Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wasanii wapo sio tu lazima waw waimbaji...tuna Lupita Nyong;o, tuna wachezaji soka wengi kama Wanyama...pia wale ni wasanii...we pimbi nini? 😀😀😀
nilijua utakuja na lupita binti anaishi marekani huko unaita ni mkenya,no wonder hata obama ni miongoni mwa wakenya waliofanikiwa.
 
wajitoe kwa hii list kwanza...LDC dwellers
The 25 poorest countries in the world

We mpuuzi acha kutudanganya kwanza habari ya 2016 hicho ndo cha kwanza ..cha pili nakupa habar latest kutoka website hyo hyo Tz hata top 30 poorest hatupo..wacha kutuchafulia jina mpuuzi wewe
7fcc80dabe6dfbc97a6a6059c8f8df37.jpg

b57a623f95c8b508bbca80ef26f45255.jpg


RANKED: The 30 poorest countries in the world
 
ushamba ndio mingi...ndio maana the best english speakers wenu ni akina diamond....jamaa hawez hata sentensi moja...sijui mnafunzwa nini nyie bongolala😀😀😀
Kwanza tunamshangaa kuhangaika kujifunza kiingereza, hiyo awachie nchi zenye slavery mentality kama Kenya, ninyi mnavyowanyenyekea wazungu na kuwalamba miguu yao, ndiyo sababu kaka zenu wanaolewa kwa wingi huko USA
 
nilijua utakuja na lupita binti anaishi marekani huko unaita ni mkenya,no wonder hata obama ni miongoni mwa wakenya waliofanikiwa.
sasa lupita ni Mmarekani???😀😀😀wewe ni bongolala tu😀😀😀
 
waambie walete mchezaji soka mmoja tu toka Bongo kama vile wanyama na Mariga....ama actress aliye Hollywood...😀😀😀sasa Diamond ndio nani hajulikani hata nje ya bara la Afrika😀😀😀
 
some of your music artistes speak good english than granddaughters of queen elizabeth.

cha ajabu,event organizers wenyu wanawatumia kama curtain raisers kwenye matamasha yenyu ambayo mtz amepangwa ku-perform kwa lugha ya kiswahili.
Huyo ni mtu ambaye lugha yake ya Taifa ni kiswahili, lakini anashabikia kiingereza, Kenya hawana uwezo wa kufikiria, ndiyo sababu uchumi wao unazidi kushuka kila siku, huku wakishabikia kuzunguma kizungu, stupid.
Kenya Records Slowest Quarterly Growth since 2013
 
anaishi Manzese😀😀😀 kwa hiyo nikiishi Germany ina maana mimi mjerumani...😀😀😀😀 rudi kaitishe karo ya shule ndugu😀😀😀waliku con
sasa wewe panya,mtu yuko us utaorodhesha faida kwake wakati hata chupi yake hanunulii kwenu????au huwa mnakwenda kumkatishia kodi kwa asili ya kiwa mkenya???
 
sasa wewe panya,mtu yuko us utaorodhesha faida kwake wakati hata chupi yake hanunulii kwenu????au huwa mnakwenda kumkatishia kodi kwa asili ya kiwa mkenya???
nani kakuambia huwa haji Kenya? ficha upumbavu wako wakati mwingine😀😀😀😀sio lazima udhibitishe kuwa wewe ni kilaza😀😀
 
Back
Top Bottom