Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe....yani kibera ..n.self defence yenu bongolala....we...mtazidi kukibiza opepo...LDC nyie
Infact huwezi jiita dc uko na mtaa kama kibela,tena katika mji wenu wa biashara.kwa mwerevu hata hakutakiwa kushinda anajisifu humu.

Tuachane na kibera,njaa ya kenya nayo???
 
Kibera,kibela yote ni slum maarufu duniani kutoka kenya.

Ndio ufanye juhudi mama yako asizidiwe na njaa,hii kushinda unaorodheaha ldc na dc haitamkomboa.
amekwambia usitaje mama yake. don't go too far
 
3rd class railway na ni electric Tena hebu leteni hiyo tender once again.
 
Another one toka TZ:

Wewe ndo kilaza unadhani wanauchumi hawajui hiyo,51% ni kitu gani kwa nchi yenye uchumi wa matirion ya shng? Good enough wamekopa Ku finance miundombinu,nyie na sizonje wenu deni limeongezeka kwa kazi mumefanyia nn hizo pesa maana hstuoni kitu.U know nothing abt economics,shut up
 
2018 naliamsha dude kama hivi.

KENYANS WHINING ABOUT THEIR GOVERNMENT, QUESTIONING AND REPORTING ANYTHING NEGATIVE HAPPENING WITHIN THEIR COUNTRY.
5160a232e178b8e25dd3fcb15d00a162.jpg
99d4c159cebf38f2d2a6828d00e72fa5.jpg
f661ed0f0a8a958e62e8ae02abe67c87.jpg
19ea2e78b6e2a2e73a119c75bc9d8e5b.jpg
90ba05b507af68f29bd386d15ea2e59e.jpg
3bf4e43c7e8f4a67a2aac3177bde65e0.jpg
a0794cafde559051f15c41f9f4d733e6.jpg
f9e9f78b6efd181f18902445dc66589d.jpg
b2464e05e63e9c6455100551339845d6.jpg


NB:
this is just the beginning,i will be taking screenshots from all social media(fb and instagram).
povu ruksa.
 
2018 naliamsha dude kama hivi.

KENYANS WHINING ABOUT THEIR GOVERNMENT, QUESTIONING AND REPORTING ANYTHING NEGATIVE HAPPENING WITHIN THEIR COUNTRY.
5160a232e178b8e25dd3fcb15d00a162.jpg
99d4c159cebf38f2d2a6828d00e72fa5.jpg
f661ed0f0a8a958e62e8ae02abe67c87.jpg
19ea2e78b6e2a2e73a119c75bc9d8e5b.jpg
90ba05b507af68f29bd386d15ea2e59e.jpg
3bf4e43c7e8f4a67a2aac3177bde65e0.jpg
a0794cafde559051f15c41f9f4d733e6.jpg
f9e9f78b6efd181f18902445dc66589d.jpg
b2464e05e63e9c6455100551339845d6.jpg


NB:
this is just the beginning,i will be taking screenshots from all social media(fb and instagram).
povu ruksa.
I love it when my fellow country-men have freedom of speech. If you find time, pls screenshot Miguna Miguna's tweets or Uhuru Kenyatta's replies to his posts and bring them here too.
 
I love it when my fellow country-men have freedom of speech.
Uhuru wa kulalamika ndio uhuru pekee ambao mwananchi yoyote kenya ana haki ya ku-practice.

ila sio uhuru wa kumiliki ardhi au mashamba makubwa,uhuru wa namna hiyo ni kwa ajiri ya wanasiasa wachache na marafiki zao.

sio uhuru wa kumiliki nyumba nairobi,uhuru wa namna hiyo ni kwa wakikuyu wachache tu nyinyi wengine ni wapangaji wao ambalo kila mwezi mnazidi kuwatajirisha kwa kulipa rent.

sio uhuru wa kupata rais toka nje ya makabila ya wakikuyu na wakenjin,mtafanya chaguzi kila mara,lakini lazima rais awe mkikuyu au mkalenjin.
 
Infact huwezi jiita dc uko na mtaa kama kibela,tena katika mji wenu wa biashara.kwa mwerevu hata hakutakiwa kushinda anajisifu humu.

Tuachane na kibera,njaa ya kenya nayo???
Sisi tujiiti DC..sorry tunable tambuliwa ivyo nyie kueni proud to be LDC....na correction.. KenyaTuna miji mengi ya biashara.c.moja
 
Kibera,kibela yote ni slum maarufu duniani kutoka kenya.

Ndio ufanye juhudi mama yako asizidiwe na njaa,hii kushinda unaorodheaha ldc na dc haitamkomboa.
Sasa Wewe..ujielewi.zidi kunyamba nyamba .lkn ujue...Kenya excluding Nairobi.INA millionaire wengi kuishinda Tz....na ukiongezea Nairobi.. Hamwioni..kabisa 😎 😎 😎 😎 nyie zidini kukimbiza upepo
 
Uhuru wa kulalamika ndio uhuru pekee ambao mwananchi yoyote kenya ana haki ya ku-practice.

ila sio uhuru wa kumiliki ardhi au mashamba makubwa,uhuru wa namna hiyo ni kwa ajiri ya wanasiasa wachache na marafiki zao.

sio uhuru wa kumiliki nyumba nairobi,uhuru wa namna hiyo ni kwa wakikuyu wachache tu nyinyi wengine ni wapangaji wao ambalo kila mwezi mnazidi kuwatajirisha kwa kulipa rent.

sio uhuru wa kupata rais toka nje ya makabila ya wakikuyu na wakenjin,mtafanya chaguzi kila mara,lakini lazima rais awe mkikuyu au mkalenjin.
We zidi.....kuota 2...izo...ulipata.kwa.Kenyan Twit's... Na.most.. Huwa no jokes na utani
 
Sasa Wewe..ujielewi.zidi kunyamba nyamba .lkn ujue...Kenya excluding Nairobi.INA millionaire wengi kuishinda Tz....na ukiongezea Nairobi.. Hamwioni..kabisa 😎 😎 😎 😎 nyie zidini kukimbiza upepo
Hata muwe na millionaire milioni moja, kama hawasaidii kupunguza njaa, kupunguza ukosefu wa ajira kwa vijana, kupunguza inadi ya wakenya masikini, wala kupunguza deni la taifa na kuwasaidia watu wanaoishi kwenye slums, mtabaki na sifa za kijinga wakati Tanzania inawaacha katika mambo mengi ya maendeleo.
Wow! Bullet Train. From Dar to Morogoro.
tebu walalas munieleze kitu gani iko pale Morogoro cha maana....
A place with no strategic interest at all what-so-ever.
You can't compare Dar/Morogoro to Msa/Nairobi at all.

Unagrow wakati mnazidi poteza walipa kodi au hiyo kodi walokuwa wanalipa hao nakumatti wataongezewa hao unaowataja hapo ????kuwaga na akili mnapoteza kodi hao wanavyofilisika usibishe asee utaonekana huna akili sasa
 
Sisi tujiiti DC..sorry tunable tambuliwa ivyo nyie kueni proud to be LDC....na correction.. KenyaTuna miji mengi ya biashara.c.moja
Wewe sema unavyotaka, lakini mtabaki kuwa na watu masikini wengi, mtaendelea kufa kwa njaa, na mtaendelea kuishi kwenye mabanda ya nguruwe, na mtaendelea kuwa DC katika hali hiyo, kwenu muhimu ni sifa za kijinga.
 
I love it when my fellow country-men have freedom of speech. If you find time, pls screenshot Miguna Miguna's tweets or Uhuru Kenyatta's replies to his posts and bring them here too.
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found dead
If this is what you call freedom of speech, better it remains in Kenya, hapo bado hatujamtaja Jacob Juma, Aboud Rogo, Makaburi and hundreds of young Kenyans who killed by police officers.
 
Bongolalas good morning nasikia vyuma vimekaza manze hadi retrenchment zinatembea? Nomareeee.
 
Bongolalas good morning nasikia vyuma vimekaza manze hadi retrenchment zinatembea? Nomareeee.
Huku tumetangaza tenda ya kununua electric train, jumla ya pesa iitakayotumika ni sawa na pesa ya kununulia mahindi ya Kenya yote kwa mwaka mmoja, pesa hiyo tunalipa cash, hatukopi sisi, ninadhani unatujua vizuri siku hizi
 
We zidi.....kuota 2...izo...ulipata.kwa.Kenyan Twit's... Na.most.. Huwa no jokes na utani

Hawes survive bila KENYA ndio Maana wanajua kila kitu kutuhusu making us more famous juu ya search engine ya Google kuzoea Kenya this Kenya that.
 
Back
Top Bottom