Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya 2014 ilikua ldc
Vile mnapiga kelele kua dc as if mligraduate 1990
Nyinyi aliyewazuia kugraduate ni nani? Mngekuwa mnatumiwa hii energy mnatumia hapa ndani kupaka Kenya tope kujenga nchi yenu saa hii hamngekuwa ldc.
 
asante kwa porojo.
Porojo gani? itisha link nikuletee, tena kutoka hapo kwenu. Internet access Tanzania nzima ni 13% and that is a fact you can't run away from. You are among the few danganyikans who are privileged to enjoy internet access hapo ujamaa village. Unafaa kushukuru Mungu sana. Again, itisha link nikuletee la sivyo koma kabisa
 
smh...jamaa alisema kuwa ana subaru legacy ya 2007...nikamwambia hio ni gari ya zaman sana hata nilipokuwa darasa la 7 nilikuwa naliona...sasa wewe umekimbia Google kutafta gari lingine tofaut kabisa...ndio maana huwa watu wakizungumza inabidi unawawacha wamalize mazungumzo yao...sio kuingilia na kiherehere mambo yasiyokuhusu na kujiaibisha...subaru legacy hii hapa
2007_subaru_legacy_wagon_25-gt-limited_fq_oem_2_300.jpg
Haha sio kama hio ni fupi ,legacy zinamatoleo kila mwaka zipo modern zaidi ni kama range rover tu ziko za tangu 1970 sasa unaposema ni gar ya zaman unakua kama unazingua buda...
kwa usawa wang nilimudu ya 2007 but ni nzuri kuliko alteza,MarkII ,Even brevis ...inauwezo mzuri.
 
Nyinyi aliyewazuia kugraduate ni nani? Mngekuwa mnatumiwa hii energy mnatumia hapa ndani kupaka Kenya tope kujenga nchi yenu saa hii hamngekuwa ldc.
Hii ni battle kaka vilio hatutaki umu
 
The Gross Domestic Product (GDP) in Tanzania was worth 47.43 billion US dollars in 2016. The GDP value of Tanzania represents 0.08 percent of the world economy. GDP in Tanzania averaged 18.26 USD Billion from 1988 until 2016, reaching an all time high of 48.20 USD Billion in 2014 and a record low of 4.26 USD Billion in 1990.


The Gross Domestic Product (GDP) in Kenya was worth 70.53 billion US dollars in 2016. The GDP value of Kenya represents 0.11 percent of the world economy. GDP in Kenya averaged 14.33 USD Billion from 1960 until 2016, reaching an all time high of 70.53 USD Billion in 2016 and a record low of 0.79 USD Billion in 1961.

What about PPP?
 
Lmic manake bado ni walaini
ndio Hawa hukopa kila project wanayofanya ....Ndio mana wengi wao wanakua wakali kumbe ni mikopo inawa hunt
Wewe ni mwehu au nini? kuwa na deni is no big deal. Hata America iko na deni tena kubwa sana na bado inalipa hadi wa leo. Jielimishe kidogo mtoto wa bongolala
 
Wewe ni mwehu au nini? kuwa na deni is no big deal. Hata America iko na deni tena kubwa sana na bado inalipa hadi wa leo. Jielimishe kidogo mtoto wa bongolala
Mwehu nyanya ako apo vp
kenya na America wap n.a. wap...
 
Back
Top Bottom