TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,087
- 3,392
Una ubongo mdogo cna haja ya kukufafanulia security how...elewa hivohivo idiotAsante sana kwa kukubali kuwa Tz hakuna security. Kenya is a peaceful country
Una ubongo mdogo cna haja ya kukufafanulia security how...elewa hivohivo idiotAsante sana kwa kukubali kuwa Tz hakuna security. Kenya is a peaceful country
Lakini si nimekuambia tu ukweli ndugu yangu. Hii energy yote mnaelekeza hapa mngetumia kujenga nchi yenu, pengine haingekuwa kwenye hiyo list ya ldc. Najua ni uchungu lakini hiyo ndo ukweliHii ni battle kaka vilio hatutaki umu
shukran kwa mara ingine tena kwa kuweka wazi kuwa Kenya kuna Security nzuri kushinda tanzaniaUna ubongo mdogo cna haja ya kukufafanulia security how...elewa hivohivo idiot
Nyumba za kule zimejengewa udongo na mbavu za mbwaChumba kizuri apo Mathare ni bei gani ?chenye tails na gypsum nje kuwe na pavement na geti...
Kwan ukiongea hivyo unadhan kenya ndio itakua secure ????hahahahashukran kwa mara ingine tena kwa kunifahamisha kuwa Kenya kuna Security nzuri kushinda tanzania
We na kiingereza chako umeishia kuwa mfagiaji wa kampenskivipi lakini kuhusu waimbaji wanaoweza kutunga nyimbo kwa kiingereza? hamna variety...nyot mnaimba lugha moja...very boring


watu hawajui English wanakuja kuzoa mihela sasa sijui mburura ni nani hapa?Legacy wacha tu pale tandaleSo nikija nai kutembea apo korogocho napaki wap legacy?
Kwanza jinasue kutika uLDC kaka blaza. hapo utakuwa umefanya jambo la busara sana kwa taifa lakowe will control each and everything in kenya...from entertainment to their daily needs.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Isikose hiyo kahawa murua inatoka KenyaKahawa murua kabisa
Penda sana nchini yangu
Nairobi nayo iko na kipande chake chabkuilinganisha,haiwezi simama na dar nzima ni kuionea nairobi.Kumbe mnajua rika yenu ni Mombasa? Hongera kaka. Sasa msilinganishe hicho kijiji chenu na Nairobi tena sawa?
Toa hela , sifanyi burebure kama free WiFi za Uhuru parkcome teach me
Tangu mmetoka ldc huu ni mwaka wa tatu,na bado mnanuka njaa mbaya.Kwanza jinasue kutika uLDC kaka blaza. hapo utakuwa umefanya jambo la busara sana kwa taifa lako
La hasha!, hamtunyimi usingizi wala hamuwezi kutukosesha usingizi hata siku moja. Tuko tu hapa kuwapa motisha na moyo angalau mjinasue kutoka ldc. Nyinyi ni majirani zetu kwa hivyo hatufurahii dhiki na uchochole mnayopata mkiwa kwenye hiyo list ya ldc. Hiyo ndo inaitwa ujirani mwemaLDC inawanyima usingizi wakenya...![]()
![]()
![]()
That is a glorified slummy village in the eyes of NairobiNairobi nayo iko na kipande chake chabkuilinganisha,haiwezi simama na dar nzima ni kuionea nairobi.
Deal.Toa hela , sifanyi burebure kama free WiFi za Uhuru park
Aliyewakataza kutoka ldc miaka hamsini tangu mpate uhuru ni nani? Kwani milirogwa na aliyewaroga kafa?Tangu mmetoka ldc huu ni mwaka wa tatu,na bado mnanuka njaa mbaya.
Kawaida yao sana. wakiishiwa wanabaki wakisema povu na hasira. Very characteristic of themumeshaishiwa😀😀😀
Si kuchafuliwa jina ndugu. The fact is that your ujamaa country is listed among the least developed countries in the world. La muhimu kwako na watanzania wenzako ni kujikakamua na kujenga nchi yenu itolewe kwenye hiyo list ya aibuWe mpuuzi acha kutudanganya kwanza habari ya 2016 hicho ndo cha kwanza ..cha pili nakupa habar latest kutoka website hyo hyo Tz hata top 30 poorest hatupo..wacha kutuchafulia jina mpuuzi wewe
![]()
![]()
RANKED: The 30 poorest countries in the world
Cha kushangaza ni kwamba licha ya hayo yote, uchumi wetu bado ni kubwa kuwashinda, tuko na bigger middle class kuwashinda, na zaidi ya yote, hatuko ldc kama nyinyi. How about that?Huyo ni mtu ambaye lugha yake ya Taifa ni kiswahili, lakini anashabikia kiingereza, Kenya hawana uwezo wa kufikiria, ndiyo sababu uchumi wao unazidi kushuka kila siku, huku wakishabikia kuzunguma kizungu, stupid.
Kenya Records Slowest Quarterly Growth since 2013