Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ukiskia laana ndio hii😀😀😀😀😀😀
D2721909-9104-4845-984B-A4FEF5947068.jpeg
 
Nakushaangaa unavojisifia katiba yenu nzur wakati haina faida kwa mtu wa kibera ....tume yenyewe huru ya uchaguzi ni zuga tuupuu .au hujui kilichofanya yule jamaa wa tume ya uchaguzi kuuawa???peleka ujinga wako kwa wajinga wenzio

Muhimu kwao ni sifa tu, hawana shida ya impact

Majinga sana haya majamaa yanafurahiaga documents wakati hazina uhalisia na maisha yao ...na huo ujinga utawachelewesha sana maboya hawa

 
Hahahaha! Wakenya hamna huruma jemeni yani mnawachapa Watzee in their home turf mpaka wanatokwa povu? Inawezekana Tena sana si hata tulichapa Taifa Stars na Zanzibar kwenye okombe la CECAFA.


The weak ldc country....hahaha.kichapo home and away......Darislum dwellers....stop comparing the incompatible........Nairobi iko ligi ya Joburg and Cairo not some shanty "cities" like dar
 
Back
Top Bottom