news sana I don’t know what you think it means.. huko bongo serikali haifanyangi auctions? Auctions huku ni kila mwaka kilaza.
Sijui hata kama umefungua hio article angalau ujue unachopost hapa daily?

Manze vitu kama hivi vinafanya nigundue Kumbe shule ni muhimu kweli..
View attachment 3604943
kwahio mashuka wamesema hawauzi? au ataendelea na yale ya moi
 
Yani kutype hizi paragraphs zote badala ta kupost picha latest ya hio area.
Hakuna picha ama tuseme tu hakuna mabadiliko 😅😅😅
Sasa mwaka wa saba tunawaomba drone view photo ya Nairobi mmeshindwa kuileta. Jana nilikuwa nipo na Rais wa Singapore na alikuwa anaitaka sana picha ya Nairobi ili awalete vijana wake wawakwamue kwenye wimibi lenu la njaa lakini wote mlikimbia.

Ndugu IamLee huna akili ya kuleta Satellite imagery ya Nairobi?
 
Konza city EPZ.
Coming in HOT! - Lucky DJX Jeans (Textile) industrial complex and Solar Manufacturing Complex.

15,000 - 20,000 DIRECT jobs on this complex alone when operational.

View attachment 3605022View attachment 3605023View attachment 3605024View attachment 3605025View attachment 3605026View attachment 3605027View attachment 3605028View attachment 3605029
Baada ya kuhangaika karibia miaka 20 leo unakuja kutuleta kiawanda kimoja!!? Hivi unaijua Benjamin Mkapa Special Economic Zone ilianza kutumika 2006 hapa Tanzania na inatengeneza hizo nguo na zaidi? Levis Jeans Made in Tanzania

Unadhidi kujidhalilisha hapa jukwaani.

Hii hapa:
1781091668717.png


1781092577005.png



1781092577056.png
 
Baada ya kuhangaika karibia miaka 20 leo unakuja kutuleta kiawanda kimoja!!? Hivi unaijua Benjamin Mkapa Special Economic Zone ilianza kutumika 2006 hapa Tanzania na inatengeneza hizo nguo na zaidi? Levis Jeans Made in Tanzania

Unadhidi kujidhalilisha hapa jukwaani.

Hii hapa:
View attachment 3605061

View attachment 3605072


View attachment 3605071

As I told you the other day, Athi River EPZ outside Nairobi does not need any introduction. It has been making those brands for decades.
Athi River makes more textile than all bongolala EPZs combined.

le.JPG



View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1912111842043867141

mk.JPG
mk1.JPG
 
As I told you the other day, Athi River EPZ outside Nairobi does not need any introduction. It has been making those brands for decades.
Athi River makes more textile than all bongolala EPZs combined.

View attachment 3605078


View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1912111842043867141

View attachment 3605089View attachment 3605090

Unajua unatusumbua sana hapa jukwaani na comments zako hizi zinazoongelea trivial issues. Watu humu JF wanajadili big projects zenye kuvutia uwekezaji mkubwa.
Hivi unajua kuwa Kenya ndiyo inaongoza kwa Second hand clothes Africa? Yaani Population yenu ni ndogo lakini mnaongoza juu ya Nigeria. Maana yake wakenya wote wanavaa Second Hand Clothes

1781094331789.png


Pili tukianza kuorodhesha hapa big projects in Tanzania na values zake nina wasiwasi utapotea hapa JF. But ngoja tuende na wewe mdogo mdogo
 
Sasa mwaka wa saba tunawaomba drone view photo ya Nairobi mmeshindwa kuileta. Jana nilikuwa nipo na Rais wa Singapore na alikuwa anaitaka sana picha ya Nairobi ili awalete vijana wake wawakwamue kwenye wimibi lenu la njaa lakini wote mlikimbia.

Ndugu IamLee huna akili ya kuleta Satellite imagery ya Nairobi?
So in short, bado ni slum 😅
IMG_0859.jpeg

IMG_0861.jpeg
 
Unajua unatusumbua sana hapa jukwaani na comments zako hizi zinazoongelea trivial issues. Watu humu JF wanajadili big projects zenye kuvutia uwekezaji mkubwa.
Hivi unajua kuwa Kenya ndiyo inaongoza kwa Second hand clothes Africa? Yaani Population yenu ni ndogo lakini mnaongoza juu ya Nigeria. Maana yake wakenya wote wanavaa Second Hand Clothes

View attachment 3605109

Pili tukianza kuorodhesha hapa big projects in Tanzania na values zake nina wasiwasi utapotea hapa JF. But ngoja tuende na wewe mdogo mdogo
E(xport) P(rocessing) Z(ones) are for export you lowly watchman. Rudi shule.
And Kenya imports more of everything than Bongolala because we have more money than bongoslum. Wakenya wanabadilisha boxer kila siku. 😂

You'll find the same story in the imports of chocolate, aircraft or heavy machinery.

Kenyans bought and imported nearly 14,000 brand new cars in 2025.
Bongolala bought under 3000 brand new cars, which was an improvement from the under 2000 you're used to.
 
Back
Top Bottom