Dangote ndio ataamua, maana Museveni yuko tayari kuuza sehemu ya crude kwa Dangote.
Kenya hana cha ku-offer. Ni mpiga kelele tu.
Hiyo refinery, inaweza kujengwa na Uganda, TZ na Dangote bila kuhusisha Kenya.
Baada ya Kenya kupoteza EACOP, na sisi tunayo na tuna LNG amepaniki.
South Sudan aliokuwa anawategemea na wao mafuta yao wanauza kupitia Sudan.
Kwasasa anapambana na yeye kujichomeka kwenye mradi kwa kununua hizo hisa za REFINERY.
Shida kubwa wakenya wengi ni VIAZI hawaelewi zaidi ya kukaza mafuvu, tu ila viongozi wao WAMEZIDIWA.