IamLee
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 6,628
- 7,820
Sawa enda nyumbani ukalale sasaMtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.
Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..
View attachment 3500507