Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

1762436731200.png
 
Baba Levo kampiga chini Zitto - Kwikwikwikwikwikwi

Wapinzani wa CCM wanaumia sana. Walitamani kitokee walichopanga kimeshindikana. Kwikwikwikwikwikwi


1762437156311.png
 
I think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.

Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.

Hilo jinga ni vacuous popinjay.

Jitu zima linalia kwikwikwi
Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.

Watu wanaujasiri wa ajabu, ambao zamani ni wazee wakazi tuu ndo walikuwa nao.

Sasa kuna mamilioni ya kundi la vijana wakawaida, walioona watu wakichinjwa, aisee mimi naogopa nchi yetu ilikofika.. Who ever came up with that idea is not intelligent enough.
 
Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.

Watu wanaujasiri wa ajabu, ambao zamani ni wazee wakazi tuu ndo walikuwa nao.

Sasa kuna mamilioni ya kundi la vijana wakawaida, walioona watu wakichinjwa, aisee mimi naogopa nchi yetu ilikofika.. Who ever came up with that idea was not intelligent enough.
Hayo ni mambo ya kwenye mitandao tu.
Mipango yote iliyopangwa imedhibitiwa, ninasisitiza kutumia emothions bila kufikiri ni kitu kibaya sana. Huwezi ukapambana na serikali ukabaki salama. Vyombo vya uchunguzi vinaendelea na kazi yake vikimaliza ripoti itatoka.

Huyu hapa mwamba ameleta ujumbe mzito toka Russia.

1762438646153.png


 
Johari alivyolichukulia lile jambo, kumuongelea Mange, amenishangaza sana. Nilimuona mtu wa maana alipokuwa boss wa anga kipindi cha Magu.

Msigwa na yeye hovyo, ni Dr. Abass tuu ndo bado amenyooka, humsikii akibweka kichawa.
Sisi tunaongelea mambo makubwa makubwa.
Mwamba huyu hapa kaka.

Biography of Sergei Vladilenovich Kiriyenko

Year / PeriodEvent / Position
1962Born on July 26 in Sukhum, Abkhaz Autonomous Soviet Socialist Republic.
1984Graduated from Gorky Institute of Water Transport (now Volga State Academy of Water Transport).
1984 – 1986Completed mandatory military service.
1986 – 1990Worked as Foreman, Deputy Secretary, and later Secretary of the All-Union Leninist Young Communist League Committee at Krasnoye Sormovo Shipyard.
1990 – 1992Served as Deputy in the Gorky Regional Council of People’s Deputies.
1992 – 1993Appointed General Director, AMK Youth Concern.
1993Graduated from the Academy of National Economy under the Government of the Russian Federation.
1993 – 1996Served as CEO, Garantiya Bank.
1996 – 1997President, NorSea Oil Company.
1997Appointed First Deputy Minister of Fuel and Energy of the Russian Federation.
1997Promoted to Minister of Fuel and Energy of the Russian Federation.
1998Appointed Prime Minister of the Russian Federation.
1998Became Leader of Novaya Sila (New Force), an all-Russian social and political movement.
1999Co-Chair and Leader, Union of Right Forces electoral bloc.
2000Leader, Union of Right Forces Party Faction in the Russian State Duma.
2000 – 2005Presidential Plenipotentiary Envoy to the Volga Federal District; Permanent Member of the Security Council of the Russian Federation.
2001 – 2005Chair, State Commission on Chemical Disarmament.
2005 – 2007Head, Federal Agency for Atomic Energy.
2007 – 2016General Director, Rosatom State Atomic Energy Corporation.
Since October 5, 2016First Deputy Chief of Staff of the Presidential Executive Office.
Since 2005Co-Chair, Russian Union of Martial Arts; President, National Aikido Council of Russia.
Since 2012Executive Director, Coordinating Committee to Support Social, Educational, Cultural, and Other Initiatives under the Russian Orthodox Church.
Personal InterestsPractices martial arts (holder of 4th dan in Aikido), action shooting, sport hunting, and fishing.
 
Hayo ni mambo ya kwenye mitandao tu.
Mipango yote iliyopangwa imedhibitiwa, ninasisitiza kutumia emothions bila kufikiri ni kitu kibaya sana. Huwezi ukapambana na serikali ukabaki salama. Vyombo vya uchunguzi vinaendelea na kazi yake vikimaliza ripoti itatoka.

Huyu hapa mwamba ameleta ujumbe mzito toka Russia.

View attachment 3498203

Mimi ishu yangu ni kuua watoto na wamama.

Kama kulikuwa na kikundi cha kihalifu kutoka nje, kutokana na intelijesia ya Urusi, hawa watoto nao walihusika?

Umenielewa lakini?
 
MPAKA WA TANZANIA NA KENYA NI SALAMA- RC MAKALLA - Aridhishwa na usalama na ufanyaji biashara eneo la Namanga

Aeleza umuhimu wa Mpaka huo kibiashara na ustawi wa Jamii

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ameeleza kuridhishwa na hali ya ulinzi na usalama katika Mpaka wa Namanga unaounganisha Mataifa ya Tanzania na Kenya kupitia Mkoa wa Arusha, akiwashukuru watendaji wa Pande zote mbili wanaofanya kazi kwenye Kituo cha pamoja cha forodha Namanga kwa kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi wa pande zote.

Mhe. Makalla amebainisha hayo leo Alhamisi Novemba 06, 2025 Mjini Namanga wakati alipoambatana na Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa kwaajili ya kukagua hali ya Ulinzi na usalama katika eneo hilo pamoja na kuangazia ufanyaji wa biashara katika eneo hilo mara baada ya maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan ya kutaka shughuli zote za Kijamii na kiuchumi kuendelea katika maeneo mbalimbali nchini mara baada ya uchaguzi Mkuu.

"Nithibitishe kuwa Mpaka wa Tanzania na Kenya ni salama na kituo cha pamoja cha forodha Namanga kipo salama. Kituo hiki ni muhimu kwa nchi zetu zote mbili na kwa wananchi hususani hawa wa Mpakani kwani wao pia ni wanufaika wa moja kwa moja na fursa za kiuchumi na biashara kwahiyo ni muhimu kuendelea kueneza amani, umoja na mshikamano kwenye mpaka huu kwani sote ni wanufaika." Amesema Mhe. Makalla.

CPA Makalla kadhalika amewapongeza Viongozi na watendaji wa kituo hicho cha forodha ka kuendelea kuimarisha mahusiano na kukuza biashara katika eneo hilo suala ambalo limekifanya Kituo hicho pia kuwa eneo muhimu la mabadilishano ya bidhaa kati ya Tanzania na Kenya, akisema kutetereka kwa Mpaka huo kuna athari kubwa kwa uchumi wa nchi hizo na ustawi wa jamii.

Kwa Upande wake Meneja wa Mamlaka ya Mapato nchini Kenya (KRA) kwenye Kituo hicho cha Namanga Bw. Nicholous Mugambi amemuhakikishia CPA Makalla kuwa wataendelea kushirikiana na Mamlaka za Tanzania katika kukuza mahusiano na biashara miongoni mwa nchi hizo mbili, akisisitiza umuhimu wa amani kama msingi wa kufikia mafanikio katika biashara na ustawi wa wananchi wa Tanzania na Kenya.

1762439871240.png


1762439902174.png


1762439936695.png
 
Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.

Watu wanaujasiri wa ajabu, ambao zamani ni wazee wakazi tuu ndo walikuwa nao.

Sasa kuna mamilioni ya kundi la vijana wakawaida, walioona watu wakichinjwa, aisee mimi naogopa nchi yetu ilikofika.. Who ever came up with that idea was not intelligent enough.
The guy wanaona kila kitu simple wajinga, vitu vipo more complex kuliko upeo wao.

Yaani wamekalia mipasho
 
Mimi ishu yangu ni kuua watoto na wamama.

Kama kulikuwa na kikundi cha kihalifu kutoka nje, kutokana na intelijesia ya Urusi, hawa watoto nao walihusika?

Umenielewa lakini?
Kaka unaposema kuua unamjua aliyeua? Unashiriki kueneza chuki baina ya watanzania bila hata sababu.

Nimejaribu kukueleza kuwa uchunguzi unaendelea kupitia vyombo vya ndani na nje. Lakini umechagua kupuuza. Sina namna ya kukueleza tena kaka. You are too emotional.
 
Hii kauli ya kusema Jeshi lipo na wananchi ndio imeponza vijana wengi kuumia na kupoteza maisha... Sijawahi kusikia Jeshi liko na wananchi na limebariki kilichokuwa kimepangwa... Ni kauli tu za wachache waliokuwa wamepanga na kuhamasisha yaliyotokea.
Jeshi halijasaliti, maana from the beginning halikuweka msimamo au mapatano ya kuwa na wananchi kwenye yaliyotokea. Kauli za watu ndio zilibebebwa kama msimamo wa Jeshi lote.
Tena at least mkunda kaonesha ujasiri wake,nakumbuka kipindi cha nyuma walikua wanatolewa kufanya usafi,sad siku ya 3 maria akawa anaingiza tena chaka vijana waingie mtaani wakauliwe,madogo wameuliwa kikatili mno,zile bullet sio za kupigia binadamu aisee 🥲🥲
 
Kaka unaposema kuua unamjua aliyeua? Unashiriki kueneza chuki baina ya watanzania bila hata sababu.

Nimejaribu kukueleza kuwa uchunguzi unaendelea kupitia vyombo vya ndani na nje. Lakini umechagua kupuuza. Sina namna ya kukueleza tena kaka. You are too emotional.
Naeneza chuki gani wakati video zipo mitandaoni wameweka watu wengine?
 
The guy wanaona kila kitu simple wajinga, vitu vipo more complex kuliko upeo wao.

Yaani wamekalia mipasho
Brother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.

Uwe na mawazo yako na mimi na mawazo yangu. Usinichagulie cha kuwaza. Usidhani unapotukana sisi hatujui kutukana. Tumechagua kukaa kimya kwa usalama wa nchi.

Nilishangaa sana Kaka yake Polepole anamtishia CDF eti alishamtumia ujumbe lakini hakuutekeleza, Eti yeye ni kanali Kwikwikwikwikwi Vichekesho kabisa yaani Kanali anamtishia General!!? Eti anatishia kuwa anakuja Tanzania kutoka NATO. Hivi ni vichekesho vya mwaka.

Maagizo ya jeshi ni Top Down. Kanali hawezi kukaa kwenye kikao cha ma Generals.

Kikao cha Ma General kinakaliwa na wao watu wa chini wanapokea maelekezo si vinginevyo.
 
Watoto na mama yao kuvunjiwa mlango huku wakiangalia TV, ni jambo dogo?
Sasa waliovunja mlango huo ni akina nani brother? Mbona huwa taji. Video zimesambaa vijana wakivaa nguo za police na wakitamba wanataka kupigiwa salute.

Tuambie waliovunja mlango ni akina nani hao?
 
Back
Top Bottom