mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,512
Hilo ni jukumu lako sasa,ikiwemo kujua ni aina gani ya basi na eneo pia.Sikua najua lolote kaka, asante sana kwa kunijuza. Nawalaumu sana vyombo vyetu vya habari kwa kukosa kutujuza mambo yanayochipuka humu nchini hadi inabidi tuingie fj ndo tuwe na habari. Hivi, huyo mtu wa bodaboda alikakita mgu, mkono au kichwa? Na alifariki ama aloponea? Naomba unipe habari hizo pia kaka, nitashukuru sana