Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

From Bongolala


Kenya watatuacha zaidi kwasababu TZ hatuna plan inayoeleweka. Kenya sasa wana sera rahisi sana wako open kwa wana EA kuhamia Kenya, kununua land na kufanya biashara. Kwa Kenya watu ni rasilimali na sio kitu cha kuogopa. Kenya diaspora wote wana haki zao zote za kikatiba na uraia na hii inasababisha uwekezaji mkubwa sana kwenye nyumba na apartments Kenya. Uwekezaji wa Kenya unasababisha serikali kuwwa na pesa kwenye vitu vingine. Kenya budget ni 100% ina garimiwa na Wakenya bila msaaada wowote. Kenya wana katiba mpya na mfumo wa county ambao ni wa kimarekani ambao unapeleka maendeleo zaidi chini na pesa inabaki zaidi kwenye kata na kusaidia zaidi walipa mkodi. Mradi wa train wa Kenya umekwisha. Pamoja na ukabila Wakenya wana furaha kuliko Watanzania. Watanzania tumekuwa tunarudi nyuma kila sehemu. Demokrasia tumerudi nyuma, uchumi tumerudi nyuma, master plan ya nchi haieleweki, uoga kwenye nchi, bank filisi, ardhi kushuka thamani,madeni ya nchi kuongezeka, hakuna uwekezaji binafsi mpya zaidi ya plan za zamani za mikopo. Uhuru wa habari unakufa, vyama vya siasa vina hujumiwa na kufa. Viongozi ni wasomi wasiojua kutenda hawana uzoefu wa utendaji. Tunapigana na rushwa wakati makama ya rushwa haina washitakiwa ..... na waliopo wachache ni wa kuchaguliwa. Kuna video za watu kutoa rushwa lakini hakuna action yeyote... polisi sasa ni chombo cha kisiasa. TRA ni chombo cha kutisha na kuua biashara. Bank ni sanamu hazitoe mikopo , hazina pesa...... Elimu bado hatuna plan wakati viwango vinaendelea kushuka. Tanzania hatuna hata statistics za kueleweka. Mfumo wa Afya unaotegemea msaada tu bila kubadilisshwa mfumo. Nchi ambayo viongozi wanajali siasa zaidi kuliko chi. Nchi ya wajuaji bila kuwa na la kuonyesha. Viongozi ambao wanajali habari kuliko ukweli na wananchi... viongoizi wasioweza kusemwa, kushauriwa au kubadilika......... I wish tungekuwa na viongozi wa Kenya maana sina imani tena... hata rushwa ni macho tu magari ya mchanga hayafanyi kazi mchana kwasababu ya rushwa kuzidi na kuchukua faida yote.....
Kwa ufupi Kenya ni open country na Tanzania ni closed country...
Iyo bongolala AME loose hope akuje msa
 
Another one from Tz...

Bidhaa za Kenya ni Bora na zinanunulika Tanzania. BLueband, Mafuta Fresh, Juices, Mafuta ya KCC, Siagi, Cofta, Hedex na nyingine kede kede
Embu Nenda Kenya kama utaona bidhaa za TZ supermarket za kenya?
Watz wanadanganywa na kauli mbiu ya Tanzania ya Viwanda...Wao Kenya ni Vitendo
Sera inayotekelezeka Tanzania ni kuuwa upinzani
Nao ViwaviJeshi kazi yao ni matusi, hawawezi kujenga hoja na kujibu hoja, wanatukana watu wanaokosoa serikali
Eti kadoda anasema umepika data
 
Another one from Tz...

Bidhaa za Kenya ni Bora na zinanunulika Tanzania. BLueband, Mafuta Fresh, Juices, Mafuta ya KCC, Siagi, Cofta, Hedex na nyingine kede kede
Embu Nenda Kenya kama utaona bidhaa za TZ supermarket za kenya?
Watz wanadanganywa na kauli mbiu ya Tanzania ya Viwanda...Wao Kenya ni Vitendo
Sera inayotekelezeka Tanzania ni kuuwa upinzani
Nao ViwaviJeshi kazi yao ni matusi, hawawezi kujenga hoja na kujibu hoja, wanatukana watu wanaokosoa serikali
kazi kazi
Kenya exports to Tanzania hit ten-year low
 
buda unadhani hiyo nayo ni big news?.

soma hizi recent tweets za baadhi ya wakenya uone ni namna gani mnalia kulalamika na kusaga meno kuhusu suala la ukosefu wa ajira.

44a25cad630cf090905cc479c9080723.jpg
6f2c702d65b5f41792e8d7d4301cd204.jpg
d9df23993251e92f9aedafc172e716e6.jpg


NB:
vilio vya wakenya kuhusu ukosefu wa ajira ni vingi sana.

sambaba na malalamiko yenyu mengine,mmejaza server ya twitter kwa kulalamika kuhusu ukosefu wa ajira.
Wakenya wako na freedom ,unaeza sema chochote sehemu yoyote,siyo kama hapo Bongo huruhusiwi kusema chochote ,media kwanza wanapangiwa cha kutangaza kwa news...kama tu Ethiopia.
 
Hahahaha! Wakenya hamna huruma jemeni yani mnawachapa Watzee in their home turf mpaka wanatokwa povu? Inawezekana Tena sana si hata tulichapa Taifa Stars na Zanzibar kwenye okombe la CECAFA.
 
my fellow comrades, if you hear us calling kenyans "jobless goons",we mean it and it's real.

unemployment is a serious issue in kenya.

5ffa4a2ca62eded54a7bbe6e914bcbfe.jpg
3830526c678df8cdc68c170acfb8c0ac.jpg
7b54995ce3ca6dffa871c49f6e1cd165.jpg
5b31e48ac50f763c3881f548a4209b21.jpg
 
hio thread ya watz wanalia lia kule nendeni mkawasaidie...but its true, our constitution is very progressive...infact In africa, i think the south african one is the only one that can beat ours
 
pwahahaha...waimbaji wao wote wamekwamia SA....Aiport zinafanana na vibanda vya kufugia bata....Rais ni dikteta uchwara..ndege zimeshikwa Canada kwa sababu ya deni... media haina nguvu...oposition wanapigwa risasi kila uchao....kisha wanasema nchi yao mbinguni....waulize kina Diamond mbona hawamo nyumbani? nini kilichowapeleka afrika kusini?
 
Tanzania ni nchi iliobarikiwa sana...trust me, but the Tanzanians are letting their country down...huwa najiuliza mbona waimbaji wote wanapiga video zao ng'ambo....diamond na wana wake kama ishirini hivi wako kule SA wote kana kwamba ni wakimbizi....😀😀😀
 
Tanzania ina vivutio vingi vya kitalii ila ndege zinazowasafirisha watalii hadi kweny hivi vivutio 95% ni ndege za nchi za ng'ambo kama vile Qatar Airways, Turkish Airlines, Ethiopia, British Airways na Kenya Airways...very useless....yaani nchi za ng'ambo zinabenefit kwa vivutio vyenu?
upload_2018-1-2_20-22-32.png

upload_2018-1-2_20-22-32.png
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    26.9 KB · Views: 57
Tanzania ina vivutio vingi vya kitalii ila ndege zinazowasafirisha watalii hadi kweny hivi vivutio 95% ni ndege za nchi za ng'ambo kama vile Qatar Airways, Turkish Airlines, Ethiopia, British Airways na Kenya Airways...very useless....yaani nchi za ng'ambo zinabenefit kwa vivutio vyenu?
View attachment 666556
View attachment 666556
Huwa wakati mwengine nikisoma comments zako ninacheka sana, hivi itawezekanaje nchi iwe inajitosheleza kwa kila kitu?, mbona barabara, reli, madaraja, tunajengewa na wachina?, mbona viwanda vingi hapo Kenya ni wageni?, mbona magari yote na hata huduma nyingi ktk sector ya utalii bado tunaagiza nje?, au kwasababu Kenya kuna KQ basi nchi isiyo na shirika lake ni useless, hujui kuna spcialization na kubadilishana bidhaa, ila haya maneno yako ninakuomba uyahifadhi hadi September 2018, Cris Kirubi ameshashauri kwamba hakuna faida kwa nchi zote za EA kila moja kuwa na shirika lake la ndege, bora kuwe na shirika moja tu.

Sent from my MediaPad T1 8.0 using JamiiForums mobile app
 
Hamna kitu kama ushirikiano wa ndege hapa EA eti ndio tuwakombolee Bombardier zenu kupe nyinyi.
 
Back
Top Bottom