Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

No wonder saaahv ndo watu wanafungua makampuni kwa raha

1779056023097.png
 
It’s hard to take seriously anyone who says the Samia stadium Bakuli seats are for workers …😆😆au sio comrade Mapepo …🤣🤣🤣🤣
Asset ni ya Dangote ama Dangote is a member of Jumuia?😂😂
Kila taifa litakuwa na stake kwenye hii project according to initial proposition; meaning, kutakuwa na protocols ambazo ni lazima kila nchi ziwe signatory kumaintain.

Unajua protocols za first jumuia na ujinga mlifanya dhidi ya General Tyre ya Tanzania?
 

Really?
Dangote anataka soko zima la East Africa lisiwe dumping site ya oul products toka nje, hivyo ni lazima tuwe binded na hizo restrictions. Hizi kinds of restrictions tulikuwa nazo kwenye first East Africa Community na Kenya kwa kufuata myongozo wa Washington waliharibu na kuvunja yote na kuzuia assets nyingi za jumuiya zilizokuwa karibia zote huko Kenya.
Hatiwezi rudia makosa yale tena. Dangote kama mwekezaji yuko huru kuwekeza pesa yake atakako na sisi kama nchi, given Uganda pipeline, S.Sudan, DRC na sisi soon tuna hit oil ni lazima tuwe na refinary yetu.

Sasa yeye Dangote awekeza huko Kenya kwa kutegenea crude imports atakutana na mziki wetu wa refinery with local crude na regional market groves ziko off.
Ataisoma namba kama ilivyo jwa SGR.
 
Kila taifa litakuwa na stake kwenye hii project according to initial proposition; meaning, kutakuwa na protocols ambazo ni lazima kila nchi ziwe signatory kumaintain.

Unajua protocols za first jumuia na ujinga mlifanya dhidi ya General Tyre ya Tanzania?
Si mache basi, kwani kuna mwenye anawalazimisha kujiunga na Kenya to own part of that refinery?😂😂🤣🤣.

Kama hamuamini Kenya the door is open for you to leave.
 
na sisi soon tuna hit oil
Unaskianga mambo wet dreams. That's what you are showing currently.

Hata Sisi we are soon hitting a huge gas field🤣🤣😂.

And who told you that South Sudan will connect their pipeline to Tanga and live ya Turkana to Mombasa/Lamu?🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom