Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

makes me remember the time kenya had to purchase tickets for .moroco vs tz match, the problem is you cant hide your hate to tz
Thanks for accepting Kenya is big enough to cripple danganyika. Now all tourist are flocking to Kenya 🤣🤣🤣
 
UDART ndio Kampuni inayotoa huduma Morogoro Road mwekezaji wake ni UDA ndio maana ya jina UDART. Inasemekana Simon Group iliyonunua UDA ndani yake kuna Mstaafu maana Simon Group ilikuwa ni kampuni ndogo inayojishughulisha na kuuza mazao ya kilimo kama Ufuta etc lakini ghafla ikapewa UDA na hatimaye UDART. Na wakati huo serikali ilikataa mapendekezo ya WB kuhusu private investor wa kutoka nje mwenye uzoefu wa kuendesha BRT ili wajifunze kutoka kwake lakini hili likapingwa sana Bungeni kipindi hiko Pinda alikuwa PM akalivalia njuga kisawasawa katika kukataa ushauri wa WB. Mwishowe walishindwa kwenye mifumo ya ticket wakapigwa hela nyingi sana na pia mfumo wa kutoa taarifa kwenye vituo kujua basi litafika baada ya muda gani haukuwekwa ikaendeshwa kienyeji bila uzoefu madhara yake ndio tunaona leo kampuni ikijifia na hata yale mabasi machache waliyokuwa nayo yalipigwa kiberiti. UDART haiwezi ku recorver tena na tender ya hiyo route ameshapewa kampuni nyingine kutoka nje itaanza kazi January mabasi yatakapofika.
BRT ya Morogoro road ilifanyiwa hujuma kubwa Sanaa. Ilifanyiwa mashambulizi ya kimkakati na kuhakikisha imekuwa totally paralyzed.

Walihakikisha wamevunja ile mifumo yote ya ku scan Kadi au simu kwenye zile turnstile gates za vituo vyote. Mifumo ya IT na computer zote wamevunja na kuchoma moto. Zile za GPS ili kuweza kukata tickets kwa Apps za simu pia wamechoma. So ni mfumo mzima umeharibika bado kuvunja vunja vioo na milango ya vituoni.
RC wa Dar kasema labda huduma zitarejea upya baada ya miezi 3 lakini sidhani...inaweza chukua zaidi ya miezi 6 kurudi upya. Kwa ule ushambuliaji wa mfumo mzima wa BRT unaona kabisa ule ulikuwa ni mpango mkakati na walikuwa wanajua wanachokifanya ni makusudi haswaa.
 
IMG_4604.jpeg
IMG_4605.jpeg
Launched in Kenya
 
UDART ndio Kampuni inayotoa huduma Morogoro Road mwekezaji wake ni UDA ndio maana ya jina UDART. Inasemekana Simon Group iliyonunua UDA ndani yake kuna Mstaafu maana Simon Group ilikuwa ni kampuni ndogo inayojishughulisha na kuuza mazao ya kilimo kama Ufuta etc lakini ghafla ikapewa UDA na hatimaye UDART. Na wakati huo serikali ilikataa mapendekezo ya WB kuhusu private investor wa kutoka nje mwenye uzoefu wa kuendesha BRT ili wajifunze kutoka kwake lakini hili likapingwa sana Bungeni kipindi hiko Pinda alikuwa PM akalivalia njuga kisawasawa katika kukataa ushauri wa WB. Mwishowe walishindwa kwenye mifumo ya ticket wakapigwa hela nyingi sana na pia mfumo wa kutoa taarifa kwenye vituo kujua basi litafika baada ya muda gani haukuwekwa ikaendeshwa kienyeji bila uzoefu madhara yake ndio tunaona leo kampuni ikijifia na hata yale mabasi machache waliyokuwa nayo yalipigwa kiberiti. UDART haiwezi ku recorver tena na tender ya hiyo route ameshapewa kampuni nyingine kutoka nje itaanza kazi January mabasi yatakapofika.

Kipindi Cha Magu alirudisha UDA kwa Jiji na mkurugenzi wa Simon group alifungwa. Ndio maana serikali Sasa hivi Ina endesha kote.
BRT Morogoro road ilishakaa sawa kwa huyu mwekezaji mpya wa mpito Mofat na abiria wali anza ku enjoy usafiri mzuri sana full AC na hakukuwa na kusubiri sana vituoni.
Emirates ndio wata anza kazi January hiyo Morogoro road, then Mofat atabaki kwenye njia yake ya Mbagala.
 
Back
Top Bottom