Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Timeless Nairobi: The City With A Character!

main-qimg-d6c55fc4685097a15ea3d71c91eb5a3a-c
huna lolote
 
for those who've been to that country....it's pathetic.Forget the noise over here from the ldc dwellers... hii nguvu ya kelele mingi wangetumia kujenga nayo Tanzania
they think we dont know...tz is a crappy country...
 
Hao sio developed country, hao ni "Lower middle income country", tena hiyo ni baada ya kupika data.
Lmic manake bado ni walaini
ndio Hawa hukopa kila project wanayofanya ....Ndio mana wengi wao wanakua wakali kumbe ni mikopo inawa hunt
 
Kenya 2014 ilikua ldc
Vile mnapiga kelele kua dc as if mligraduate 1990
when you reach middle income...ask for me...now you are just a poor LDC dweller...top 20 most poor countries in the world...
 
Lmic manake bado ni walaini
ndio Hawa hukopa kila project wanayofanya ....Ndio mana wengi wao wanakua wakali kumbe ni mikopo inawa hunt
deni la ndege mlilipa lakini?😀😀😀 you know, yale mitungi ya kinyesi yaliyoshikiliwa Canada
 

7282c24c68b2de349033ede1fa541b27.jpg


NB:
their music is at ICU.
whatever there is a big music event in kenya that involves artistes from tanzania,kenyan artistes are used as curtain raisers.

do you know what that means?,it means kenyan event organizers regard tanzanian artistes as professionals while kenyan amateurs.
 
Lmic manake bado ni walaini
ndio Hawa hukopa kila project wanayofanya ....Ndio mana wengi wao wanakua wakali kumbe ni mikopo inawa hunt
Hao wanazidiwa na nchi nyingi sana za LDC, sasa kama LDC ana uwezo wa kutengeneza ajira kwa vijana, anazalisha chakula cha ziada, anaweza kujenga reli ya umeme kwa pesa yake, anajenga hudroelectric power dam of $2B kwa pesa yake, utalinganishaje na nchi ambayo inakopa kila kitu?
 

7282c24c68b2de349033ede1fa541b27.jpg


NB:
their music is at ICU.
whatever there is a big music event in kenya that involves artistes from tanzania,kenyan artistes are used as curtain raisers.

do you know what that means?,it means kenyan event organizers regard tanzanian artistes as professionals while kenyan amateurs.
vipi lakini kuhusu waimbaji wanaoweza kutunga nyimbo kwa kiingereza? hamna variety...nyot mnaimba lugha moja...very boring
 

7282c24c68b2de349033ede1fa541b27.jpg


NB:
their music is at ICU.
whatever there is a big music event in kenya that involves artistes from tanzania,kenyan artistes are used as curtain raisers.

do you know what that means?,it means kenyan event organizers regard tanzanian artistes as professionals while kenyan amateurs.
Nothing more, nothing less..they have surrendered to Tanzania in music, medical and tourism industries, next are manufacturing and transport and logistics sectors.
 
when you reach middle income...ask for me...now you are just a poor LDC dweller...top 20 most poor countries in the world...
Na hata siku tunasomeka huko haitakuwa habari,maana kimaish tunaishi hivyo.
 
ndio maana hamuwez mkapenya kote duniani....broken english tu ndio mnajua😀😀😀kaka blaza washamba!!
Kupenya kwenda wapi wewe???

Unajua hata china majolity wanaongea lugha gani???haya kapambanishe kalio lako kwa china na kiingereza chako kizushi.
 
Back
Top Bottom