President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,766
- 89,792
Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.I think Bro leave the idiots alone, imagine linaingia hapa day one bila masikitiko bali denial, delusional na liko simplified as if kilichotokea nchini hapa ni kitu cha kawaida, it's madness kufikiri hivyo.
Imagine jitu linaongea eti vyombo vya usalama while mpaka sasa wananchi hatuna imani navyo. Mijitu imekazana ni Raia wa nje statement ambayo inazidi fanya vyombo vya usalama vya ovyo.
Hilo jinga ni vacuous popinjay.
Jitu zima linalia kwikwikwi
Syokimau is overwhelmingly underrated. Its massive with a number of malls,gated communities, estates and highrises coming up. Its on high gear forming its own cluster and becoming a city on its own.🙌🙌View attachment 3497677View attachment 3497678View attachment 3497682
View attachment 3497683
Hayo ni mambo ya kwenye mitandao tu.Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.
Watu wanaujasiri wa ajabu, ambao zamani ni wazee wakazi tuu ndo walikuwa nao.
Sasa kuna mamilioni ya kundi la vijana wakawaida, walioona watu wakichinjwa, aisee mimi naogopa nchi yetu ilikofika.. Who ever came up with that idea was not intelligent enough.
Wameamua kujizima data ndio maana wakiulizwa swali la msingi wanajibu upumbavu.
Jana AG ametoka kuapishwa badala aongee mambo ya msingi eti anaongelea kuhusu Mange.
View: https://x.com/advocatemahere/status/1986291787279777849?s=46
Sisi tunaongelea mambo makubwa makubwa.Johari alivyolichukulia lile jambo, kumuongelea Mange, amenishangaza sana. Nilimuona mtu wa maana alipokuwa boss wa anga kipindi cha Magu.
Msigwa na yeye hovyo, ni Dr. Abass tuu ndo bado amenyooka, humsikii akibweka kichawa.
| Year / Period | Event / Position |
|---|---|
| 1962 | Born on July 26 in Sukhum, Abkhaz Autonomous Soviet Socialist Republic. |
| 1984 | Graduated from Gorky Institute of Water Transport (now Volga State Academy of Water Transport). |
| 1984 – 1986 | Completed mandatory military service. |
| 1986 – 1990 | Worked as Foreman, Deputy Secretary, and later Secretary of the All-Union Leninist Young Communist League Committee at Krasnoye Sormovo Shipyard. |
| 1990 – 1992 | Served as Deputy in the Gorky Regional Council of People’s Deputies. |
| 1992 – 1993 | Appointed General Director, AMK Youth Concern. |
| 1993 | Graduated from the Academy of National Economy under the Government of the Russian Federation. |
| 1993 – 1996 | Served as CEO, Garantiya Bank. |
| 1996 – 1997 | President, NorSea Oil Company. |
| 1997 | Appointed First Deputy Minister of Fuel and Energy of the Russian Federation. |
| 1997 | Promoted to Minister of Fuel and Energy of the Russian Federation. |
| 1998 | Appointed Prime Minister of the Russian Federation. |
| 1998 | Became Leader of Novaya Sila (New Force), an all-Russian social and political movement. |
| 1999 | Co-Chair and Leader, Union of Right Forces electoral bloc. |
| 2000 | Leader, Union of Right Forces Party Faction in the Russian State Duma. |
| 2000 – 2005 | Presidential Plenipotentiary Envoy to the Volga Federal District; Permanent Member of the Security Council of the Russian Federation. |
| 2001 – 2005 | Chair, State Commission on Chemical Disarmament. |
| 2005 – 2007 | Head, Federal Agency for Atomic Energy. |
| 2007 – 2016 | General Director, Rosatom State Atomic Energy Corporation. |
| Since October 5, 2016 | First Deputy Chief of Staff of the Presidential Executive Office. |
| Since 2005 | Co-Chair, Russian Union of Martial Arts; President, National Aikido Council of Russia. |
| Since 2012 | Executive Director, Coordinating Committee to Support Social, Educational, Cultural, and Other Initiatives under the Russian Orthodox Church. |
| Personal Interests | Practices martial arts (holder of 4th dan in Aikido), action shooting, sport hunting, and fishing. |
Mimi ishu yangu ni kuua watoto na wamama.Hayo ni mambo ya kwenye mitandao tu.
Mipango yote iliyopangwa imedhibitiwa, ninasisitiza kutumia emothions bila kufikiri ni kitu kibaya sana. Huwezi ukapambana na serikali ukabaki salama. Vyombo vya uchunguzi vinaendelea na kazi yake vikimaliza ripoti itatoka.
Huyu hapa mwamba ameleta ujumbe mzito toka Russia.
View attachment 3498203
Persons ∙ Directory ∙ President of Russia
www.en.kremlin.ru
The guy wanaona kila kitu simple wajinga, vitu vipo more complex kuliko upeo wao.Unajuwa Venus Star asichokielewa, nchi imetiwa doa kubwa sana, vijana sasa hawana ile roho ya woga, milio ya risasi haiwatishi tena.
Watu wanaujasiri wa ajabu, ambao zamani ni wazee wakazi tuu ndo walikuwa nao.
Sasa kuna mamilioni ya kundi la vijana wakawaida, walioona watu wakichinjwa, aisee mimi naogopa nchi yetu ilikofika.. Who ever came up with that idea was not intelligent enough.
Kaka unaposema kuua unamjua aliyeua? Unashiriki kueneza chuki baina ya watanzania bila hata sababu.Mimi ishu yangu ni kuua watoto na wamama.
Kama kulikuwa na kikundi cha kihalifu kutoka nje, kutokana na intelijesia ya Urusi, hawa watoto nao walihusika?
Umenielewa lakini?
Tena at least mkunda kaonesha ujasiri wake,nakumbuka kipindi cha nyuma walikua wanatolewa kufanya usafi,sad siku ya 3 maria akawa anaingiza tena chaka vijana waingie mtaani wakauliwe,madogo wameuliwa kikatili mno,zile bullet sio za kupigia binadamu aisee 🥲🥲Hii kauli ya kusema Jeshi lipo na wananchi ndio imeponza vijana wengi kuumia na kupoteza maisha... Sijawahi kusikia Jeshi liko na wananchi na limebariki kilichokuwa kimepangwa... Ni kauli tu za wachache waliokuwa wamepanga na kuhamasisha yaliyotokea.
Jeshi halijasaliti, maana from the beginning halikuweka msimamo au mapatano ya kuwa na wananchi kwenye yaliyotokea. Kauli za watu ndio zilibebebwa kama msimamo wa Jeshi lote.
Watoto na mama yao kuvunjiwa mlango huku wakiangalia TV, ni jambo dogo?Sisi tunaongelea mambo makubwa makubwa.
Naeneza chuki gani wakati video zipo mitandaoni wameweka watu wengine?Kaka unaposema kuua unamjua aliyeua? Unashiriki kueneza chuki baina ya watanzania bila hata sababu.
Nimejaribu kukueleza kuwa uchunguzi unaendelea kupitia vyombo vya ndani na nje. Lakini umechagua kupuuza. Sina namna ya kukueleza tena kaka. You are too emotional.
Brother usitake tufanane mawazo. Wewe umechagua kukaa upande wa Mange ninaheshimu mawazo yako. So usinilazimishe na mimi niwaze kama nyie. I have freedom ya kutafuta na kuchagua namna iliyobora. Hayo ndiyo yanayo wa cost kwa kujifanya nyie ndio mnaoshikilia mawazo ya watu.The guy wanaona kila kitu simple wajinga, vitu vipo more complex kuliko upeo wao.
Yaani wamekalia mipasho
Sasa nimekuuliza aliyewaua ni nani? Mbona hujibu?Naeneza chuki gani wakati video zipo mitandaoni wameweka watu wengine?
Sasa waliovunja mlango huo ni akina nani brother? Mbona huwa taji. Video zimesambaa vijana wakivaa nguo za police na wakitamba wanataka kupigiwa salute.Watoto na mama yao kuvunjiwa mlango huku wakiangalia TV, ni jambo dogo?