bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,576
- 1,936
Wakenya wengi hawaa👇
Nchi ya wajinga hii, mpumbavu kama Baba levo just imagine miezi michache nyuma aliulizwa ataje mihimili mitatu ya serikali na akashindwa kujua ni kitu gn hicho.Baba Levo amekuwa MP😂😂😂
Huyu jamaa atawafinya kwelikweli. Majaliwa alikuwa na mpango wake mbaya sana. Alikuwa naanzisha Movement na Machinga na waendesha bodaboda ili aweze kumuhujum Rais.Huyu mwamba ndio dozi ya wakenya ambao wametuharibia nchini na kuwaua vijanaa
View attachment 3501131
Hivi hao vijana wameuliwa ni Wakenya waliwaua?😂😂😂Huyu mwamba ndio dozi ya wakenya ambao wametuharibia nchini na kuwaua vijanaa
View attachment 3501131
Ruto alishaambiwa idadi ya wakenya walikufa kwenye maandamano Tanzania? Nasikia wapo wakenya zaidi ya 200 walipigwa risasi na kufa.Hivi hao vijana wameuliwa ni Wakenya waliwaua?😂😂😂
Na watanzania wamekufa wangapi?Ruto alishaambiwa idadi ya wakenya walikufa kwenye maandamano Tanzania? Nasikia wapo wakenya zaidi ya 200 walipigwa risasi na kufa.
Wakenya ni wengi mno wamekufa ovyo. Unaweza kutuambia wamekufa kwa kupigania nini?Na watanzania wamekufa wangapi?
Watanzania wamekufa wangapi?Wakenya ni wengi mno wamekufa ovyo. Unaweza kutuambia wamekufa kwa kupigania nini?
Tunaongelea wakenya kwanza. Unajua tumezika wakenya kama 50 dar?Watanzania wamekufa wangapi?
Mmezika watanzania wangapi?Tunaongelea wakenya kwanza. Unajua tumezika wakenya kama 50 dar?
Ruto anajua wakenya tulioua? Wote waliokufa 90% ni wakenya.Mmezika watanzania wangapi?