Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii kauli ya kusema Jeshi lipo na wananchi ndio imeponza vijana wengi kuumia na kupoteza maisha... Sijawahi kusikia Jeshi liko na wananchi na limebariki kilichokuwa kimepangwa... Ni kauli tu za wachache waliokuwa wamepanga na kuhamasisha yaliyotokea.
Jeshi halijasaliti, maana from the beginning halikuweka msimamo au mapatano ya kuwa na wananchi kwenye yaliyotokea. Kauli za watu ndio zilibebebwa kama msimamo wa Jeshi lote.
Tena at least mkunda kaonesha ujasiri wake,nakumbuka kipindi cha nyuma walikua wanatolewa kufanya usafi,sad siku ya 3 maria akawa anaingiza tena chaka vijana waingie mtaani wakauliwe,madogo wameuliwa kikatili mno,zile bullet sio za kupigia binadamu aisee 🥲🥲
 
Kaka unaposema kuua unamjua aliyeua? Unashiriki kueneza chuki baina ya watanzania bila hata sababu.

Nimejaribu kukueleza kuwa uchunguzi unaendelea kupitia vyombo vya ndani na nje. Lakini umechagua kupuuza. Sina namna ya kukueleza tena kaka. You are too emotional.
Naeneza chuki gani wakati video zipo mitandaoni wameweka watu wengine?
 
The guy wanaona kila kitu simple wajinga, vitu vipo more complex kuliko upeo wao.

Yaani wamekalia mipasho
Brother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.

Uwe na mawazo yako na mimi na mawazo yangu. Usinichagulie cha kuwaza. Usidhani unapotukana sisi hatujui kutukana. Tumechagua kukaa kimya kwa usalama wa nchi.

Nilishangaa sana Kaka yake Polepole anamtishia CDF eti alishamtumia ujumbe lakini hakuutekeleza, Eti yeye ni kanali Kwikwikwikwikwi Vichekesho kabisa yaani Kanali anamtishia General!!? Eti anatishia kuwa anakuja Tanzania kutoka NATO. Hivi ni vichekesho vya mwaka.

Maagizo ya jeshi ni Top Down. Kanali hawezi kukaa kwenye kikao cha ma Generals.

Kikao cha Ma General kinakaliwa na wao watu wa chini wanapokea maelekezo si vinginevyo.
 
Watoto na mama yao kuvunjiwa mlango huku wakiangalia TV, ni jambo dogo?
Sasa waliovunja mlango huo ni akina nani brother? Mbona huwa taji. Video zimesambaa vijana wakivaa nguo za police na wakitamba wanataka kupigiwa salute.

Tuambie waliovunja mlango ni akina nani hao?
 
Brother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.

Uwe na mawazo yako na mimi na mawazo yangu. Usinichagulie cha kuwaza. Usidhani unapotukana sisi hatujui kutukana. Tumechagua kukaa kimya kwa usalama wa nchi.

Nilishangaa sana Kaka yake Polepole anamtishia CDF eti alishamtumia ujumbe lakini hakuutekeleza, Eti yeye ni kanali Kwikwikwikwikwi Vichekesho kabisa yaani Kanali anamtishia General!!? Eti anatishia kuwa anakuja Tanzania kutoka NATO. Hivi ni vichekesho vya mwaka.

Maagizo ya jeshi ni Top Down. Kanali hawezi kukaa kwenye kikao cha ma Generals.

Kikao cha Ma General kinakaliwa na wao watu wa chini wanapokea maelekezo si vinginevyo.
Vacuous Popinjay
 
Huna uwezo wa kujadili na mimi mdogo wangu. Hizi hasira unazoziona za watanzania zisikukumbaze. Tutakuwa wamoja na tutaendelea vizuri. Watanzania wameelewa hiyo comment yangu, wewe low level huwezi decode vitu hivyo.
Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
 
Mwisho wenu umefika, murderers! Chama cha Wahuni, nyambaff!
KwikwikwikwiKwikwi unatamani iwe hivyo. Hayo matamanio utaendelea kutamani hadi unakufa. CCM ndio inazidi kuimarika. Kwa sasa tunakuja upyaaaa.

Kinachowasumbua ni wivu na upumbavu. Tayari Chama cha Ruto wameanza kuwa watoto wa CCM


Largest political parties in The World​

RankPartyCountryMembers
1Bharatiya Janata Party (BJP)India202 million (2024)
2Chinese Communist Party (CCP)China100.27 million (2024)
3Indian National Congress (INC)India55 million (2023)
4Democratic Party (United States)United States45,137,430 (2024)
5Republican Party (United States)United States36,073,810 (2024)
6All India Anna Dravida Munnetra Kazhagam (AIADMK)India20,044,400 (2023)
7Pakistan Tehreek‑e‑Insaf (PTI)Pakistan20 million (2024)
8Dravida Munnetra Kazhagam (DMK)India20 million (2023)
9Chama Cha Mapinduzi (CCM)Tanzania14million (2025)
10Justice and Development Party (Turkey) (AKP)Turkey11,135,306 (2024)
 
I think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.

Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.

Hilo jinga ni vacuous popinjay.

Jitu zima linalia kwikwikwi
Piga block tu hilo
 
Back
Top Bottom