Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kupenya kwenda wapi wewe???

Unajua hata china majolity wanaongea lugha gani???haya kapambanishe kalio lako kwa china na kiingereza chako kizushi.
ushamba ndio mingi...ndio maana the best english speakers wenu ni akina diamond....jamaa hawez hata sentensi moja...sijui mnafunzwa nini nyie bongolala😀😀😀
 
vipi lakini kuhusu waimbaji wanaoweza kutunga nyimbo kwa kiingereza? hamna variety...nyot mnaimba lugha moja...very boring
some of your music artistes speak good english than granddaughters of queen elizabeth.

cha ajabu,event organizers wenyu wanawatumia kama curtain raisers kwenye matamasha yenyu ambayo mtz amepangwa ku-perform kwa lugha ya kiswahili.
 
ushamba ndio mingi...ndio maana the best english speakers wenu ni akina diamond....jamaa hawez hata sentnsi...sijui mnafunzwa nini nyie bongolala😀😀😀
Angalia sasa ulivyo kilaza.

Diamond anafikiwa na msanii gani hapo kwenu kipesa,na viingereza vyenu???
 
Dar Es Salaam
d3892cc4677eb289125d759fe86bf3c2.jpg
b3923e52c9218c8969119fae947568fe.jpg
Kahawa murua kabisa
Penda sana nchini yangu
 
some of your music artistes speak good english than granddaughters of queen elizabeth.

cha ajabu,event organizers wenyu wanawatumia kama curtain raisers kwenye matamasha yenyu ambayo mtz amepangwa ku-perform kwa lugha ya kiswahili.

pole sana LDC dweller...chokoraa wa Nairobi anazungumza kiingreza bora kuliko wewe hapo mzee wa miaka 70😀😀😀
 
chakula mbona tunanunua tu Brazil ama Uganda? muhimu ni kukuza uchumi....kujinasua toka kwa uLDC...maskini wa kutupwa
unanunua chakula utakuzaje uchumi????au hujui kanuni za nchi zilizoendelea zinafanyaje???

Kaeni msherehekee kuwa low middle income na mtaishia hapo,maana mahitaji muhimu kama chakula mnanunua hamjitoshelezi.
 
Angalia sasa ulivyo kilaza.

Diamond anafikiwa na msanii gani hapo kwenu kipesa,na viingereza vyenu???
wasanii wapo sio tu lazima waw waimbaji...tuna Lupita Nyong;o, tuna wachezaji soka wengi kama Wanyama...pia wale ni wasanii...we pimbi nini? 😀😀😀
 
ndio maana hamuwez mkapenya kote duniani....broken english tu ndio mnajua😀😀😀kaka blaza washamba!!

Pwahahahaha...kweli mnaishi hivyo ndio maana omba omba wamejaa kote Nairobi...mnaishi mbinguni 😀😀😀😀

WIFI zipo tu kila mahali ndugu....hapa nilipo zimejaa kote

ushamba ndio mingi...ndio maana the best english speakers wenu ni akina diamond....jamaa hawez hata sentensi moja...sijui mnafunzwa nini nyie bongolala😀😀😀


chokoraa wa Nairobi anazungumza kiingreza bora kuliko wewe hapo mzee wa miaka 70😀😀😀

povu la hasira...
 
Back
Top Bottom