Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Cheki details. 👇🏾 hakuna uwanja mzuri kuliko huu EA nzima
IMG_5165.jpeg
IMG_5121.jpeg
IMG_5120.jpeg
IMG_5119.jpeg
IMG_5174.jpeg
 
The Road, The Port and The Skyline.

This is Mombasa.

View attachment 3590463
Sijawahi kuona empty port roads kama za Mombasa, yaani hakuna kabisa trucks, hivi mizigo huko inaondolewa kwa Bluetooth? Mombasa hakuna hata traffic jam 🚥🤣 Ndio maana bila kufake data Mombasa port ni kama bandari bubu yoyote Somalia
 
Sijawahi kuona empty port roads kama za Mombasa, yaani hakuna kabisa trucks, hivi mizigo huko inaondolewa kwa Bluetooth? Mombasa hakuna hata traffic jam 🚥🤣 Ndio maana bila kufake data Mombasa port ni kama bandari bubu yoyote Somalia
Zile namba za bandari yao zinafikirisha haswaa. 😂😂😂
 
Hakuna namna refinery ni lazima ijengwe Tanga mtake msitake, anachokifanya Dangote ni kutumia siasa ili alegezewe kamba apate unafuu, kwamba kwenye makubaliano GoT ifanye vile anataka yeye, na ndiyo mana anamtumia cheap leader kama Ruto, kamuhonga vipesa ili ionekane anaweza pia akajenga mombasa lkn hakuna kitu kama icho. Dangote sio kichaa na anajua kama atajenga refinery mombasa atakula hasara ambayo itamyumbisha sn mana kama ataijenga Kenya ipo siku kuna refinery itajengwa Tanzania, so hawezi kuwa chizi kama wewe.
 
Sijawahi kuona empty port roads kama za Mombasa, yaani hakuna kabisa trucks, hivi mizigo huko inaondolewa kwa Bluetooth? Mombasa hakuna hata traffic jam 🚥🤣 Ndio maana bila kufake data Mombasa port ni kama bandari bubu yoyote Somalia
Mmezoea inefficiency in your port Hadi mnadhani that's the norm everywhere.

When the port is efficient there's no need of having backlog of trucks in the road. Again our SGR is doing the heavy duty of carrying the cargo out of the port.
 
Lanes 8 na hakuna hata tricircles inakatiza for hours na ndio main entrance to and exit point from the main port gate 😅, single carriageway rough gravel road would be making a lot of economic senses for Mombasa port than this!
Do you know the meaning of a bypass? Bypass is not a main road idiot.😂🤣
 
Hakuna namna refinery ni lazima ijengwe Tanga mtake msitake, anachokifanya Dangote ni kutumia siasa ili alegezewe kamba apate unafuu, kwamba kwenye makubaliano GoT ifanye vile anataka yeye, na ndiyo mana anamtumia cheap leader kama Ruto, kamuhonga vipesa ili ionekane anaweza pia akajenga mombasa lkn hakuna kitu kama icho. Dangote sio kichaa na anajua kama atajenga refinery mombasa atakula hasara ambayo itamyumbisha sn mana kama ataijenga Kenya ipo siku kuna refinery itajengwa Tanzania, so hawezi kuwa chizi kama wewe.
So Leo hii Watchman amekuwa spokesperson wa Dangote😂😂🤣😂
 
Back
Top Bottom