Tupe progress ya phases zilizozinduliwa hivi karibuni what is on the ground as we speak?
Mombasa to Kampala.
Mombasa to Kampala.
I remember telling them how Ruto will lie to them properly 😂😂🤣Ruto aliwachezea karata of the century. 😂 😂 😂 Lakini Kasongo hua mjanja.
Kwan refinery ni ya ruto?I remember telling them how Ruto will lie to them properly 😂😂🤣
No, mm nliiona early! Ule mradi wa Mtwara hauwezi kupita hio refinery ikijengwa
Sawa Methuselah 😂😂🤣Hahah subiri uone! BTW Dar port ina-transport more oil than Mombasa!
Na Dangote anajua fika Tanzania ipo na ushawishi kwenye nchi karibia zote East Africa na pia ipo na Ushawishi SADC. Anahitaji sana commitment ya Tanzania (Kenya hawana Ushawishi hata kwa majirani zao Somalia, Ethiopia na South Sudan) But Tanzania ipo na Ushawishi mkubwa sana Somalia, Ethiopia na South Sudan.UG anajenga refinery yake Hoima pili ili refinery iwe profitable Dangote needs government commitment to ban fuel dumping in the market as he had done with Nigeria and he needs commitment of all EA governments on this. So UG will be fuel sufficient soon, and without Tz commitment that refinery will be dead on arrival.
Ni sahihi, ila siyo kwamba kwenye mafuta Uganda hana share.Anayeuza mafuta sio UG ni TOTAL ndio anajua anapeleka wapi soko lipi UG anayo say only kwenye surplus crude ambayo ndio itakuwa targeted kwa refinery fuatilia speech ya Museveni on this
so will you raise the $30B for him? do you have electricity? oil?Hio swali uliza Dangote. Yeye ndio amechagua Mombasa sio mimi.
Dangote needs a consensus in EAC to get the project, going.Dangote mwenyewe ashaamua ni Mombasa. So why are you using a lot of energy to change his decision?🤣🤣😂
No ukiangalia mwanzo wakati inatangazwa tulikua na kamjadala kuhusu direction ya Tanzania in energy, ile $42B project haiwezi kubaliwa if kutakua na oil refineryNa Dangote anajua fika Tanzania ipo na ushawishi kwenye nchi karibia zote East Africa na pia ipo na Ushawishi SADC. Anahitaji sana commitment ya Tanzania (Kenya hawana Ushawishi hata kwa majirani zao Somalia, Ethiopia na South Sudan) But Tanzania ipo na Ushawishi mkubwa sana Somalia, Ethiopia na South Sudan.
Tanzania tumeshaishaijua janja janja ya Dangote.
So wewe ni akili ya Dangote ndio ujue target take ni Tanga?😂😂🤣Nadhani umesoma habari yote... Kuna mambo 3 anataka kabla ya kuamua kuwekeza msa..
Ni mchezo tu huo... Target yake bado ni Tanga na Sasa kaongeza msa ili apate room kubwa ya ku negotiate incentives zake
Dangote ashaamua ni Mombasa, just rest my friend 😂😂🤣Dangote needs a consensus in EAC to get the project, going.
He can't build anything, just to massage some people's ego.
Do you have the oil to refine?So wewe ni akili ya Dangote ndio ujue target take ni Tanga?😂😂🤣
Huo udalali tunaujua sana. Hamuwezi kuiingiza Tanzania kwenye udalali huo.Dangote ashaamua ni Mombasa, just rest my friend 😂😂🤣
Dangote amesema very clearly, one of his reasons why he prefers Mombasa, ni ju Kenya has more oil consumption and has a bigger economy. Wewe punguza emotions, Dangote didn't mention bongoslum or Uganda anywhere.UG anajenga refinery yake Hoima pili ili refinery iwe profitable Dangote needs government commitment to ban fuel dumping in the market as he had done with Nigeria and he needs commitment of all EA governments on this. So UG will be fuel sufficient soon, and without Tz commitment that refinery will be dead on arrival.
Basi mbona inauma?😂😂Huo udalali tunaujua sana. Hamuwezi kuiingiza Tanzania kwenye udalali huo.