Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.

Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..

View attachment 3500507
Sawa enda nyumbani ukalale sasa
 
Mtoto wake Gen muhoozi alisema in one day anaichukua naipori na kunyaland yote. Sasa baada ya baba Mzee m7 kusema kawaweka vijana wa kibera kwenye friji bhas kelele zikazuka kwamba wanatumia port ya kunyaland na mnaweza funga mpaka.

Hapo Mzee mwenyewe ndio akasema hata chukua naipori tu, atasonga hadi Mombasa ili amiliki Hadi bahari ya Hindi. So kunyaland ni kama sebleni kwake tuuu...kama alivyochukua migingoo..

View attachment 3500507
He is very right; we all know the soft target he is on about. 😂
 
Where are the actions? Idd Amin threatened to take Kenya up to Naivasha, Kenyatta Snr. dared him to try, he ended up attacking Tanzania instead. All talk, no action Mr. Amarii the liker.

Enda migingoo upeperushe bendera yenye mende kati kati ndio utajua haujui...

Hiyo itakuwa action tosha kwako.
 
Enda migingoo upeperushe bendera yenye mende kati kati ndio utajua haujui...

Hiyo itakuwa action tosha kwako.
Migingo is Kenyan property. Museveni just took advantage of the politics of Kenya of that time to attack Migingo when the people from that region were in opposition of the government since he knew Kibaki would be reluctant to retaliate. Since Ruto took over, Ugandan soldiers were kicked out, Mr. Amarii the Liker. Again, the action should come from the talker, not from me. If the Ugandan president thinks he can take over Kenya, then the onus is on him to act, not on me.
 
Babu never disappoints.😂😂😂

FB_IMG_1762933835567.jpg
 
Babu never disappoints.😂😂😂

View attachment 3500613
Yanaanzaga hivi hivi kama matani, baadae inakuwa kweli mnaanza kulia.
Kule mpo na Ugomvi na Somalia
Huku mko na Ugomvi na Uganda
Kaskazini mpo na Ugomvi na South Sudan
Kule mpo na Ugomvi na Ethiopia.
Kimbilio lenu lilikuwa ni Tanzania kwa sasa mmenyea kabi.

Next year Kenya itakuwa na Ugaidi haujawahi kutokea. Mark my Words
 
Yanaanzaga hivi hivi kama matani, baadae inakuwa kweli mnaanza kulia.
Kule mpo na Ugomvi na Somalia
Huku mko na Ugomvi na Uganda
Kaskazini mpo na Ugomvi na South Sudan
Kule mpo na Ugomvi na Ethiopia.
Kimbilio lenu lilikuwa ni Tanzania kwa sasa mmenyea kabi.

Next year Kenya itakuwa na Ugaidi haujawahi kutokea. Mark my Words
Kwa hivo ulitaka aseme ataivamia Kenya alafu tunyamaze tena muanze kusema sisi ni waoga?
 
Migingo is Kenyan property. Museveni just took advantage of the politics of Kenya of that time to attack Migingo when the people from that region were in opposition of the government since he knew Kibaki would be reluctant to retaliate. Since Ruto took over, Ugandan soldiers were kicked out, Mr. Amarii the Liker. Again, the action should come from the talker, not from me. If the Ugandan president thinks he can take over Kenya, then the onus is on him to act, not on me.

Hebu tuone yule mende akipepeaa pale migingoo kwanza.

Kuweni radaa huyo Mzee hacheki...
 
Hebu tuone yule mende akipepeaa pale migingoo kwanza.

Kuweni radaa huyo Mzee hacheki...
Mbona ipepee? Nimesema the onus of proof lies on him so wewe nionyeshe ni nini alichochukua kutoka kwetu maanake umesema mwenyewe anaichukua Nairobi Mr. Amarii the liker.
 
Mnapenda uchochezi sana hata kwa vitu ambayo havina miguu, kichwa mbele wala nyuma..
you probably have no contemplation of laws governing land borders and territories which are part of international law and national sovereignty principles. Every state has exclusive authority over its land, airspace, and internal waters within its recognized borders(maritime boundaries). You don’t just wake up one day after a bad dream and make laughable invalid claims that have no legal basis. Funny that you even think much of it. is the same guy that claimed waters surrounding Migingo island are in Ugandan territory? Absurdity 😅😅
 
Back
Top Bottom