Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,682
- 107,111
nation media ndo wakweli, walisema kabisa to raise revenue izo zingine tushazizioeNaona umepeperusha hii news sana I don’t know what you think it means.. huko bongo serikali haifanyangi auctions? Auctions huku ni kila mwaka kilaza.
Sijui hata kama umefungua hio article angalau ujue unachopost hapa daily?
Manze vitu kama hivi vinafanya nigundue Kumbe shule ni muhimu kweli..
View attachment 3604943
kwahio mashuka wamesema hawauzi? au ataendelea na yale ya moiNaona umepeperusha hii news sana I don’t know what you think it means.. huko bongo serikali haifanyangi auctions? Auctions huku ni kila mwaka kilaza.
Sijui hata kama umefungua hio article angalau ujue unachopost hapa daily?
Manze vitu kama hivi vinafanya nigundue Kumbe shule ni muhimu kweli..
View attachment 3604943
Sasa mwaka wa saba tunawaomba drone view photo ya Nairobi mmeshindwa kuileta. Jana nilikuwa nipo na Rais wa Singapore na alikuwa anaitaka sana picha ya Nairobi ili awalete vijana wake wawakwamue kwenye wimibi lenu la njaa lakini wote mlikimbia.Yani kutype hizi paragraphs zote badala ta kupost picha latest ya hio area.
Hakuna picha ama tuseme tu hakuna mabadiliko 😅😅😅
Baada ya kuhangaika karibia miaka 20 leo unakuja kutuleta kiawanda kimoja!!? Hivi unaijua Benjamin Mkapa Special Economic Zone ilianza kutumika 2006 hapa Tanzania na inatengeneza hizo nguo na zaidi? Levis Jeans Made in TanzaniaKonza city EPZ.
Coming in HOT! - Lucky DJX Jeans (Textile) industrial complex and Solar Manufacturing Complex.
15,000 - 20,000 DIRECT jobs on this complex alone when operational.
View attachment 3605022View attachment 3605023View attachment 3605024View attachment 3605025View attachment 3605026View attachment 3605027View attachment 3605028View attachment 3605029
Baada ya kuhangaika karibia miaka 20 leo unakuja kutuleta kiawanda kimoja!!? Hivi unaijua Benjamin Mkapa Special Economic Zone ilianza kutumika 2006 hapa Tanzania na inatengeneza hizo nguo na zaidi? Levis Jeans Made in Tanzania
Unadhidi kujidhalilisha hapa jukwaani.
Hii hapa:
View attachment 3605061
View attachment 3605072
View attachment 3605071
As I told you the other day, Athi River EPZ outside Nairobi does not need any introduction. It has been making those brands for decades.
Athi River makes more textile than all bongolala EPZs combined.
View attachment 3605078
View: https://x.com/AfricaFirsts/status/1912111842043867141
View attachment 3605089View attachment 3605090
So in short, bado ni slum 😅Sasa mwaka wa saba tunawaomba drone view photo ya Nairobi mmeshindwa kuileta. Jana nilikuwa nipo na Rais wa Singapore na alikuwa anaitaka sana picha ya Nairobi ili awalete vijana wake wawakwamue kwenye wimibi lenu la njaa lakini wote mlikimbia.
Ndugu IamLee huna akili ya kuleta Satellite imagery ya Nairobi?
E(xport) P(rocessing) Z(ones) are for export you lowly watchman. Rudi shule.Unajua unatusumbua sana hapa jukwaani na comments zako hizi zinazoongelea trivial issues. Watu humu JF wanajadili big projects zenye kuvutia uwekezaji mkubwa.
Hivi unajua kuwa Kenya ndiyo inaongoza kwa Second hand clothes Africa? Yaani Population yenu ni ndogo lakini mnaongoza juu ya Nigeria. Maana yake wakenya wote wanavaa Second Hand Clothes
View attachment 3605109
Pili tukianza kuorodhesha hapa big projects in Tanzania na values zake nina wasiwasi utapotea hapa JF. But ngoja tuende na wewe mdogo mdogo