Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hvi wakenya wahandisi wenu hua wanakwenda kusoma kweli au kula vitumbua😀😀😀
E116FBA9-7CE4-46D1-97A0-E70C5C554278.jpeg
 
we kilaza nini? legacy ni subaru...na legacy ni toleo la zamani...ndio, kuna subari za kisasa ila legacy ni ya zamani sana...

Duuu, hivi we jamaa una uhakika na unachoongea?
unaweza pia kusema eti VW Golf ni toleo la zamani? mhhh, inaweza kuwa legacy lakini kuna new versions kila baada ya muda

mfano anagalia VW golf ya 2000 na ya 2017


CAB00VWC021A0101.jpg



2007

golf-unveil-086.jpg



subaru legacy 2000

763898719.jpg


Subaru legacy 2018

subaru-legacy-chicago-livepics-21.jpg


Yaani nyie jamaa mnavyoongea tu mnaonekana mlivyo hamna wapangaji huko gorofani.
 
smh...jamaa alisema kuwa ana subaru legacy ya 2007...nikamwambia hio ni gari ya zaman sana hata nilipokuwa darasa la 7 nilikuwa naliona...sasa wewe umekimbia Google kutafta gari lingine tofaut kabisa...ndio maana huwa watu wakizungumza inabidi unawawacha wamalize mazungumzo yao...sio kuingilia na kiherehere mambo yasiyokuhusu na kujiaibisha...subaru legacy hii hapa
2007_subaru_legacy_wagon_25-gt-limited_fq_oem_2_300.jpg

Picha hiyo ni subaru legacy station wagon

hii ni ya 2010

slt00.jpg
 
Tumeitisha isaidie nai kuichapa dar zote kwa pamoja zimefubazwa saa mbili asubuhi.au kuna picha zingine mlete??
Wewe ushakunywa mchuzi wa albino hujielewi. Kilichobaki ni kuongea usioyaelewa
 
Acha kutapatapa, unaogopa kivuli chako mwenyewe, jibu
1)Kenya ina kiwango kikubwa cha watu wasio na kazi duniani 48%, kweli au sio kweli?
2)Sector ya utalii ni moja kati ya sector zinazotengeneza ajira nyingi kwa wakenya, kudorora kwa sector ya utalii ni miongoni mwa sababu kubwa ya tatizo la unemployment, kweli au sio kweli?
3)Sector ya utalii ya Tanzania, imeipita kwa mbali sana ile ya Kenya kwa kuingiza pesa nyingi; TZ =KE +UG +RW, Kweli sio kweli?
Jibu kwa facts, acha kujamba
After all is said and done, there's one bitter fact that you will never run away from: You live in a least developed country while I live in a developing country/economy on transition. How about that son of bongolala?
 
Tanzania, officially the United Republic of Tanzania, is a country in Eastern Africa that is home to natural wonders like Mount Kilimanjaro and Lake Victoria. Although the country is rich in natural resources, poverty in Tanzania persists.

There are 10 facts about poverty in Tanzania:
  1. In Tanzania, 67.9 percent of the population lives below the poverty line.
  2. Extreme poverty in Tanzania has declined in recent years, from 11.7 percent in 2006 to 9.7 percent in 2012.
  3. Poverty leads to hunger. Roughly 42 percent of children under five in Tanzania suffer from chronic malnutrition and 16 percent are underweight.
  4. Malnutrition affects children’s physical development. The rate of stunting in Tanzania ranks third in sub-Saharan Africa, after Ethiopia and the Democratic Republic of Congo.
  5. Many of the most commonly eaten foods in Tanzania, such as potatoes and cassava, are inexpensive but lack essential nutrients. Some schools in Tanzania now hold nutrition classes for students in hopes of reducing malnutrition.
  6. On average, women in Tanzania will have five children. Slowing fast population growth and the high fertility rate by empowering women through education support and family planning services is key to reducing poverty in Tanzania.
  7. Poverty is highest in rural areas, with around 80 percent of the country’s poor living in those regions.
  8. Poverty is also highest among female-headed households, particularly those that depend on livestock or food-crop production for their livelihood.
  9. Young girls and women in Tanzania often suffer from more nutritional deficiencies than men. One-third of women are deficient in iron, iodine, and vitamin A and two-fifths are anemic.
  10. Cash transfer programs, which have been successful in other parts of the world, have proven in recent years to be effective in Tanzania. While families do not receive large sums of money, it is enough to free them from constant subsistence farming and allows them to focus on generating additional, more stable, sources of income.

Here are 10 facts about poverty in Tanzania:
  1. In Tanzania, 67.9 percent of the population lives below the poverty line.
  2. Extreme poverty in Tanzania has declined in recent years, from 11.7 percent in 2006 to 9.7 percent in 2012.
  3. Poverty leads to hunger. Roughly 42 percent of children under five in Tanzania suffer from chronic malnutrition and 16 percent are underweight.
  4. Malnutrition affects children’s physical development. The rate of stunting in Tanzania ranks third in sub-Saharan Africa, after Ethiopia and the Democratic Republic of Congo.
  5. Many of the most commonly eaten foods in Tanzania, such as potatoes and cassava, are inexpensive but lack essential nutrients. Some schools in Tanzania now hold nutrition classes for students in hopes of reducing malnutrition.
  6. On average, women in Tanzania will have five children. Slowing fast population growth and the high fertility rate by empowering women through education support and family planning services is key to reducing poverty in Tanzania.
  7. Poverty is highest in rural areas, with around 80 percent of the country’s poor living in those regions.
  8. Poverty is also highest among female-headed households, particularly those that depend on livestock or food-crop production for their livelihood.
  9. Young girls and women in Tanzania often suffer from more nutritional deficiencies than men. One-third of women are deficient in iron, iodine, and vitamin A and two-fifths are anemic.
  10. Cash transfer programs, which have been successful in other parts of the world, have proven in recent years to be effective in Tanzania. While families do not receive large sums of money, it is enough to free them from constant subsistence farming and allows them to focus on generating additional, more stable, sources of income.10 Important Facts About Poverty in Tanzania
 
Acha kulinganisha vitu vya kijinga wewe, matajiri wachache wanasaidia nini nchi kwa ujumla, Mombasa inanuka kwa takataka zilizozagaa mitaani, hao matajiri wanasaidiaje?, ndiyo maana tunawaambia akili zenu wakenya ni kama za kuku, ninyi ni sifa tu za kijinga ndizo zinazowasumbua, linganisha mambo yenye impact kwa wananchi walio wengi, kama vile, huduma za jamii, job creation, health,education, food security, water, security, infrastructure, na mambo kama hayo, sasa matajiri wewe wanakusaidiaje?
Sasa kwa hizo zote ulizotaja Tanzania inashindia Kenya nini? Do you have better health care? Last time I checked, your opposition leader was receiving treatment somewhere in Nairobi. Infrastructure hamtuguzi hata robo hata wewe unajua hivo. Education: You have one of the worst education systems in the world. hapo hata haifai tujilinganishe. Food security: mtasema tunanunu mahindi kutoka kwenu. nyinyi maziwa mnayokunywa inatoka wapi? Security: save for northern Kenya and parts of north coast, the rest of kenya is very safe

SASA NI NINI MNATUSHINDIA?
Ni aibu sana kwetu kujicompare na ldc
 
Yes, but they don't die of hunger like you guys, they have best Hospitals in EA, they have less unemployment rate, no corruption, no tribalism, they have managed to pay for their electric railway from their pockets, no insecurity, no extrajudicial killings, they feed Lower middle income countries..
The best hospitals in east Africa? Lol. What was Tundu Lisu doing in Nairobi if there are better hospitals in that ujamaa village you call a country?
 
majobless ya kikenya yameshafika kwa ile building inayo provide free Wi-Fi.
This just shows how ignorant you are about what is happening in the world. In matters internet hata hamfai kuongea. Kenya has the best internet services and pentration rates in Africa sasa tutavizia aje free Wi-Fi? our internet access is above 70% wakati nyinyi bado mko kwenye 13 %.Hata hauna aibu ukitaja mambo na internet mtoto wa kidanganyika. inafaa uelewe mambo unayoongelea la sivyo utaonekana mjinga wa mwisho
 
hvi wakenya wahandisi wenu hua wanakwenda kusoma kweli au kula vitumbua😀😀😀
View attachment 669058
hahahaha..
niliwahi kuuliza hili swali siku chache zilizopita,wakaishia kunitolea povu.

huwa nasema kila siku,elimu ya kenya ni bomu,imejikita zaidi katika kuwafundisha wakenya kuzungumza kingereza na sio kuwapa maarifa au kuwaondoa katika kundi la wajinga.
 
This just shows how ignorant you are about what is happening in the world. In matters internet hata hamfai kuongea. Kenya has the best internet services and pentration rates in Africa sasa tutavizia aje free Wi-Fi? our internet access is above 70% wakati nyinyi bado mko kwenye 13 %.Hata hauna aibu ukitaja mambo na internet mtoto wa kidanganyika. inafaa uelewe mambo unayoongelea la sivyo utaonekana mjinga wa mwisho
asante kwa porojo.
 
Back
Top Bottom