stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 35,381
- 33,849
The Gods of Nairobi have decided this time
View: https://x.com/ivymuthe/status/2064619135917555949?s=20
View: https://x.com/ivymuthe/status/2064619135917555949?s=20
Nashukuru sana ndugu IamLee kuiletea jamii picha ya kwanza ya 2009 na picha ya pili ya 2014. Tunashukuru kutukumbusha tulipotoka. Hakika Mungu ni mwema mwaka huu ni 2026 tumeshatoka huko na tumesahau. Lakini comment yako hii tulikuwa tumeisahau kuiweka kwenye jumba la makumbusho asante kwa kutuletea.
wameshau kelele hizihii walipiga pale yule mtu wao alipokataliwa Vodacom Tanzania!si ndo maaana ya GUDUBAI
naikumbuka ile hehehe alikua mdada kama sjakoseawameshau kelele hizihii walipiga pale yule mtu wao alipokataliwa Vodacom Tanzania!