Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

UJUMBE MAALUM WA KADODA11 KWENDA KWA WAKENYA WOTE WA JF NA WALIO NJE YA JF.
mwaka 2017 umeisha,sasa ni rasmi tupo mwaka 2018.

nikiwa kama kijana mzalendo wa nchi bora kabisa hapa EA,nchi iitwayo Tanzania,nahaidi kuendelea kuonyesha mapenzi na uzalendo kwa Taifa langu.

pia nahaidi kuendeleza mapambano ya kimjadala dhidi wakenya.

kama nilivyofanya mwaka jana katika kipindi cha mwezi january na april,
pia mwaka huu,kwa muda wa miezi minne mfufulizo,nitajikita katika mtandao wa twitter nikiangazia tweets mbalimbali za wakenya ambazo zinaonyesha vilio na malalamiko yao mbalimbali thidi ya taifa lao.

nitaleta screenshot zote za namna hiyo hapa katika thread.

nitahakikisha "naliamsha dude" mpaka wakenya wapatwe na mtetemeko wa uoga kila wanapokutana na ID ya kadoda11.

round hii nitahakisha nawagonga sehemu nyeti ili wapatwe na maumivu yasiyo na mfano.

twende kazi....hapa kazi tu.
thread na iendelee.
 
UJUMBE MAALUM WA KADODA11 KWENDA KWA WAKENYA WOTE WA JF NA WALIO NJE YA JF.
mwaka 2017 umeisha,sasa ni rasmi tupo mwaka 2018.

nikiwa kama kijana mzalendo wa nchi bora kabisa hapa EA,nchi iitwayo Tanzania,nahaidi kuendelea kuonyesha mapenzi na uzalendo kwa Taifa langu.

pia nahaidi kuendeleza mapambano ya kimjadala dhidi wakenya.

kama nilivyofanya mwaka jana katika kipindi cha mwezi january na april,
pia mwaka huu,kwa muda wa miezi minne mfufulizo,nitajikita katika mtandao wa twitter nikiangazia tweets mbalimbali za wakenya ambazo zinaonyesha vilio na malalamiko yao mbalimbali thidi ya taifa lao.

nitaleta screenshot zote za namna hiyo hapa katika thread.

nitahakikisha "naliamsha dude" mpaka wakenya wapatwe na mtetemeko wa uoga kila wanapokutana na ID ya kadoda11.

round hii nitahakisha nawagonga sehemu nyeti ili wapatwe na maumivu yasiyo na mfano.

twende kazi....hapa kazi tu.
thread na iendelee.
 
UJUMBE MAALUM WA KADODA11 KWENDA KWA WAKENYA WOTE WA JF NA WALIO NJE YA JF.
mwaka 2017 umeisha,sasa ni rasmi tupo mwaka 2018.

nikiwa kama kijana mzalendo wa nchi bora kabisa hapa EA,nchi iitwayo Tanzania,nahaidi kuendelea kuonyesha mapenzi na uzalendo kwa Taifa langu.

pia nahaidi kuendeleza mapambano ya kimjadala dhidi wakenya.

kama nilivyofanya mwaka jana katika kipindi cha mwezi january na april,
pia mwaka huu,kwa muda wa miezi minne mfufulizo,nitajikita katika mtandao wa twitter nikiangazia tweets mbalimbali za wakenya ambazo zinaonyesha vilio na malalamiko yao mbalimbali thidi ya taifa lao.

nitaleta screenshot zote za namna hiyo hapa katika thread.

nitahakikisha "naliamsha dude" mpaka wakenya wapatwe na mtetemeko wa uoga kila wanapokutana na ID ya kadoda11.

round hii nitahakisha nawagonga sehemu nyeti ili wapatwe na maumivu yasiyo na mfano.

twende kazi....hapa kazi tu.
thread na iendelee.
 
UJUMBE MAALUM WA KADODA11 KWENDA KWA WAKENYA WOTE WA JF NA WALIO NJE YA JF.
mwaka 2017 umeisha,sasa ni rasmi tupo mwaka 2018.

nikiwa kama kijana mzalendo wa nchi bora kabisa hapa EA,nchi iitwayo Tanzania,nahaidi kuendelea kuonyesha mapenzi na uzalendo kwa Taifa langu.

pia nahaidi kuendeleza mapambano ya kimjadala dhidi wakenya.

kama nilivyofanya mwaka jana katika kipindi cha mwezi january na april,
pia mwaka huu,kwa muda wa miezi minne mfufulizo,nitajikita katika mtandao wa twitter nikiangazia tweets mbalimbali za wakenya ambazo zinaonyesha vilio na malalamiko yao mbalimbali thidi ya taifa lao.

nitaleta screenshot zote za namna hiyo hapa katika thread.

nitahakikisha "naliamsha dude" mpaka wakenya wapatwe na mtetemeko wa uoga kila wanapokutana na ID ya kadoda11.

round hii nitahakisha nawagonga sehemu nyeti ili wapatwe na maumivu yasiyo na mfano.

twende kazi....hapa kazi tu.
thread na iendelee.
 

Hahahahaha, wanawake wa Kenya hapana machezo, huyu dada amemkunja huyu jamaa kwasababu ya Mbau, ndiyo shilingi ngapi mbau?
 
hahahah... povu linamwagwa huku aisee>>>
Kenya watatuacha zaidi. Tanzania hatuna plan
hio thread ya watz wanalia lia kule nendeni mkawasaidie
mnatoa maoni gani kuhusu thread mbili hapa chini zinazo trend hii leo jf?.povu ruksa.

cce9db5acc04632a8aed897bcc6acb63.jpg
405f880651f4661f82b8435b96f4fff3.jpg
 
hio thread ya watz wanalia lia kule nendeni mkawasaidie...but its true, our constitution is very progressive...infact In africa, i think the south african one is the only one that can beat ours
Katiba ndio itachange life ya mtu mmoja mmoja hapo kenya????
 
nani kasema hivyo?😀😀😀 we bana kwani kiingereza shida?😀😀
Nakushaangaa unavojisifia katiba yenu nzur wakati haina faida kwa mtu wa kibera ....tume yenyewe huru ya uchaguzi ni zuga tuupuu .au hujui kilichofanya yule jamaa wa tume ya uchaguzi kuuawa???peleka ujinga wako kwa wajinga wenzio
 
Nakushaangaa unavojisifia katiba yenu nzur wakati haina faida kwa mtu wa kibera ....tume yenyewe huru ya uchaguzi ni zuga tuupuu .au hujui kilichofanya yule jamaa wa tume ya uchaguzi kuuawa???peleka ujinga wako kwa wajinga wenzio
Muhimu kwao ni sifa tu, hawana shida ya impact
 
Back
Top Bottom