Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Him, being a businessman embodies that he can't build a refinery in Mombasa.


Kenya has nothing to offer.


In Tanzania, he will benefit with readymade infrastructures.
  • Free land
  • Tax incentives
  • Lower taxes
  • EAC, SADC markets
  • Crude oil Pipelines (owned by TZ-UG)
  • Port.
  • Cheap electric power (Coal, gas, Hydro)
  • Successful Experience working in Tanzania.

Dangote is not that STUPID.

View attachment 3586521
Ongezea existing oil pipeline Tazama a Tanzania Zambia pipeline that can serve Malawi, Zambia, DRC, Zimbabwe
 
Ni sahihi, ila siyo kwamba kwenye mafuta Uganda hana share.

Mafuta yanamilikiwa na Total na Uganda
Mafuta ni ya Uganda mwenye rights za kuuza sokoni ni Total na yeye ndio anajua mafuta anapeleka wapi Uganda analipwa na Total kwa kila barrel iliyoingia sokoni.
 
No ukiangalia mwanzo wakati inatangazwa tulikua na kamjadala kuhusu direction ya Tanzania in energy, ile $42B project haiwezi kubaliwa if kutakua na oil refinery
Oil refinery na gas lng plant ni vitu viwili tofauti
 
Dangote amesema very clearly, one of his reasons why he prefers Mombasa, ni ju Kenya has more oil consumption and has a bigger economy. Wewe punguza emotions, Dangote didn't mention bongoslum or Uganda anywhere.
Shida kwenye oil importation mna include mpaka mafuta yanayoenda Uganda na Rwanda na South Sudan mnataka kumdanganya tajiri hii sio biashara ya nyanya ina wataalamu wa legal, policy and business they can read fine prints.
 
Back
Top Bottom