Sina uhakika kama unajua unachokiongelea, kitendo cha Tundu Lisu kuja kutibiwa huko kinaeleweka, suspect mkubwa hadi sasa ni serikali kwa hiyo usalama wake ungekuwa mashakani kama angetibiwa hapa nchini, lakini siku za nyuma tulilinganisha ubora wa Hospitali za Tanzania na Kenya, tuliona kwamba Tanzanian Hospitals are better equiped and are performing more specialized medical procedures than yours, kama unataka kurudia huo mdahalo kuhusu hili, am more than than prepared.
Kuhusu roads, Tanzania is much better connected with roads than Kenya, here we are not talking about roads in cities, I mean inter regions/counties, Tanzania has longer road network which is tarmacked than Kenya, evidence is available if needed.
Electricity connectivity, Tanzania 68%, Kenya 64%. Many Tanzanians get clean and safe drinking water than Kenyans. Kuhusu maziwa, sisi tunayo ya kutosha, Kenya ilikuwa ikiyazuia maziwa ya Tanzaina kuja huko kwenu, ila Magufuli amesema mkiendelea kuzuia na yenu yatazuiliwa, sasa yameanza kuja huko kwenu maziwa yetu, ila ninyi mnatutegemea kwa chakula, sisi kamwe hatutegemei chakula chochote toka huko.