bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,731
- 2,292
Mbona ipepee? Nimesema the onus of proof lies on him so wewe nionyeshe ni nini alichochukua kutoka kwetu maanake umesema mwenyewe anaichukua Nairobi Mr. Amarii the liker.Hebu tuone yule mende akipepeaa pale migingoo kwanza.
Kuweni radaa huyo Mzee hacheki...
Unajua hili wala siyo uongoMbona ipepee? Nimesema the onus of proof lies on him so wewe nionyeshe ni nini alichochukua kutoka kwetu maanake umesema mwenyewe anaichukua Nairobi Mr. Amarii the liker.
Mnapenda uchochezi sana hata kwa vitu ambayo havina miguu, kichwa mbele wala nyuma..
Nchi ya wajinga hii, mpumbavu kama Baba levo just imagine miezi michache nyuma aliulizwa ataje mihimili mitatu ya serikali na akashindwa kujua ni kitu gn hicho.Baba Levo amekuwa MP😂😂😂
Huyu jamaa atawafinya kwelikweli. Majaliwa alikuwa na mpango wake mbaya sana. Alikuwa naanzisha Movement na Machinga na waendesha bodaboda ili aweze kumuhujum Rais.Huyu mwamba ndio dozi ya wakenya ambao wametuharibia nchini na kuwaua vijanaa
View attachment 3501131
Hivi hao vijana wameuliwa ni Wakenya waliwaua?😂😂😂Huyu mwamba ndio dozi ya wakenya ambao wametuharibia nchini na kuwaua vijanaa
View attachment 3501131
Ruto alishaambiwa idadi ya wakenya walikufa kwenye maandamano Tanzania? Nasikia wapo wakenya zaidi ya 200 walipigwa risasi na kufa.Hivi hao vijana wameuliwa ni Wakenya waliwaua?😂😂😂
Na watanzania wamekufa wangapi?Ruto alishaambiwa idadi ya wakenya walikufa kwenye maandamano Tanzania? Nasikia wapo wakenya zaidi ya 200 walipigwa risasi na kufa.
Wakenya ni wengi mno wamekufa ovyo. Unaweza kutuambia wamekufa kwa kupigania nini?Na watanzania wamekufa wangapi?
Watanzania wamekufa wangapi?Wakenya ni wengi mno wamekufa ovyo. Unaweza kutuambia wamekufa kwa kupigania nini?
Tunaongelea wakenya kwanza. Unajua tumezika wakenya kama 50 dar?Watanzania wamekufa wangapi?
Mmezika watanzania wangapi?Tunaongelea wakenya kwanza. Unajua tumezika wakenya kama 50 dar?