Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Site visit KMICC Arusha. 👇🏾 View attachment 3590496View attachment 3590497hapo kunya renda watapata project kubwa kama hii nje ya Nairobi labda baada ya miaka 50. 😂😂
Kitu kimoja kitamu kweli kinaenda kutokea hapa, kule kasongo anajenga the largest farmers market in Bungoma akifikiri ni largest meeting facility in the region tena ni mkopo kama Talanta 😅
 
Hakuna namna refinery ni lazima ijengwe Tanga mtake msitake, anachokifanya Dangote ni kutumia siasa ili alegezewe kamba apate unafuu, kwamba kwenye makubaliano GoT ifanye vile anataka yeye, na ndiyo mana anamtumia cheap leader kama Ruto, kamuhonga vipesa ili ionekane anaweza pia akajenga mombasa lkn hakuna kitu kama icho. Dangote sio kichaa na anajua kama atajenga refinery mombasa atakula hasara ambayo itamyumbisha sn mana kama ataijenga Kenya ipo siku kuna refinery itajengwa Tanzania, so hawezi kuwa chizi kama wewe.
Asee unge ambatanisha na ile picha yake. 😂😂😂
 
That is how I see it. My opinions sio alpha and omega, they are open kuwa challenged.
Unaweza tu kuniweka sawa kwa kushare your superior understanding ya hii issue.
To grow petrochemical industries needs prevention of dumping! Ila najua Kenya ita-default! Esp. kama refinery inajengwa Tanga! They r always bitter losers!
 
Back
Top Bottom