Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo ya ushoga ukitajwa Tu hivi unakuwa mkali kweli kweli.
Huwa sijadili na watu wenye sura kama hizi Kwikwikwikwikwi

1762871410270.png
 
Acheni kumtafuta mchawi.

Mbona SGR kwenda bandarini (5km) Samia hajaimaliza, ukiwa ni mwaka wa nne sasa? Magu kwa kipindi hicho alijenga reli ya km 300+. Tatizo ni nini?
Kuna kipindi nilisema umu reli yetu tukiendelea hvi mpaka ije ifike mwanza,tuongelee 2035 watu wakanibishia umu, hela zilizotumika kwenye uchaguzi huu haramu ni nyingi sana ni kama bajeti ya wizara 2 nyeti
 
Kuna kipindi nilisema umu reli yetu tukiendelea hvi mpaka ije ifike mwanza,tuongelee 2035 watu wakanibishia umu, hela zilizotumika kwenye uchaguzi huu haramu ni nyingi sana ni kama bajeti ya wizara 2 nyeti
hela za uchaguzi na reli znahusiana vp?
 
Did you even understand what the tweet is talking about? Don't show your foolishness here you idiot.
understood very well, btw what m7 wants is the same what congo wants with tz, goods from port go straight to the train to the own depot otherwise he is just stiring things up, its nothing bad
 


Mtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.

Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..

Screenshot_20251111-172436.png
 
Mtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.

Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..

View attachment 3500507
Sawa Amarii the liker.
 
Mtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.

Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..

View attachment 3500507
Where are the actions? Idd Amin threatened to take Kenya up to Naivasha, Kenyatta Snr. dared him to try, he ended up attacking Tanzania instead. All talk, no action Mr. Amarii the liker.
 
Kuna ingore button, please use it, kama unaumia kusoma comments zangu. I always post positives about Tanzania.
Kama hupendi kusikia opinions zingine. Kaka ignore me.
Ni busara mtu kukubali kurekebishwa. Sitaku ignore na sitakupuuzia upotoshe taarifa kaka.
Niko hapa kurekebisha utapokosea.
 
Back
Top Bottom